Hujaelewa hoja yangu na umekurupuka kunipa quote, nimeuliza hivi Kwani Mbowe alishawahi kusema Yeye ndiye aliyeshika CHUPA ya damu?Kamanda Lissu baada ya kumgusa mbowe amekosa fikra pevu?
Haya ni matusi.
Ni chama kikubwa cha kitaifa . Lazima kipite kwenye moto kabla ya kukikabidhi nchi.Mbona hizi habari za chadema zimeshika kasi humu... kwani kunanin
Wametumwa na KinanaMbona hizi habari za chadema zimeshika kasi humu... kwani kunanini?!
😂 😂 😂
Kwani Mbowe alishwahi kusema yeye ndio aliyeshika CHUPA?
Halafu harakati za Lissu sasa hivi anazifanya kwa kivuli cha chama gani?
Hebu wana JF muwe na Fikra pevu basi.
Ni swala la muda tu, ccm wataipasua chadema
Unajuwa mtu akiwa anatafuta talaka, kwanza anatafuta huruma na malalamiko mengi kama alikuwa anateswa sana wakati utakuta amekaa kwenye ndoa miaka 20 leo ndio anakumbuka talaka ndio haya ya Lissu na Chadema, hakuna haja ya kutafuta huruma hutaki chama unasema tu au unataka kugombania nafasi ya juu gombania chama kitaamua hii ndio democracy.Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.
Amesema aliyeshika chupa ya damu aliyokuwa akiongezewa ni Mchungaji Peter Msigwa mwanasiasa nguli asiyeogopa hila na figisu.
Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema hii kauli imebeba maana kubwa sana.
Mbona hizi habari za chadema zimeshika kasi humu... kwani kunanini?!
Kwa hiyo mtu yoyote uko Chadema akiwa tofauti na fikra za Mbowe anakuwa hataki chama anaoneshwa mlango wa kuondoka?Unajuwa mtu akiwa anatafuta talaka, kwanza anatafuta huruma na malalamiko mengi kama alikuwa anateswa sana wakati utakuta amekaa kwenye ndoa miaka 20 leo ndio anakumbuka talaka ndio haya ya Lissu na Chadema, hakuna haja ya kutafuta huruma hutaki chama unasema tu au unataka kugombania nafasi ya juu gombania chama kitaamua hii ndio democracy.
Itakuwa na maana kubwa iwapo ukiwa wewe sii chademaphobia🤔Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.
Amesema aliyeshika chupa ya damu aliyokuwa akiongezewa ni Mchungaji Peter Msigwa mwanasiasa nguli asiyeogopa hila na figisu.
Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema hii kauli imebeba maana kubwa sana.
na bado atatajwa tena mwingine aliyezibeba zile nguo zilizoloa damuKamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.
Amesema aliyeshika chupa ya damu aliyokuwa akiongezewa ni Mchungaji Peter Msigwa mwanasiasa nguli asiyeogopa hila na figisu.
Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema hii kauli imebeba maana kubwa sana.
Acha uongo tulimsikia akiongeaKamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.
Amesema aliyeshika chupa ya damu aliyokuwa akiongezewa ni Mchungaji Peter Msigwa mwanasiasa nguli asiyeogopa hila na figisu.
Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema hii kauli imebeba maana kubwa sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwani Mbowe alishwahi kusema yeye ndio aliyeshika CHUPA?
Halafu harakati za Lissu sasa hivi anazifanya kwa kivuli cha chama gani?
Hebu wana JF muwe na Fikra pevu basi.