Lissu ambana Mbowe: Aelezea Historia yake, adai hajawahi omba kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, "Nimekijenga chama kwa jasho na nguvu zangu"

Mwamba tuvushe

 
yaani ungejuwa tuko busy na mambo yetu wala usingehangaika kumtetea huyo mwenyekiti wa maisha wa cdm ukitaka uenyekiti tu lazima upotee kama wangwe na saa ngapi sijui
Mwenyekiti wenu yule mliokua mnafananisha na Mungu yuko wapi😂
Mara ya mwisho mlimtia gundi la mdomo ule mchafu na mkafukia ehee...😂😂😂
Mwamba anadunda ... innawaumaaaa..
Sisi kwetu raha tu..💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽
 
Mbowe ni CHADEMA na CHADEMA ni Mbowe.

Bila Mbowe hakuna CHADEMA.

Ila BAVICHA wakisha kula mirungi, wanasema CHADEMA ni Taasisi.

Labda taasisi ndio Mbowe.
na ndio maana mmeshindwa kuiua CHADEMA
 
Jisahaulishe tu, unajifanya hayawani sio,?! Mnakufa Midomo wazi na mnazibana na gundi kisa kuhangaika na Mwamba 😂 😂

Mmekuwa wajane sababu ya Lissu kapiga za chembe kasepa.. mlipiga mpaka magoti, chezea Lissu wewe 😂mkiambiwa jogoo la shamba hawiki mjini muwe mnaelewa.
 
Katika vetting bora Kuwai kufanyika Tanzania ni hii ya mbowe kuwa mwenyekiti

Other wise chadema ingekuwa tayari ni historia.

Kama ilivyo kwa CUF, NCCR, TADEA, UDP na ACT
Imedumu kwa kuwa ni saccos.
 
Chama kipi? Kile ambacho Mwenyekiti anagombea na kivuli? Ni lini CCM wamefanya uchaguzi wa kidemokrasia kama CHADEMA au Mbowe amepita bila kupingwa? Get real
CCM mwenyekiti agombee na "kivuli" au na "jua" lkn awamu yake ikiisha anapisha watu wenye mawazo mapya na m'badala wa kuongoza chama, tofauti na upande wa pili mwenyekiti hata akienda chooni anaenda na kiti chake ili mungine asije akakikalia. Toka mwaka 2005 mpk leo CCM imeshakuwa na wenyeviti watatu tofauti, wakati Chadema toka 2004 hadi leo mwenyekiti ni yule yule na haoneshi dalili ya kuachia ulaji.
 
Sasa umeandika nini?

Lisu huyu anaekaa kwa amsterdam ana nini kipya?
 
Kwani
kwani Wewe hupati dhambi kwa kumtukana Mbowe, au dhambi ni kumtukana Silaa tu?
 
Mbowe ni CHADEMA na CHADEMA ni Mbowe.

Bila Mbowe hakuna CHADEMA.

Ila BAVICHA wakisha kula mirungi, wanasema CHADEMA ni Taasisi.

Labda taasisi ndio Mbowe.
Hivi ccm ni taasisi ?
 
Sasa umeandika nini?

Lisu huyu anaekaa kwa amsterdam ana nini kipya?
Mjane umesahau sumu ya Lissu ilivyokausha vipaja , mpaka kufanya kampeni ikawa hawezekani😂
yaani Corona ilifanya kama kumsukuma mlevi tu,😂😂 kazi iliishamalizwa na mtoto wa Singida💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽
Usimuongelee mbeba maono bure bure tutakufikia😂😂
 
The end justified the means.
 
Ipi? Ile ya sumu haionjwi kwa ulimi?
Hana madhara kwa CCM. Shida ni kujifanya wanademokrasia wakati haipo. Atabaki kuwa hapo hadi afe kwa kuwa kila atakayejaribu kugombea nafasi hiyo adhabu yake inajulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…