Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Haya mahojiano ya Mhe. Lissu na Mhe. Mbowe nimejifunza vingi.
Kuna watu wana exposure kwenye nyanja nyingi kuanzia Kijamii na Kiuchumi ndiyo maana wanafanikiwa.
Imagine Mbowe ameanza biashara akiwa na miaka 20's, ana connect ndege kutoka Jiji moja hadi lingine at that age.
Ndiyo maana Mkuu The Boss aliwahi kuandika kuwa Mbowe ni mtoto wa Mjini kitambo.
Kama miaka ya 1990 anachangia chama milioni 1 kutoka kwenye akaunti yake binafsi, ina maana zilikuwa nyingi ndiyo maana alitoa kiasi hicho 🙌
Anyways, sio vibaya kujifunza kwa waliofanikiwa
Kuna watu wana exposure kwenye nyanja nyingi kuanzia Kijamii na Kiuchumi ndiyo maana wanafanikiwa.
Imagine Mbowe ameanza biashara akiwa na miaka 20's, ana connect ndege kutoka Jiji moja hadi lingine at that age.
Ndiyo maana Mkuu The Boss aliwahi kuandika kuwa Mbowe ni mtoto wa Mjini kitambo.
Kama miaka ya 1990 anachangia chama milioni 1 kutoka kwenye akaunti yake binafsi, ina maana zilikuwa nyingi ndiyo maana alitoa kiasi hicho 🙌
Anyways, sio vibaya kujifunza kwa waliofanikiwa