Lissu amechangamsha CHAMA, ni kama ilivyokuwa uchaguzi 2020, na hicho ndicho awezacho, apewe maua yake lakini sio kuwa kiongozi mkuu wa CHAMA

Nashindwaje kumuamini mtu aliyesema waziwazi Magu atakufa na kweli ikawa hivyo.
Lema aliyeshiriki kila operation ya CDM toka 2005
Mwambie aseme mwingine tena tuone utabiri wake sio wa kubahatisha
 
Lissu ameomba kuwa mwenyekiti wa chama na sio kiongozi mkuu wa chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…