Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiachilia mambwenyenye ya magharibi yanayombackup kwa siri sana,Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Lakini nimemchangia 230,000 kwaajili ya kununua gari mpya.Nafikiri ungeanza kuhoji kwanza alitoa wapi mamilioni ya kufanya sherehe ya harusi yake Hyatt Regency Kilimanjaro (Kempisky)
Na ni zamani hizo... Kama hujui maisha ya mtu usikurupuke, Lissu sio masikini mwenzio.
Msigwa foundationNajiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Enzi hizo yeye na Lugemeleza Nshala walikuwa wanaiba Lawyers Environmental Action Team (LEAT) mpaka wakaifilisiNafikiri ungeanza kuhoji kwanza alitoa wapi mamilioni ya kufanya sherehe ya harusi yake Hyatt Regency Kilimanjaro (Kempinski)
Na ni zamani hizo... Kama hujui maisha ya mtu usikurupuke, Lissu sio masikini mwenzio.
Ule mkutano ni 100m? Uko serious kweli?Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Kulipia chawa waliosafirishwa na baadhi ya mediaUle mkutano ni 100m? Uko serious kweli?
With all due respect, huo ni mjadala mwingine na hata hivyo haina maana kwamba yeye ni masikini sababu tu ulimchangia.Lakini nimemchangia 230,000 kwaajili ya kununua gari mpya.
Huhitaji hata milion 4 kuitisha press. Ni bei rahisi sana hata wewe unawezaKulipia chawa waliosafirishwa na baadhi ya media
maybe uko misinformed. Kuitisha press hata mil 4 haifiki. Hata wewe unaweza, ni gharama ndogo sanaNdio, akanunua waandishi zaidi ya 30 na akawalipa