kwani hujui msigwa yupo chama gani? na hujui mbinu za kimafia za huko aliko? lissu sasahivi ni ccxmUmetanguliza neno usiri mkubwa ili usiulizwe kuhusu ushahidi. Msigwa yupi unamzungumzia. Nae ana wahisani au ni pesa zake kama ikiwa kweli amefanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani hujui msigwa yupo chama gani? na hujui mbinu za kimafia za huko aliko? lissu sasahivi ni ccxmUmetanguliza neno usiri mkubwa ili usiulizwe kuhusu ushahidi. Msigwa yupi unamzungumzia. Nae ana wahisani au ni pesa zake kama ikiwa kweli amefanya
Kutoka kwa wanachama hapo vipi?Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Gentleman,Umetanguliza neno usiri mkubwa ili usiulizwe kuhusu ushahidi. Msigwa yupi unamzungumzia. Nae ana wahisani au ni pesa zake kama ikiwa kweli amefanya
ndiyo hivyo tena ndruguzanguni 🐒Aaah,ya kweli haya wajameni😔
Wewe endelea kujiulizaNajiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Mamia ya mamilioni, hivi una akili kweli wewe? Hata ni hizo propaganda basi angalia zifanane fanane na ukweli, eti ukumbi wa kifahari.Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Uliambiwa ni milioni mia ngapi?Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Unafahamu gharama za kukodi ukumbi wa Mlimani City ni kiasi GANI?Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Unataka urudishiwe? Je unaweza kituthibitishia hapa kuwa ulichangia hicho kiasi?Lakini nimemchangia 230,000 kwaajili ya kununua gari mpya.
Mkuu kwani wewe ndiye mweka hazina au mtia saini mwenza kwenye akaunti ya Tundu Lissu.Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Kwani kuwaita waandishi ni gharama gani? Unaeza hata kuita 100 kwa gharama ndogo sanaUnakodi waandishi wa habari zaidi ya 50?
Nikuulize wewe, but kwa uzoefu wangu hao jamaa hata 50k wanakujaKila mmoja shilingi ngapi?
MkuuKikubwa hapa Lissu anaendeshwa na msigwa kwa remote control