Pre GE2025 Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano

Pre GE2025 Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama kuna Intervies
Tundu Lissu amesema "Sheria zetu za Uchaguzi ni mbovu, haziwezi kurekebishika zinahitaji kuandikwa upya na , tutazuia Uchaguzi kwa maandamano"

Soma, Pia: Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa
Ingawa kuna hoja nzuri sana ameziongea , ila Kama kuna Interviews alizowahi kufanya Tundu Lissu ambazo hazijawahi kunivutia kabisa, basi ni hii.
Wasaidize wake wamsaidie apumzike kwanza. Pili, kabla ya hiyo misimamo na matamko wamalizie kwanza chaguzi ambazo zilisimama, wasuke Chama, Kamati kuu ikao ndipo aanze hizo Interviews.
Atambue kwamba sasa hivi amebeba image ya Chama.
 
(1) Si Kiande,,,Kiande ni wewe mwenye Mtazamo wa Kichawa,
(2)Mwnyekiti wa CHAMA KILICHOTHIBITISHA NI CHA KIDEMOKRASIA Duniani kote,
(3)Si kuropoka ni kuwaambia ukweli WAKOLONI weusi Wanaojineemesha wao na Watoto na WAjukuu zao kwa KODI zetu....si umeona amekataa kapu la fedha kutoka kwa Abdul?
(4) Anataka uchaguzi HURU na HAKI kama ulivyouona wa CHADEMA juzi
(5) Umeonesha UKIANDE wako kwa kuingiza matusi,,,,ni lini na wapi LISU ametukana kama wewe hapo?
(6) Mbowe hajachafuliwa bali ameambiwa ukweli,,,ndio maana amenyamaza
namba ( 2) nolijuaga tu ndio itakua wimbo wenu. sasa ngoja nikusadie uelewe mana hiv vitu wanadiplomassia wakubwa ndio tunatambua.kasema hivii watajaribuu ina amanaa ni kitu kigumu mno. hapa itabidi mnywe akayabagu ii bujumbura na mandaz
 
Atafute namna nyingine tuu hii ya maandamano kwa watanzania ni uongo imesha shindwa, serikali inajua kabisa yakitangazwa maandamano wao watatoa vitisho kidogo tuu na hakuna atakae ingia barabarani afikirie upya
Yani siku iyo tunakiomba Jesh letu la Polisi, na Jeshi la wananchi tunafanya usafi dunia nzima, kila nyumba tunafanya bure kabisa.
 
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
Hata wewe umeropoka kwenye huwo mtango wako wa maneno.
 
kutumia maandamano kama approach ya kutaka kusikilizwa mbinu ili buma ndio maana mara baada ya Mbowe kutoka gerezani akaona badala abadilishe mbinu nyingine za mapambano atumie mbinu ya mazungimzo na mkuu wa nchi ingawa ilitafsiriwa kulamba asali. Ukiangalia kwa jicho la tatu inaoneka dhahiiri shahiri nothing gona change the narrative, maana kipindi mwenyekiti mstaafu yupo gerezani Lisu alikuwa makamu wa Mbowe sasa kwanini alishindwa kuhamasisha maandamano ili mbowe aachiwe yeye akiwa nje ndio kama bosi ,kwa hiyo dawa ambayo utawala umeona kuwadhibiti chadema ni kukamata viongozi wao wandaamizi na waweka gerezani kwa kufanya hivyo serikali ya ccm inakuwa imewaweza na kuwadhibiti wapizani 100%
 
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
Takataka +
 
Mwanaharakati huru alisema huyu ataiingiza nchi kwenye vita🐼
 
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
Pole
 
Ccm sasa mmepata mganga wenu mlijifanya matahira kitambo sana
 
Ni sawa kama ni kweli.

Basi mapema hii Tundu Antipas Lissu mwanasheria nguli inatakiwa akae na wanasheria wake wa chama wazipitie hizo sheria mpya za uchaguzi kama zinafaa na ni huru kweli kweli wajiridhishe . Kama wakiona mapungufu , kwa kushirikiana na wadau wa haki wakae na serikali au rais meza moja kuona ni namna gani tume huru ya uchaguzi itaendesha uchaguzi mkuu 2025 kwa haki kabisa bila wizi wa kura wala rushwa
Ila ndio mtata sasa
 
Tundu Lissu amesema "Sheria zetu za Uchaguzi ni mbovu, haziwezi kurekebishika zinahitaji kuandikwa upya na , tutazuia Uchaguzi kwa maandamano"

Soma, Pia: Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa
yale maandamano ya mwisho kuitishwa yamalizikaje vile? Ni wangapi walijitokeza? Tanzania kwa maneno ni hodari sana ila kwa vitendo no way! Kila mmoja anaipenda roho yake na familia yake. Watasema weee na kuwatomeza wenzao wakati wao wanakaa pembeni wakiangalia wenzao wanavyosulubiwa.
 
yaani hapo ndiyo huwa mnafeli kuna vyama vingi vya siasa siyo vyama viwili vya siasa hivi agome chadema vyama vingine vishiriki mtasema uchaguzi usimame kwaajili ya chama kimoja chadema?> who is chadema by the way ? wasuse wenzao wanashiriki na uchaguzi ukiisha wasubiri mpaka uchaguzi mwingine nao wakisusa tunaendelea hivyo hivyo watabaki kuwa chama cha upinzan milele
Tunazungumzia vyama vya upinzani sio vyama bandia, Tanzania inafahamika chama kikuu cha upinzani ni chadema kwa Tanganyika na kule Zanzibar ni ACT
 
Back
Top Bottom