Pre GE2025 Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano

Pre GE2025 Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
P
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
panicking disorder
 
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
Ninyi wajinga wajinga wanafiki tulieni, waacheni wazalendo wenye akili na weledi walete mabadiliko. Mabadiliko, hata siku moja, hayaletwi na machawa punguani.
 
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
Ngoja tisubiri yatakayojiri,ni suala la muda tu.Jamaa siasa zake ni ngumu,anajua yeye mwenyewe namna ya kuziendesha pamoja na wale waliomuwezesha kuwa mwenuekiti licha ya CCM kumuunga mkono Mbowe.
 
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
Acha wazalendo wa kweli wenye akili kubwa waongoze mabadiliko ya kweli Tanzania.

Hata siku moja, mabadiliko ya kweli huwa hayaletwi na watu wajinga wajinga, punguani na wanafiki, kama ninyi.
 
Tumpe muda Lissu anaweza kufanya jambo nchi hii na watu hawataamini,kizuri yeye ni mwalimu wa sheria
 
Ili wapate nini hasa kwenye ulimwengu huu wa ushindani wa kiuchumi?

Hamjui mnachoongea.Kama kina Burkifaso na umaskini wao wamewatimua Western sembuse Tanzania ?
Bukinabe wamefanikiwa sbb ya viongozi wazalendo, huko ccm Kuna mzalendo yupi?
 
Bukinabe wamefanikiwa sbb ya viongozi wazalendo, huko ccm Kuna mzalendo yupi?
Wamefanikiwa kufanyaje? Nimetolea mfano wa maskini kujitutumua itashindikanaje Kwa Tanznaia yenye hela?

Kwa Sasa hatuna sababu ya kujitutumua
 
Mzee Wasira Amechezea Umeme
Nimeishi jirani naye pale Makangira Msasani wakati akiwa bench

Ni mzee mmoja mstaarabu sana, kuna Wakati namkaribisha BIA pale Leecars club anasema" bwana mdogo Leo nimeagiza ile pombe yetu ya kijijini sitakunywa BIA"
 
Back
Top Bottom