Pre GE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

Pre GE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Lissu anaongea club house sasa hivi kujibu hoja za wenje na kuongelea mambo mengine.

Kati ya aliyosema ni kuwa hajawahi kumtuma Wenje kuhusu madai yake kabisa na kwamba ni uongo. Lakini pia hajawahi kutoa doc za madai yake kwa abdul ili amsaidie kufatilie madai yake.

Pia soma: Pre GE2025 - Kuhusu kupokea pesa za Abdul, Mbowe asema Lissu aache kuwapaka matope wenzake

Alipoenda kumpa rushwa alitolewa nje, na siyo kwenda kuchukua docs za madai ya Lissukwahiyo wenje kadanganya.

Haya sasa mambo yanazidi kuwa matamu.

Kufatilia session hiyo washa VPN ukafaidi, bila VPN huwezi kusikiliza, ni kwenye channel ya Sauti ya Watanzania.

View attachment Part2 (1).m4a
View attachment Part3.m4a
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
 
Wenje ni muongo na kila mtu mwenye akili zilizo sawa aliyemtazama na kumsikiliza kwenye mahojiano yake, anaweza kutambua straight forward kuwa wametengeneza uongo kisha wenzake waliokula mlungula naye wakamwambia nenda kajioshe maana ukiosheka wewe na sisi tutakuwa safi...

Unfortunately, hiyo interview yake badala ya kumwosha ndiyo kwanza imempaka kinyesi usoni zaidi na kuthibitisha pasipo shaka kuwa kumbe ni kweli ni rafiki wa Abdul (mtoto wa Rais Samia) na ni dalali wa rushwa za Abdul, CCM na Rais Samia na serikali yake kwa viongozi wa CHADEMA...

Nina mashaka kama hili deal la rushwa ndani ya CHADEMA linaweza kumwacha salama Freeman Mbowe pia...

Tunaisubiri hiyo orodha ya viongozi wengine wa CHADEMA waliopokea hiyo rushwa ya Abdul kwa hamu, tuwajue ili watengwe wasiendelee kukitia unajisi chama...
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Ila Mtu mstaarabu ni yule anayefanya udalali na ma agent wa serikali sio?
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".

Wale wanaonunuliwa ndo unawaona wastaarabu?
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Mjinga wewe...

Rafiki wa shetani wewe...

Tangu lini mtu kuusema ukweli imekuwa ni kuropoka..?

Baba wa uongo ni shetani...

Wewe unaongozwa na roho ya shetani kabisa kuandika ujinga huu...!!

Uchaguzi wa mwaka huu HAFI MTU na HATOKI MTU na HAFUKUZWI mtu mpaka kieleweke na mpaka ijulikane mbivu na mbichi ni zipi...z!!

Tunaisubiri orodha ya viongozi wengine wote (ukiacha Hezekia Wenje ambaye ni confirmed) waliochukua pesa ya rushwa toka kwa CCM kupitia kwa Rais Samia kwa kumtumia mwanae Abdul....
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Kwahiyo kosa la LISSU ni kusema ukweli? Kuwa expoz WALA rushwa na madalali wa keki ya taifa? Hilo ndio kosa la LISSU? Yani unachagua Giza dhidi ya mwanga?
 
Mjinga wewe...

Rafiki wa shetani wewe...

Tangu lini mtu kuusema ukweli imekuwa ni kuropoka..?

Baba wa uongo ni shetani...

Wewe unaongozwa na roho ya shetani kabisa kuandika ujinga huu...!!

Uchaguzi wa mwaka huu HAFI MTU na HATOKI MTU na HAFUKUZWI mtu mpaka kieleweke na mpaka ijulikane mbivu na mbichi ni zipi...z!!

Tunaisubiri orodha ya viongozi wengine wote (ukiacha Hezekia Wenje ambaye ni confirmed) waliochukua pesa ya rushwa toka kwa CCM kupitia kwa Rais Samia kwa kumtumia mwanae Abdul....
Tuna watu wajinga sana hii Tanzania, utasikia ohh pole, ohh ana hekima ohh mstaraabu ,kumbe ni mwizi tu , tena anasifiwa kwa ufisadi wake kwa sifa hizo, ikitokea mtu anae ongea ukweli na hapendi rushwa ana kuwa ni mropokaji, upinzani gani unachukua pesa kutoka ccm? Hapo kutakuwa na upinzani wowote wa maana? Uongozi wote wa chadema upishe , abaki Lissu peke yake.
 
Wale wanaonunuliwa ndo unawaona wastaarabu?
Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
 
Mjinga wewe...

Rafiki wa shetani wewe...

Tangu lini mtu kuusema ukweli imekuwa ni kuropoka..?

Baba wa uongo ni shetani...

Wewe unaongozwa na roho ya shetani kabisa kuandika ujinga huu...!!

Uchaguzi wa mwaka huu HAFI MTU na HATOKI MTU na HAFUKUZWI mtu mpaka kieleweke na mpaka ijulikane mbivu na mbichi ni zipi...z!!

Tunaisubiri orodha ya viongozi wengine wote (ukiacha Hezekia Wenje ambaye ni confirmed) waliochukua pesa ya rushwa toka kwa CCM kupitia kwa Rais Samia kwa kumtumia mwanae Abdul....
Wewe, mamaako, babaako, mkeo na watoto wako ndio wajinga. Mnang'ang'ania chama cha wenzenu. Mbowe kaishasema Chadema ni chama chake na akiona mambo yanaenda vibaya Kamanda anaingia kati. Nyinyi WAPUMBAVU mmeng'ang'ania tu! Kwanini msianzishe chenu!? Blood desh desh desh!!!
 
Back
Top Bottom