Pre GE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

Pre GE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!

..watoto wa viongozi mbalimbali tena waadilifu wa nchi hii wanaishi nje.

..kwa mfano, watoto wa Mzee Paul Kimiti muasisi wa Ccm ni raia wa Uingereza na majuzi walipewa tuzo na malkia.

..pia watoto wa Prof.Kabudi wanaishi nje ya nchi na baba yao amesikika akisema hivyo.

..ukichunguza familia nyingi za vigogo wa Ccm watoto wao wamesoma academy, na nje ya nchi.
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Lissu angekua mropokaji angekutwa na hatia kwenye kesi nyingi sana.
 
Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
Mtoto wa kiume kuchecheka hivi kwenye mijadala ya kiume inaleta picha tofauti mkuu.
 
..watoto wa viongozi mbalimbali tena waadilifu wa nchi hii wanaishi nje.

..kwa mfano, watoto wa Mzee Paul Kimiti muasisi wa Ccm ni raia wa Uingereza na majuzi walipewa tuzo na malkia.

..pia watoto wa Prof.Kabudi wanaishi nje ya nchi na baba yao amesikika akisema hivyo.

..ukichunguza familia nyingi za vigogo wa Ccm watoto wao wamesoma academy, na nje ya nchi.
Kwahiyo Lissu ni kama Prof. Kabudi? Hapo ana tofauti gani na CCM? Ahahahahaha!!!
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Mkuu it is too late has kwa Mbowe, itakuwa na damage kubwa zadi kuliko unavyofikiri.

Usisahau Lissu ni mwanasheria mahiri, he speaks what he means.

He has successfully traded carefully and outsmarting kila anayeinuka dhidi yake.

Madai kwamba Lissu ni mropokaji yathibitishwe kwa ushadi!!!
 
Watu mapenzi yanawapofusha, haya maneno maneno bila ushahidi ni porojo tu, hapa hakuna uthibitisho wa nani mkweli.

Walete audio na bideo za vikao vyao.
Abdul yupo hai, TAKUKURU wa muhoji na atoe ushahidi wake, na jinsi alivyowapa, kina nani kawapa, lini, wapi ,kiasi gani na kwa njia zipi, bank transfer au cash, na je kuna receipt za kuthibitisha miamala au la.

Mimi simuamini Lisu wala Wenje, ushahidi wao uchukuliwe kitaalam, ili upate credibility, siyo hizi porojo za alisema hibi, alisema vile.

Wote wananafadi nzuri kuwassidia takukuru tupate nyama, tumechoshwa na mifupa.

Binafsi, kama Lisu anataka nimuamini, akapeleke ushahidi takukuru, wao watawakamata watuhumiwa, na tutajua mbivu na mbichi.
 
Kwahiyo Lissu ni kama Prof. Kabudi? Hapo ana tofauti gani na CCM? Ahahahahaha!!!

..sasa ulitaka nimfananishe na nani mwenye afadhali ndani ya CCM?

..ukitaka kujua utofauti wa familia za vigogo wa CCM na sisi walalahoi subiri kutokee misiba.

..vigogo karibu wote wa CCM watoto wao wamesoma na wanaishi ktk nchi za mabeberu.
 
Watu mapenzi yanawapofusha, haya maneno maneno bila ushahidi ni porojo tu, hapa hakuna uthibitisho wa nani mkweli.

Walete audio na bideo za vikao vyao.
Abdul yupo hai, TAKUKURU wa muhoji na atoe ushahidi wake, na jinsi alivyowapa, kina nani kawapa, lini, wapi ,kiasi gani na kwa njia zipi, bank transfer au cash, na je kuna receipt za kuthibitisha miamala au la.

Mimi simuamini Lisu wala Wenje, ushahidi wao uchukuliwe kitaalam, ili upate credibility, siyo hizi porojo za alisema hibi, alisema vile.

Wote wananafadi nzuri kuwassidia takukuru tupate nyama, tumechoshwa na mifupa.

Binafsi, kama Lisu anataka nimuamini, akapeleke ushahidi takukuru, wao watawakamata watuhumiwa, na tutajua mbivu na mbichi.

..Takukuru hawawezi kushughulikia tuhuma zinazomhusu mtoto wa Mr & Mrs Hafidh.
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Kwaiyo awafiche Wala rushwa?
 
..Takukuru hawawezi kushughulikia tuhuma zinazomhusu mtoto wa Mr & Mrs Hafidh.
Nani anaweza, Sauti ya Watanzania? Au wafuasi wa Lisu?

Hata kama takukuru haiwezi, wekeni ushadi wowote mlio nao nami niuone, ama wakimaandishi yani receipt, audio au video nithibitishe, sio kuongea tu bila ushahidi wa aina yoyote.

Yani tumuamini Lisu kila asemacho, kwasabanu ni Lisu.
 
Nani anaweza, Sauti ya Watanzania? Au wafuasi wa Lisu?

Hata kama takukuru haiwezi, wekeni ushadi wowote mlio nao nami niuone, ama wakimaandishi yani receipt, audio au video nithibitishe, sio kuongea tu bila ushahidi wa aina yoyote.

Yani tumuamini Lisu kila asemacho, kwasabanu ni Lisu.

..naona kuna tit for tat inaendelea.

..tusubiri tuone mwisho wake.

..huenda ushahidi unaotamani kuuona utapatikana.

..uchaguzi huwa una mambo mengi sana ikiwemo mbinu za kijasusi baina ya wagombea.
 
Nani anaweza, Sauti ya Watanzania? Au wafuasi wa Lisu?

Hata kama takukuru haiwezi, wekeni ushadi wowote mlio nao nami niuone, ama wakimaandishi yani receipt, audio au video nithibitishe, sio kuongea tu bila ushahidi wa aina yoyote.

Yani tumuamini Lisu kila asemacho, kwasabanu ni Lisu.
wenje kwenda nyumbani kwa Lisu tu ni ushahidi pia, lakini ukiwa ni chawa wa mbowe hata uletewe ushahidi wa aina gani utaukataa
 
..naona kuna tit for tat inaendelea.

..tusubiri tuone mwisho wake.

..huenda ushahidi unaotamani kuuona utapatikana.

..uchaguzi huwa una mambo mengi sana ikiwemo mbinu za kijasusi baina ya wagombea.
Wenje kwenda tu kwa lisu pia ni ushahidi achilia mengine zaidi
 
Nanye Go,

..wakati wa JPM, Joshua Nassari aliwasilisha ushahidi mzuri sana wa rushwa ya wana-CCM kwa Takukuru. Ushahidi huo ulipuuziwa, na aliowatuhumu walipandishwa vyeo, na wapo madarakani hata katika utawala wa Mama.
Nasari hakufuata taratibu za kuwasilisha ushahidi, ali broke chain of custody, ushahidi ulifika lakini uliisha kuwa compromised, usingerumika kufungua kesi, siyo kwamba ulikataliwa ila taratibu zililiukwa.
 
Back
Top Bottom