DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Tundulissu - ni tofauti na wanasiasa wote Tz maana yeye amewekeza katika haki, ukweli na kuipiga rushwa, labda Kwa mbali tumfananishe na Nyerere
Kuna mjinga mmoja nimeona anajaribu kumfananisha Lissu na yule jamaa aliyekuwa anatesa watu bila makosa na kutoa vitisho bila kufata sheria.
Kuna mjinga mmoja nimeona anajaribu kumfananisha Lissu na yule jamaa aliyekuwa anatesa watu bila makosa na kutoa vitisho bila kufata sheria.