Pre GE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

Pre GE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
M
Mbowe=Wenje=Abdul=Lissu=Msigwa=CCM
Mi sijaelewa watu wanataka au wameshahongwa ili wafanye nini. ??!

Wasigombee kwenye uchaguzi au wampigie kura Nani ?!

Basi huyo anayeitwa Abdul’s anamijihela kweli kweli !!
Basi kama ni hivyo na Mimi naihitaji hiyo mijihela ya sadaka !
Nipo pande hii ya kanda ya Ziwa !
Karibu na Maganzo !
 
Nchi hii ukisema ukweli unachukiwa, Lisu anayaumbua majizi ndani ya chama anaitwa mropokaji, sawa na Magufuli alipambana kusafisha mafisadi ndani ya nchi,serikalini na kwenye chama chake akapigwa vita hadi akapelekwa futi sita aridhini,kweli majizi yana nguvu sn sidhani Lisu km atatoboa.
Inji hii ukitaka ushughulikiwe chapchap jaribu kuwa Msema Kweli uone cha mtema kuni !
Hiyo haina ubishi !
Wanasemaga huyu ana Kiherehere sana ! 😳
 
ab
Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
abdul wa mama anaishi dubai,adamu malima Alikuwa anaishi ulaya hadi alipoitwa kuja kuchukuwa ubunge hatimae uwaziri,na ukihitaji wengine pia nitakutajia,hata hivyo sheria ya uraia pacha imefanyiwa marekebisho sasa diaspora wana special status hapa nchini hivyo hiyo sio issue kwa sassa
 
..tusubiri Wenje atasema nini.

..au hata Abduli anaweza kujitokeza pia.
Maelezo yao bila vithibitisho ni kelele tu, tunataka uthibitisho wa maelezo yao, lakini siyo maneno matupu.
Ushahidi usioacha shaka, receipt za malipo, au account zilipowekwa na kutoka, kama cash basi video, au audio za makubaliano yao.
 
Wewe ukishakariri kuwa mbowe ni mungu wako ni vigumu ukubali chochote hivyo ngoja tukuache umsaidie mbowe kuwa mwenyekiti wa kudumu chadema iwe ni safari yenu kuelekea kwa TLP NCCR na CUF
Hahaha wafuasi wa Lisu mnaminyoi kweli.
Mnamuamini sana.
 
Watu mapenzi yanawapofusha, haya maneno maneno bila ushahidi ni porojo tu, hapa hakuna uthibitisho wa nani mkweli.

Walete audio na bideo za vikao vyao.
Abdul yupo hai, TAKUKURU wa muhoji na atoe ushahidi wake, na jinsi alivyowapa, kina nani kawapa, lini, wapi ,kiasi gani na kwa njia zipi, bank transfer au cash, na je kuna receipt za kuthibitisha miamala au la.

Mimi simuamini Lisu wala Wenje, ushahidi wao uchukuliwe kitaalam, ili upate credibility, siyo hizi porojo za alisema hibi, alisema vile.

Wote wananafadi nzuri kuwassidia takukuru tupate nyama, tumechoshwa na mifupa.

Binafsi, kama Lisu anataka nimuamini, akapeleke ushahidi takukuru, wao watawakamata watuhumiwa, na tutajua mbivu na mbichi.
Wewe unajua sheria kuliko Lissu?

Wewe unadhani watoa rushwa wanatoa risiti?

Msikilize Lissu (Kwenye Audio Part3) usikie jinsi walivyojaribu kumtega na kumcorner kwenye kamati kuu , ila Ushahidi wake mbele ya kamati kuu ukathibitishwa na mtu mwingine (Marehemu) ndani ya chama, Wakajaribu kurekodi video ya kikao hicho, alipowanyoosha hata video hiyo hawakuitoa!
 
Baada ya kumsikiliza Lissu nimejiridhisha kuwa hayuko sawa, ana shida mahali aidha uelewa wake wa mambo ni mdogo au ana tatizo la kisaikolojia. Kwa maoni yangu atajitoa kabla ya siku ya uchaguzi kwa vile atakuwa ameshafanya damage iliyokusudiwa kwa CDM.
 
Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
Kwa kukufichia aibu kijana, watoto wa Lissu walizaliwa Marekani ulitegemea kwa mfano baba yako angekuzalia Uingereza halafu anaporudi akurudishe huko mtogole ulipo? Mzazi yoyote mwenye akili hawezi kurudisha wanae shitholeni kama anajua wana access ya akili ya dunia, hata mzazi wako asingefanya. Acha chuki isiyo na msingi jenga hoja msiyemtaka kaja mnapambana nuruni na gizani!
 
Kwa kukufichia aibu kijana, watoto wa Lissu walizaliwa Marekani ulitegemea kwa mfano baba yako angekuzalia Uingereza halafu anaporudi akurudishe huko mtogole ulipo? Mzazi yoyote mwenye akili hawezi kurudisha wanae shitholeni kama anajua wana access ya akili ya dunia, hata mzazi wako asingefanya. Acha chuki isiyo na msingi jenga hoja msiyemtaka kaja mnapambana nuruni na gizani!
Ila yeye kama baba analilia kuongoza shithole sio? Ahahahahaha!! Mwamba una akiliiii!!!!
 
Wewe unajua sheria kuliko Lissu?

Wewe unadhani watoa rushwa wanatoa risiti?

Msikilize Lissu (Kwenye Audio Part3) usikie jinsi walivyojaribu kumtega na kumcorner kwenye kamati kuu , ila Ushahidi wake mbele ya kamati kuu ukathibitishwa na mtu mwingine (Marehemu) ndani ya chama, Wakajaribu kurekodi video ya kikao hicho, alipowanyoosha hata video hiyo hawakuitoa!
Hahaha wewe uliuona huo ushahidi, au ulikuwepo kamati kuu, au kwasababu kasema Lisu?

Masikio yenu yanasikia sauti ya Lisu tu, na kuamini asemacho Lisu tu.

Wangapi wamesema, hamsikii na hamuamini?

Lisu alisema kikao kili rekodiwa, umeshaiona hiyo record ya kikao au audio yake? Au aliondoka nayo Abdul?

Hivyo kila mtu amuamini kwasababu tu, anajua sheria?
 
Ila yeye kama baba analilia kuongoza shithole sio? Ahahahahaha!! Mwamba una akiliiii!!!!
Unataka aende wapi? Nchi ya baba yake hii sio pagara lenu, yani hata hao wanae wakiamua baada ya kukamata mielimu watakuja tu kuongoza shithole, hamna shida na utabaki jf unamaliza miaka yako tu na chuki zako! Wasipokuja kufanya siasa watakua maCEO na wataongoza tu wakitaka!
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Kwanini asifukuzwe Wenje?

Kwanini mla rushwa anaruhusiwa kugombea umakamu wa Mwenyekiti?

Lissu anachofanya ni kuweka facts sawa. Labda kaamua kutoka nje baada ya kuona central commitee members hawachukui hatua yoyote maana Lissu anasema taarifa wanayo. Bila shaka na wao ni wanufaika wa hela za Mama Abdul
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Nenda uko mtu akiwa msema kweli kuwa kuna pesa chafu zinaingia ndani ya chama basi afukuzwe uwanachama
 
Back
Top Bottom