johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Lisu anaishi Kwa kanuni hivyo naweza kuziamini kanuni zake 😄Unamuamini lissu? Tunakuuliza hapa hapa jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu anaishi Kwa kanuni hivyo naweza kuziamini kanuni zake 😄Unamuamini lissu? Tunakuuliza hapa hapa jf
Tatizo lenu CCM imewalea kiwiziwizi na kuwaaminisha kuwa wizi na mwizi ni siri hatakiwi kutajwa hadharani na ndio maana hadi sasa tunaliangamiza taifa hili kwa kuamini kwamba kuwa wasiri kwenye mambo ya hovyo hovyo ndio ustaarabu ndio mana nchi inaingia mikataba ya hovyo kisirisiri na wajinga kama wewe mlio kuzwa kiwiziwizi mnaona sawa tuMtu mstaarabu ni yule anayevumilia hard times hata kama anashutumiwa kwa uwongo! Wewe binafsi HUWEZI kutoa ushahidi wa unachokisema zaidi ya kujazwa ujinga na Mjinga Lissu!
Umelelewa vibaya kwenu wewe.Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Zaidi ya CCM iliyonisomesha Bure hadi Chuo kikuu unadhani upande wangu ungekuwa wapi?Alafu nawe ifikie muda uoneshe upande wako...
Lissu ana usemi gani kuhusu hii hapa chiniWakuu,
Lissu anaongea club house sasa hivi kujibu hoja za wenje na kuongelea mambo mengine.
Kati ya aliyosema ni kuwa hajawahi kumtuma Wenje kuhusu madai yake kabisa na kwamba ni uongo. Lakini pia hajawahi kutoa doc za madai yake kwa abdul ili amsaidie kufatilie madai yake.
Alipoenda kumpa rushwa alitolewa nje, na siyo kwenda kuchukua docs za madai ya Lissukwahiyo wenje kadanganya.
Haya sasa mambo yanazidi kuwa matamu.
Kufatilia session hiyo washa VPN ukafaidi, bila VPN huwezi kusikiliza, ni kwenye channel ya Sauti ya Watanzania.
View attachment 3183679
View attachment 3183680
lissu mwenyewe alikubali kuwa kuna doc alimpa sasa anchoikataa ni nini? lissu muongoi kupita maelezo anafanya watu hawana kumbukumbuKanyoosha rula!
Kumbe Wenje alitungatunga maneno tu kujikosha!
Unajua kama JK ana mjengo Marekani?Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
sasa sikiliza hapa halafu uangalie uong aliousema hakumpa doc abdul lissu ni muongo ajabu aijawahi kutokeaLissu ana usemi gani kuhusu hii hapa chini
View attachment 3183772
Yani wewe kwa akili hizi umefika chuo kikuu? Kama ni kweli basi ni msiba kwa Taifa, inabidi tusomeshe watoto vyuo vya nje.Zaidi ya CCM iliyonisomesha Bure hadi Chuo kikuu unadhani upande wangu ungekuwa wapi?
Kwa Mtei family? 😂😂😂
Akiwachapa kwenye mshono mnaita kuropoka. Mnapenda siasa za kubembelezwa bembelezwa, kuitwa wanyonge msiojiweza huku mkiambiea mnapiganiwa kwakua ninyi ni wanyonge.Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Kama una akili ya kuzaliwa utagundua jamaa Yale maneno yalikuwa ya kutunga, maswali yalikuwa mengi kuliko majibu.Eti anamdai lissu ni uwongoKanyoosha rula!
Kumbe Wenje alitungatunga maneno tu kujikosha!
Unataka kusemaje!Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haupokiropoki!".
Huo ukweli wake ndo unamtesa lissuYou heard? Kanyoosha yani
Wabongo wamezoea uwongo na unafiki.U
Unataka kusemaje!
Mtu kusema ukweli ndio sio ustarabu.
Umeona iyo mkuu ndio uyo kiongozi yaani lisu kabainisha kuwa kwenye chama kuna madudu eti yeye ndio amekuwa tatizoNdivyo ilivyo Bongoland !
Huwa tunafunzwa kusema uongo tangu tukiwa watoto !
Kwa mfano unawaambia wanao Yule anayenidai akija mwambieni nimesafiri !
Kisha mzee anaingia chumbani kulala !
Huyu ni motooLISSU kiboko aisee
Kwani wewe ni PhD wa miezi 3 hapo parokiani kama Dr Slaa? 😂😂Yani wewe kwa akili hizi umefika chuo kikuu? Kama ni kweli basi ni msiba kwa Taifa, inabidi tusomeshe watoto vyuo vya nje.
Wabaki salama au waendelee kupokea pesa chafu kama alivyosema Lissu?Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Lissu ni mkweli, haki na mpenda kufuata Sheria na taratibu.Wanasiasa wengi ni waongoTundulissu - ni tofauti na wanasiasa wote Tz maana yeye amewekeza katika haki, ukweli na kuipiga rushwa, labda Kwa mbali tumfananishe na Nyerere
Kuna mjinga mmoja nimeona anajaribu kumfananisha Lissu na yule jamaa aliyekuwa anatesa watu bila makosa na kutoa vitisho bila kufata sheria.
Eti ana biashara zake, zipi hizo? Udalali unawatesa wanasiasa wengiShida si watoto shida ni watu kama wenje kuwa madalali, bila udalali wa wenje leo kusingekuwa na huu mjadala