Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Chadema wangehara na kutapikaKipindi kile kila tatizo sababu ni Magufuli, sipati picha kama angekuwepo halafu kukawa na haya matatizo tuliyonayo sasa sijui ingekuaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wangehara na kutapikaKipindi kile kila tatizo sababu ni Magufuli, sipati picha kama angekuwepo halafu kukawa na haya matatizo tuliyonayo sasa sijui ingekuaje.
Kwahiyo kati ya wewe na lisu tumuamini nani, au mnapingana na lisu shujaa wenuHuwezi kuitenganisha serikali ya Samia na kupanda kwa gharama za maisha, kama ni tozo wameziweka wao, mikopo ya kila siku wanayokopa na kulipa wameiweka wao, na mipango yao mingi serikalini haieleweki, na hayupo wa kuwasimamia mawaziri wanapokosea, wameachwa wao ndio wawe marais wa wizara zao.
Huku Bashe anatuambia ametoa mahindi kwenye maghala yakapunguze mfumuko wa bei, lakini bado serikali hiyo hiyo inaendelea kuuza chakula nje..
Hii maana yake kama chakula kitaendelea kuuzwa nje, basi hakuna namna chakula kinachotolewa kwenye maghala kitakuja kupunguza tatizo, kwasababu bado patakuwepo na upungufu wa chakula matokeo yake bei zitaendelea kuwa juu..
Na wewe unapingana na shujaa wenuu?Lissu nae kichwani kama Msukuma PhD feki, so according to Lissu Katiba mbovu ndio imepandisha gharama za vyakula? Is that?
Yaani kashindwa kusema hata ni gharama za mafuta kupanda, au sbb ya vita vya Russia vs Ukraine, hata hili hajui? Kasema Katiba mbovu ndio chanzo cha bei ya vyakula kupanda? Kweli?
Mental hysteria mbona ni watu wengi wagonjwa sana, i repeat, did he say bad Constitution is the cause of hiking food & commodities prices? OMG, he is on his way to poor thinkers of 2023..!!
Ww mtoto umekuja juzi JF, hata hujui watu huku, shithole, before you open your scented mouth, get to know people of JF, pumbaf wwNa wewe unapingana na shujaa wenuu?
Kwahiyo Kwa kuwa mwenyeji wa jamii forum umeona matusii ndio alama ya uzeefu wako humu.Ww mtoto umekuja juzi JF, hata hujui watu huku, shithole, before you open your scented mouth, get to know people of JF, pumbaf ww