Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Kwa haraka nilichogundua Wewe ni mwana CHADEMA hasa japo kuna mahala umesema huna Chama.

Pia Wewe ni Team Lissu ila hapa Umetumia Akili Kubwa ya kujifanya Unamsema Mbowe ili Watu wajawe na Huruma na Wachangie Pesa ili nawe upate na hata upige humo humo.

Umesema kuwa Mbowe keshalambishwa Asali sasa kwa Taarifa yako na Mimi nakuambia hata huyo Lissu wako nae Kalambishwa vile vile ila wanatumia Akili Kubwa kujifanya wanashida na wanapambana na CCM wakati Wameshatajirishwa Kitambo.

Huyu Lissu wako angekuwa na Uchungu na Tanzania na Watanzania angehamishia Familia yake nchini Marekani huku Familia yake hadi Yeye wakiwa sasa ni Raia wa Marekani?

Huna unachokijua Mnafiki na Muongo Wewe hivyo acha kabisa kutupotezea muda Watu tunaojua mengi ya nchi hii sawa?

Siku Njema.
 
Propaganda za kijinga hizi..
Only a lunatic can buy this trash!
Kwa hiyo Chadema ndiyo waliondoa walinzi wa serikali na zile kamera zenye ushahidi eneo la tukio?!!!
Ndufu yanfu, mimi sina chama. Mimi mwandishi, ila nasema kwamba, Lissu ndio mkombozi wa watanzania
 
Sio siri Freeman amekuwa mamluki! After all he is a businessman, kwake yeye Chadema ni kitega uchumi!! He has been compromised and he's treating Chadema as his Kikoba!
Chadema should back up Tundu for prosperity!
Hizi zote ni hisia.

Btw, Mbowe na Lissu nao ni watu kama wewe wanahitaji furaha na maendeleo pia.
Hao watu wameteswa sana na hizi siasa...kama ni kweli wanakula acha wale.
Hii dunia tunaishi mara moja tu.
 
Umeandika mengi, nikiri mengi zaidi uliyoandika hapa hayana uthibitisho, japo kwa jicho la pembeni yanaweza kuwa kweli, kuna wakati naona wengi wenu mmeleweshwa na mahaba yaliyopitiliza kwa Lissu, hivyo kuona haki kumhukumu Mbowe bila kumsikiliza.

Mfano, umezungumzia suala la Mbowe kulambishwa asali, ametulizwa na Samia, ukamlaumu kwa ufanya biashara wake, kigezo ulichotumia kumhukumu Mbowe ni kule Kigoma akiwa kwenye mikutano yake ameonekana kumsifia Samia, ni kama vile hutaki Samia asifiwe kwa mema aliyofanya!.

Lakini mbona mimi pia nimemsikia Mbowe akiwa Kigoma huko huko, akisema wazi tusikubali kwenda kwenye uchaguzi mkuu 2025 bila Katiba Mpya? au hili wewe hukulisikia?

Kuhusu suala la Lissu kutumia pesa kutoka mfukoni mwake kuzunguka kwenye mikutano yake hapa panahitaji uthibitisho, mimi binafsi nikiri ukweli halisi siufahamu, lakini pamoja na hayo, siwezi kuwa mwepesi tu wa kukubali hiki ulichoandika hapa bila uthibitisho.

Kwenye suala nyeti kama hili, ingependeza Chadema wenyewe walitolee ufafanuzi, sio yule mpiga debe wao wa humu ndani ambaye anaonekana ameshiba maji ya bendera ya chama, hawezi kuwa rational.

Chadema hawa ambao tumeambiwa wameanza kupokea ruzuku, wamuache Lissu azunguke kote mikoani kwa pesa zake binafsi ni jambo gumu kuliamini, ambalo sioni kwanini Lissu ajitoe muhanga kiasi hicho kama vile Chadema ni ya baba yake, na kwa tabia yake yakutoweka mambo kifuani, naamini kabisa angeshatoa "hint" juu ya hilo.

Mwisho kwenye andiko lako umejaribu kutengeneza picha ionekane kama Chadema kuna makundi mawili, moja la Lissu na lingine la Mbowe, inawezekana haya makundi yakawepo, lakini tofauti ya makundi hayo kimantiki ipo kwenye msimamo, ambapo kwangu ni ndogo tu.

Tofauti zao za kimsimamo ni pale ambapo Mbowe anaonekana kuwa "half radical" na Lissu anayeonekana kuwa radical zaidi, asiyejua kushukuru kwa kidogo alichopewa, tofauti na Mbowe anayeshukuru huku pia akiendelea kusisitiza mambo ya msingi kama Katiba Mpya yafanyiwe kazi, jambo ambalo linaonekana kuwakera nyie wafuasi wa Lissu msiotaka Samia asifiwe kwa lolote!.
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Mapunguani yanaongezeka humu.
Unatumia muda mwingi kuandika uharo.
Stupid
 
Nimeishi na wachaga miaka mingi sana, kitu pekee wanachokitaka ni PESA. Hata km utajenga urafiki nae kichwan kwake ana focus namna ya kupata PESA toka kwako. Ukionana nae tu atahakikisha mpaka afaidike kutoka kwako. Wanapenda sana PESA hata km unataka kumtoa marinda toa PESA na marinda utamtoa
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Hivi nisema mara ngapi haya maneno ..."MBOWE NI MC WA CHAMA CHA MAPINDUZI NA SAMIA"
 
So sad!
Jukwaa la siasa limekuwa jukwaa la matusi na kuvunjiana heshima badala ya hoja zenye weledi kwa maslahi ya umma na taifa kwa ujumla.......

Watu wanaojiita wanachama wa Demokrasia ndio watu waliokosa uvumilivu wa kustahimili ustawi wa kile wanachopigania.......

Demokrasia sio tu kuamini unachoamini wewe bali ni pamoja na kuvumilia Yale yanayokinzana na utashi wako
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Asome alama za nyakati ajiongeze kabla hajaonja asali kwa ncha ya kisu.R.I.P CHACHA WANGWE!
 
So sad!
Jukwaa la siasa limekuwa jukwaa la matusi na kuvunjiana heshima badala ya hoja zenye weledi kwa maslahi ya umma na taifa kwa ujumla.......

Watu wanaojiita wanachama wa Demokrasia ndio watu waliokosa uvumilivu wa kustahimili ustawi wa kile wanachopigania.......

Demokrasia sio tu kuamini unachoamini wewe bali ni pamoja na kuvumilia Yale yanayokinzana na utashi wako
Mahaba yaliyopitiliza kwa vyama yakizidi ndio yanatufikisha hapa, uwezo wa kufikiri kwa mashabiki wa vyama husika unapotea.

Kwao chama chao wakipendacho kinapokosolewa inakuwa ni sawa na wametukanwa, wanageuka wakali, wako very soft minded wanaoongozwa na hisia zaidi.
 
Inaelekea wewe huijui chadema, na kwa hiyo huujui utofauti uliopo kati ya lisu na mbowe.
Kwa taarifa yako ni kwamba hiyo tofauti haikuanza leo, imekuwepo kwa muda mrefu sana, na sababu ni lisu kutaka kutumia influence yake kumpiku mwenyekiti wake, na mbowe kutaka kuonyesha who he is.
Btw, umewahi kuisikia ile hypothesis kuwa lisu alipigwa alipigwa risasi na wenzie ndani ya chadema, kama ilivyokuwa kwa Chacha Wangwe?
Lakini wewe pia umependelea upande mmoja, wa lisu, kwa hiyo tunajua upande gani umesimamia!
Punguza ukuda babulai wampige risasi ili iweje hivi unafiki mijitu ya nzi wa kijani mtaacha lini
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Mbowe na Lisu wanaelewana sana na yote wanayoyafanya wameyapanga yawe hivyo yanavyoonekana !! I am sure 102% Mbowe na Lisu lao moja na hawawezi kugombanishwa !! Zile ni Akili kubwa they know what they’re doing !!
 
Siasa hizi haziwezi kuiyumbisha Chadema
 

Attachments

  • IMG-20200403-WA0003.jpg
    IMG-20200403-WA0003.jpg
    12.9 KB · Views: 4
Back
Top Bottom