Pre GE2025 Lissu anaipa ushindi CCM mapema sana

Pre GE2025 Lissu anaipa ushindi CCM mapema sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanza,kwenye chama chake tu kuna watu zaidi ya 40% hawamkubali,hiyo imethibitika kwenye uchaguzi mkuu wa chama,hata kama atapambana kuwarudisha, hutawarudisha wote.wengine atakua nao ila hawatakua upande wake abadani,na huo ndio ukweli akubali ukatae!

Hoja ya kugomea uchaguzi na kutangaza kuzuia uchaguzi mapema hivi ni dalili ya uoga na kukubali kushindwa mapema sana,yani umetupa taulo hata kabla hujaingia ulingoni.maana kama hoja ni katiba na tume tu inabidi utuambie kwanza wakati ulipokua mbunge ulitangazwa mshindi kupitia katiba na tume za namna gani?

Je kama tume zilikua hazitendi haki,je na wewe ulipokua mbunge ubunge uliupata kinyume na haki? Tambua kuwa sibezi hitaji la katiba na tume bora yenye kujisimamia.ila kususia uchaguzi kwa hoja hiyo ni kichaka cheupe sana ikiwa viongozi wengi tu ukiwemo wewe mwenyewe ulitangazwa mshindi na tume hizo hizo tunazozilalamikia.

Vijana wengi saizi ni ccm tena CCM haswa,kwanini vijana wengi wanakua CCM,kwa sababu wanajionea ukiwa CCM kuna chochote kitu unapata,japo hili hutakubaliana nalo ila haitabadilisha ukweli.vijana saizi wanataka hela,na wanaelewa vyama vyote vina hela.wanaona vijana wenzao waliopo CCM wanavyopata hela na fursa,sasa yeye aendelee kufanya siasa za kuchangisha wanachama bila kuwaeleza fungu la ruzuku lime limefanya kazi gani! Ujinga una mwisho(sisemi kwa ubaya bali hoja).

Siasa ni watu na CCM inatafuta watu usiku na mchana,majumbani,makanisani,misikitini,michezoni.popote palipo na watu CCM ipo na ina watu wake hapo.na yote inayofanya CCM hakuna chama kinazuiliwa kufanya.nyinyi endeleeni kujifungia ofisini mkitoka mnatangaza migomo na kuwatukana wahamasishaji na washawishi wa ccm kuwa ni machawa.haya! Machawa hao hao wanasepa na kijiji! Mkija kushtuka kuwa mliokuwa mkiwabeza na kuwakashifu kumbe wana umuhimu, kumekucha!

Lingine niwambie CHADEMA kuwa wasiishi wakati uliopita,maana katika wakati huu wapenzi wao wengi iliokuwa nao chaguzi mbili mpaka tatu zilizopita,wengi wao wamevujwa mioyo sana na mienendo ya viongozi wao wa juu tatika hizo chaguzi,na ukweli wengi wamejiunga au wamehamia ccm na wengine kuchukia na kuachana kabisa na siasa.

Na kosa lingine analofanya mwenyekiti mpya CHADEMA ni kutangaza hadharani hahitaji muungano na chama kingine.anaamini yeye ndio yeye na anaweza peke yake,wakati hata ccm wanapambana kuungwa mkono na vyama vingine yeye anagoma.yaani unafanya siasa halafu hutaki watu wakuunge mkono.
CCM ukiona hawamtaki mtu ujue huyo mtu hawaungi mkono na amegoma kubadilika au kushawishika.

Na katika hili CCM wameweza sana,wamewekeza sana katika watu,wapo karibu sana na watu,kutoka ngazi ya taifa hadi ubalozi wa nyumba kumi,na inawalipa!

Huu ndio ukweli japo ni mchungu.

Sisi CHADEMA tuendelee kujifungia ofisini, tukitoka tunaita waandishi wa habari,tunakashifu vyama,viongozi wa nchi,wa dini,wa taasisi,wasanii na wote wanaoiunga mkono CCM kana kwamba wanachofanya ni ni kosa kikatiba.,

Tuendelee kutafuta kuhurumiwa huku tunatangaza migomo na fujo kisha tunaomba michango mwisho tunagawana posho za ruzuku, tupanda V8 zetu nyumbani kutulia na familia zetu tukiendelea kufuatilia maoni ya wanachama wetu mitandaoni.wakati ccm wako mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba wakihamasisha watu kujiandikisha na kuwaunga mkono!

Na hakika wanawapata! Maana

Siasa ni sanaa na sanaa ni kazi! Naona wengi wapo kazini kushawishi,wachache wanatia huruma kukashifu na kutukana(timing mbovu kabisa).

Muda ambao unatakiwa kuji-brand unampaisha mshindani kwa kumtajataja kila ulipo.

Mgonjwa hakatai dawa, akikataa dawa ujue hali ni mbaya!

Mida!
CHADEMA IMEPOTEZA MVUTO SANA
 
Ungesikiliza hoja alizotoa Lissu usingeandika huu ushubwada wako,wewe ni chawa wa Mbowe bado unaomboleza
Mbowe kaacha wajinga wengi ndani ya chama lisu ana kazi kubwa sana , huwa naumia hasa napoona kuwa mtu kama ntobi alikuwa mwenyekiti wa mkoa wa shinyanga, watu wenye kariba kama ya ntobi hawakujitokeza kipindi cha kampeni kwenye uchaguzi wa ndani lakini wamo wengi sana, lisu ana kazi kubwa kutoa elimu na kufanya reform ndani ya chama
 
Kwanza,kwenye chama chake tu kuna watu zaidi ya 40% hawamkubali,hiyo imethibitika kwenye uchaguzi mkuu wa chama,hata kama atapambana kuwarudisha, hutawarudisha wote.wengine atakua nao ila hawatakua upande wake abadani,na huo ndio ukweli akubali ukatae!

Hoja ya kugomea uchaguzi na kutangaza kuzuia uchaguzi mapema hivi ni dalili ya uoga na kukubali kushindwa mapema sana,yani umetupa taulo hata kabla hujaingia ulingoni.maana kama hoja ni katiba na tume tu inabidi utuambie kwanza wakati ulipokua mbunge ulitangazwa mshindi kupitia katiba na tume za namna gani?

Je kama tume zilikua hazitendi haki,je na wewe ulipokua mbunge ubunge uliupata kinyume na haki? Tambua kuwa sibezi hitaji la katiba na tume bora yenye kujisimamia.ila kususia uchaguzi kwa hoja hiyo ni kichaka cheupe sana ikiwa viongozi wengi tu ukiwemo wewe mwenyewe ulitangazwa mshindi na tume hizo hizo tunazozilalamikia.

Vijana wengi saizi ni ccm tena CCM haswa,kwanini vijana wengi wanakua CCM,kwa sababu wanajionea ukiwa CCM kuna chochote kitu unapata,japo hili hutakubaliana nalo ila haitabadilisha ukweli.vijana saizi wanataka hela,na wanaelewa vyama vyote vina hela.wanaona vijana wenzao waliopo CCM wanavyopata hela na fursa,sasa yeye aendelee kufanya siasa za kuchangisha wanachama bila kuwaeleza fungu la ruzuku lime limefanya kazi gani! Ujinga una mwisho(sisemi kwa ubaya bali hoja).

Siasa ni watu na CCM inatafuta watu usiku na mchana,majumbani,makanisani,misikitini,michezoni.popote palipo na watu CCM ipo na ina watu wake hapo.na yote inayofanya CCM hakuna chama kinazuiliwa kufanya.nyinyi endeleeni kujifungia ofisini mkitoka mnatangaza migomo na kuwatukana wahamasishaji na washawishi wa ccm kuwa ni machawa.haya! Machawa hao hao wanasepa na kijiji! Mkija kushtuka kuwa mliokuwa mkiwabeza na kuwakashifu kumbe wana umuhimu, kumekucha!

Lingine niwambie CHADEMA kuwa wasiishi wakati uliopita,maana katika wakati huu wapenzi wao wengi iliokuwa nao chaguzi mbili mpaka tatu zilizopita,wengi wao wamevujwa mioyo sana na mienendo ya viongozi wao wa juu tatika hizo chaguzi,na ukweli wengi wamejiunga au wamehamia ccm na wengine kuchukia na kuachana kabisa na siasa.

Na kosa lingine analofanya mwenyekiti mpya CHADEMA ni kutangaza hadharani hahitaji muungano na chama kingine.anaamini yeye ndio yeye na anaweza peke yake,wakati hata ccm wanapambana kuungwa mkono na vyama vingine yeye anagoma.yaani unafanya siasa halafu hutaki watu wakuunge mkono.
CCM ukiona hawamtaki mtu ujue huyo mtu hawaungi mkono na amegoma kubadilika au kushawishika.

Na katika hili CCM wameweza sana,wamewekeza sana katika watu,wapo karibu sana na watu,kutoka ngazi ya taifa hadi ubalozi wa nyumba kumi,na inawalipa!

Huu ndio ukweli japo ni mchungu.

Sisi CHADEMA tuendelee kujifungia ofisini, tukitoka tunaita waandishi wa habari,tunakashifu vyama,viongozi wa nchi,wa dini,wa taasisi,wasanii na wote wanaoiunga mkono CCM kana kwamba wanachofanya ni ni kosa kikatiba.,

Tuendelee kutafuta kuhurumiwa huku tunatangaza migomo na fujo kisha tunaomba michango mwisho tunagawana posho za ruzuku, tupanda V8 zetu nyumbani kutulia na familia zetu tukiendelea kufuatilia maoni ya wanachama wetu mitandaoni.wakati ccm wako mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba wakihamasisha watu kujiandikisha na kuwaunga mkono!

Na hakika wanawapata! Maana

Siasa ni sanaa na sanaa ni kazi! Naona wengi wapo kazini kushawishi,wachache wanatia huruma kukashifu na kutukana(timing mbovu kabisa).

Muda ambao unatakiwa kuji-brand unampaisha mshindani kwa kumtajataja kila ulipo.

Mgonjwa hakatai dawa, akikataa dawa ujue hali ni mbaya!

Mida!
Lisu awekeze zaidi Kwa vijana.
 
Kwa ridhiko la nafsi kwa wengi tupate tume huru na katiba bora lkn sidhani tunaweza kuwa tofauti na wenzetu kama Ghana, Kenya,Malawi, Zambia nk kule ashindae ndie upewa lkn hatuoni mapya kwa ni sawa na gedere,tumbili,nyani kubadilishana kula mahindi shambani

..mimi nayakubali sana mawazo yako tofauti na wengine wanaokushambulia.

..Kuhusu Tume Huru ya uchaguzi tujifunze wenzetu ambao wanayo lakini haijawapa matokeo mazuri wamekosea wapi.

..Mapungufu au ukosefu wa matokeo chanya Ghana, Malawi, Zambia, isitukatishe tamaa katika nia yetu ya kuunda Tume Huru ya uchaguzi.
 
..CCM ina mapesa mengi sana.

..kila mwezi wanapewa BILLION 3.2 kama ruzuku.

..wanaofaidika na fedha hizo ni Chawa wachache, miongoni mwa kundi kubwa la vijana masikini.

..kuna vijana wengi sana hawana ajira, na hawapati fursa zozote ndani ya CCM.
Unacho sema ni sahihi lakini hao asilimia kubwa ya vijana wasiyo pata chochote ndiyo wako kimbele kuwapigia CCM kura. Mimi nimeona kwenye uchaguzi wa mitaa wa mwaka huu vijana wengi sana wamepiga sura hasa wakilaani kuusu wabunge ambao waliwapigania 2015 halafu wakawauza. Kwahiyo wanaona upinzani nikichaka tu chakutafutia umaarufu ukishapata umaarufu unanunuliwa na ccm. Mimi kwa masikio yangu niliwasikia vijana watemeke navkinondoni wakiulaani upinzani kwa usaliti ulio wafanyia. Wakati viongozi wengi wa CCM ni jamaa zao wa karibu.
 
Kwa ridhiko la nafsi kwa wengi tupate tume huru na katiba bora lkn sidhani tunaweza kuwa tofauti na wenzetu kama Ghana, Kenya,Malawi, Zambia nk kule ashindae ndie upewa lkn hatuoni mapya kwa ni sawa na gedere,tumbili,nyani kubadilishana kula mahindi shambani

..unadhani kwanini hizo nchi hazijafanikiwa pamoja na kuwa na Tume Huru?
 
Unacho sema ni sahihi lakini hao asilimia kubwa ya vijana wasiyo pata chochote ndiyo wako kimbele kuwapigia CCM kura. Mimi nimeona kwenye uchaguzi wa mitaa wa mwaka huu vijana wengi sana wamepiga sura hasa wakilaani kuusu wabunge ambao waliwapigania 2015 halafu wakawauza. Kwahiyo wanaona upinzani nikichaka tu chakutafutia umaarufu ukishapata umaarufu unanunuliwa na ccm. Mimi kwa masikio yangu niliwasikia vijana watemeke navkinondoni wakiulaani upinzani kwa usaliti ulio wafanyia. Wakati viongozi wengi wa CCM ni jamaa zao wa karibu.

..CCM imeshindwa kutoa majibu kwa tatizo la ukosefu wa ajira na fursa kwa vijana.

..inawezekana kabisa kwamba vijana bado wana matumaini kuwa CCM itawafaa.

..lakini ukweli ni kwamba ya CCM ktk kuleta maendeleo haiendani na kasi ya ongezeko la vijana wanaohitaji msaada wa serikali.

..tukiendelea kwa mtindo na utaratibu huu wa CCM taifa linaweza kuingia katika matatizo makubwa.
 
..CCM ina mapesa mengi sana.

..kila mwezi wanapewa BILLION 3.2 kama ruzuku.

..wanaofaidika na fedha hizo ni Chawa wachache, miongoni mwa kundi kubwa la vijana masikini.

..kuna vijana wengi sana hawana ajira, na hawapati fursa zozote ndani ya CCM.
Ni kweli ccm wana hela nyingi,wana miradi,wana wafadhili na zingine wanaweza kuwa wanajichotea kwa sababu wako jikoni.lakini hii bado haijawapa kiburi cha kuacha kubembeleza na kushawishi watu wawaunge mkono.

Hata chadema wanapokea ruzuku,
Hata chadema wana wafadhili.

Je,lisu hanufaiki na hizo fedha?
Je ni kosa chama kutumia fedha zake kuwalipa watu wenye ushawishi kujiongezea watu na umaarufu?

Mi nafikiri chadema na wao wanatakiwa kubadilika,kutenga fungu la wasanii kwenye kila idara,wasanii,vyombo vya habari kote huko watu wako kazini,wanatafuta riziki na sio machawa kama tunavowaita!

Ni kweli ajira ni tatizo ndio maana hata lisu ni msomi ila aliamua kujiajiri kwenye siasa na imemlipa sana leo ana maisha mazuri kupitia hizi hizi siasa.
Sasa kama viongozi wa chadema waliopita wangegomea chaguzi yeye na kina msigwa,heche,sugu,mdee,mbowe na wengine walionufaika tungewajua Leo kupitia siasa?

Chadema inatakiwa kubadilika,ccm wanatumia nyenzo zote walizonazo,wanaonesha hata kidogo walichoahidi na kutimiza au kuanza,wana ahidi kikubwa,wanajichanganya na wananchi na wanapiga hadi magoti kwa wananchi inapofikia swala la kuomba kura.

Nikupe tu mfano kwenye mji niliopo,ccm iliungana na serikali bega lwa bega kuhamasisha watu kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.na hakukuwa na mwanachadema hata mmoja alieyehasisha watu kujiandikisha,hata lisu hakufanya hivyo.
Je,unahisi hao watu walijiandijisha ccm watakubali kuwapoteza kirahisi?

Chadema iache siasa za matamko na mtusi,ishuke chini kwa wananchi.
Hakuna kura za huruma,kura zinatafutwa.
 
..CCM imeshindwa kutoa majibu kwa tatizo la ukosefu wa ajira na fursa kwa vijana.

..inawezekana kabisa kwamba vijana bado wana matumaini kuwa CCM itawafaa.

..lakini ukweli ni kwamba ya CCM ktk kuleta maendeleo haiendani na kasi ya ongezeko la vijana wanaohitaji msaada wa serikali.

..tukiendelea kwa mtindo na utaratibu huu wa CCM taifa linaweza kuingia katika matatizo makubwa.
Upo sahihi mtumishi kabisa ila kwa sasa vijana ambalo ndiyo kundi kubwa limekosa mvuto kwenye upinzanni kwasababu wameona wenzao wanatekwa wanauwawa halafu mtu uliye mpigania apate ubunge au udiwani kesho yake anapata nafasi alafu anahama chama anarudi ccm. Mimi sikuzani kuwa kumbe hii ilikuwa trick kali sana yakuwavunja moyo wananchi.
 
Ni kweli ccm wana hela nyingi,wana miradi,wana wafadhili na zingine wanaweza kuwa wanajichotea kwa sababu wako jikoni.lakini hii bado haijawapa kiburi cha kuacha kubembeleza na kushawishi watu wawaunge mkono.

Hata chadema wanapokea ruzuku,
Hata chadema wana wafadhili.

Je,lisu hanufaiki na hizo fedha?
Je ni kosa chama kutumia fedha zake kuwalipa watu wenye ushawishi kujiongezea watu na umaarufu?

Mi nafikiri chadema na wao wanatakiwa kubadilika,kutenga fungu la wasanii kwenye kila idara,wasanii,vyombo vya habari kote huko watu wako kazini,wanatafuta riziki na sio machawa kama tunavowaita!

Ni kweli ajira ni tatizo ndio maana hata lisu ni msomi ila aliamua kujiajiri kwenye siasa na imemlipa sana leo ana maisha mazuri kupitia hizi hizi siasa.
Sasa kama viongozi wa chadema waliopita wangegomea chaguzi yeye na kina msigwa,heche,sugu,mdee,mbowe na wengine walionufaika tungewajua Leo kupitia siasa?

Chadema inatakiwa kubadilika,ccm wanatumia nyenzo zote walizonazo,wanaonesha hata kidogo walichoahidi na kutimiza au kuanza,wana ahidi kikubwa,wanajichanganya na wananchi na wanapiga hadi magoti kwa wananchi inapofikia swala la kuomba kura.

Nikupe tu mfano kwenye mji niliopo,ccm iliungana na serikali bega lwa bega kuhamasisha watu kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.na hakukuwa na mwanachadema hata mmoja alieyehasisha watu kujiandikisha,hata lisu hakufanya hivyo.
Je,unahisi hao watu walijiandijisha ccm watakubali kuwapoteza kirahisi?

Chadema iache siasa za matamko na mtusi,ishuke chini kwa wananchi.
Hakuna kura za huruma,kura zinatafutwa.

..una hoja nzuri maridadi kwelikweli, isipokuwa katika maeneo machache.

..lakini nakuomba udadisi ni kitu gani kimepelekea Lissu na wenzake waone ni bora kususia uchaguzi.

..pia nakuomba utafakari kwanini Tume za Jaji Nyalali, Jaji Kisanga, Jaji Bomani, Jaji Warioba, na Prof.Mukandala, zote ripoti zake zimeshauri tubadilishe mifumo yetu ya uchaguzi na tuunde Tume Huru.

..mwisho, nakuomba ushauri hatua gani zichukuliwe ili uchaguzi wetu uwe wa HAKI zaidi, na usilalamikiwe na wagombea wa vyama vya upinzani.
 
Hao vijana unaosema wako CCM ndio wale waliojipaka matope na kupita mbele ya raisi, au unazungumzia akina mwakani wanagalagala kwenye vumbi? hao vijana ni kama akina Lucas Mwashambwa ? Huko CCM Kuna vijana gani wenye kujenga hoja wakaeleweka labda
 
Upo sahihi mtumishi kabisa ila kwa sasa vijana ambalo ndiyo kundi kubwa limekosa mvuto kwenye upinzanni kwasababu wameona wenzao wanatekwa wanauwawa halafu mtu uliye mpigania apate ubunge au udiwani kesho yake anapata nafasi alafu anahama chama anarudi ccm. Mimi sikuzani kuwa kumbe hii ilikuwa trick kali sana yakuwavunja moyo wananchi.

..Nawaamini vijana wa Tanzania.

..muda si mrefu wataelewa kwamba chanzo cha matatizo yao ni CCM.

.
 
Kwanza,kwenye chama chake tu kuna watu zaidi ya 40% hawamkubali,hiyo imethibitika kwenye uchaguzi mkuu wa chama,hata kama atapambana kuwarudisha, hutawarudisha wote.wengine atakua nao ila hawatakua upande wake abadani,na huo ndio ukweli akubali ukatae!

Hoja ya kugomea uchaguzi na kutangaza kuzuia uchaguzi mapema hivi ni dalili ya uoga na kukubali kushindwa mapema sana,yani umetupa taulo hata kabla hujaingia ulingoni.maana kama hoja ni katiba na tume tu inabidi utuambie kwanza wakati ulipokua mbunge ulitangazwa mshindi kupitia katiba na tume za namna gani?

Je kama tume zilikua hazitendi haki,je na wewe ulipokua mbunge ubunge uliupata kinyume na haki? Tambua kuwa sibezi hitaji la katiba na tume bora yenye kujisimamia.ila kususia uchaguzi kwa hoja hiyo ni kichaka cheupe sana ikiwa viongozi wengi tu ukiwemo wewe mwenyewe ulitangazwa mshindi na tume hizo hizo tunazozilalamikia.

Vijana wengi saizi ni ccm tena CCM haswa,kwanini vijana wengi wanakua CCM,kwa sababu wanajionea ukiwa CCM kuna chochote kitu unapata,japo hili hutakubaliana nalo ila haitabadilisha ukweli.vijana saizi wanataka hela,na wanaelewa vyama vyote vina hela.wanaona vijana wenzao waliopo CCM wanavyopata hela na fursa,sasa yeye aendelee kufanya siasa za kuchangisha wanachama bila kuwaeleza fungu la ruzuku lime limefanya kazi gani! Ujinga una mwisho(sisemi kwa ubaya bali hoja).

Siasa ni watu na CCM inatafuta watu usiku na mchana,majumbani,makanisani,misikitini,michezoni.popote palipo na watu CCM ipo na ina watu wake hapo.na yote inayofanya CCM hakuna chama kinazuiliwa kufanya.nyinyi endeleeni kujifungia ofisini mkitoka mnatangaza migomo na kuwatukana wahamasishaji na washawishi wa ccm kuwa ni machawa.haya! Machawa hao hao wanasepa na kijiji! Mkija kushtuka kuwa mliokuwa mkiwabeza na kuwakashifu kumbe wana umuhimu, kumekucha!

Lingine niwambie CHADEMA kuwa wasiishi wakati uliopita,maana katika wakati huu wapenzi wao wengi iliokuwa nao chaguzi mbili mpaka tatu zilizopita,wengi wao wamevujwa mioyo sana na mienendo ya viongozi wao wa juu tatika hizo chaguzi,na ukweli wengi wamejiunga au wamehamia ccm na wengine kuchukia na kuachana kabisa na siasa.

Na kosa lingine analofanya mwenyekiti mpya CHADEMA ni kutangaza hadharani hahitaji muungano na chama kingine.anaamini yeye ndio yeye na anaweza peke yake,wakati hata ccm wanapambana kuungwa mkono na vyama vingine yeye anagoma.yaani unafanya siasa halafu hutaki watu wakuunge mkono.
CCM ukiona hawamtaki mtu ujue huyo mtu hawaungi mkono na amegoma kubadilika au kushawishika.

Na katika hili CCM wameweza sana,wamewekeza sana katika watu,wapo karibu sana na watu,kutoka ngazi ya taifa hadi ubalozi wa nyumba kumi,na inawalipa!

Huu ndio ukweli japo ni mchungu.

Sisi CHADEMA tuendelee kujifungia ofisini, tukitoka tunaita waandishi wa habari,tunakashifu vyama,viongozi wa nchi,wa dini,wa taasisi,wasanii na wote wanaoiunga mkono CCM kana kwamba wanachofanya ni ni kosa kikatiba.,

Tuendelee kutafuta kuhurumiwa huku tunatangaza migomo na fujo kisha tunaomba michango mwisho tunagawana posho za ruzuku, tupanda V8 zetu nyumbani kutulia na familia zetu tukiendelea kufuatilia maoni ya wanachama wetu mitandaoni.wakati ccm wako mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba wakihamasisha watu kujiandikisha na kuwaunga mkono!

Na hakika wanawapata! Maana

Siasa ni sanaa na sanaa ni kazi! Naona wengi wapo kazini kushawishi,wachache wanatia huruma kukashifu na kutukana(timing mbovu kabisa).

Muda ambao unatakiwa kuji-brand unampaisha mshindani kwa kumtajataja kila ulipo.

Mgonjwa hakatai dawa, akikataa dawa ujue hali ni mbaya!

Mida!
Ndo akili zenu zilipoishia huko CCM.

Eti CCM kuna fursa za vijana! Fursa gani?

Au unanadhani hatuoni hao vijana wanaorubiniwa huko wanavyopigika mitaani kwa kukosa ajira? Mnavyowatumia kama toilet paper kuwajaza kwenye mikutano kwa posho mnazoiba kwenye hamlashauri ndo fursa?

Kama huko Ccm kungekuwa na fursa vijana wangelia kukosa ajira?

Eti Chama chake kina watu wengi hamkubali? Wapi kwenye chaguzi huru na haki mtu anakubaliwa kwa asilimia 100%?

Kama hawamkubali kwenye chama chake wekeni hiyo Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya tuone kwa jinsi gani watanzania hawamkubali.
 
..mtoa mada hebu twende taratibu kidogo.

..malalamiko dhidi ya Tume yetu ya uchaguzi yamekuwa yakiongezeka kadiri miaka inavyokwenda.

..Ripoti Tume za Jaji Nyalali, Jaji Kisanga, Jaji Bomani, Jaji Warioba, Prof.Mkandala, zote zimebainisha kwamba Tume yetu sio huru, hivyo inahitaji marekebisho makubwa.

..Sasa katika mazingira hayo kwanini CCM inakuwa na kiburi kutokusiliza ushauri wa watu waadilifu na wabobezi ktk jamii yetu?

..Tundu Lissu hajasema kitu chochote kipya bali amerejea tu yaliyosemwa na Tume mbalimbali zilizoangazia Tume yetu na mifumo ya uchaguzi hapa nchini.

..Hii nchi ni yetu sote.

..Tutendeana HAKI.
Hongera sana mkuu. Umejitahidi sana kumjibu asiye na uelewa wa mambo kwa busara.
 
..una hoja nzuri maridadi kwelikweli, isipokuwa katika maeneo machache.

..lakini nakuomba udadisi ni kitu gani kimepelekea Lissu na wenzake waone ni bora kususia uchaguzi.

..pia nakuomba utafakari kwanini Tume za Jaji Nyalali, Jaji Kisanga, Jaji Bomani, Jaji Warioba, na Prof.Mukandala, zote ripoti zake zimeshauri tubadilishe mifumo yetu ya uchaguzi na tuunde Tume Huru.

..mwisho, nakuomba ushauri hatua gani zichukuliwe ili uchaguzi wetu uwe wa HAKI zaidi, na usilalamikiwe na wagombea wa vyama vya upinzani.
Unajua kwanini hizo tume zote hazijafanikiwa kufanikisha kuipata tume huru?
Ni kwa sababu Nguvu ya mamba ni maji,wao wanapiga mbizi nchi kavu.

90% ya mabadiliko ya kisheria na katiba yanafanywa na wabunge ndani ya bunge.

Walio wengi bungeni na wenye nguvu ndio wenye maamuzi.

Kwahiyo njia ya kupata yote hayo ni kuwa wengi bungeni.njia ya kuwa wengi bungeni ni kuungana(imesha-prove) na lisu ashatangaza hadharani kuikataa ndio maana nasema ameipa ushindi ccm!
 
Back
Top Bottom