Pre GE2025 Lissu anaipa ushindi CCM mapema sana

Pre GE2025 Lissu anaipa ushindi CCM mapema sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..mtoa mada hebu twende taratibu kidogo.

..malalamiko dhidi ya Tume yetu ya uchaguzi yamekuwa yakiongezeka kadiri miaka inavyokwenda.

..Ripoti Tume za Jaji Nyalali, Jaji Kisanga, Jaji Bomani, Jaji Warioba, Prof.Mkandala, zote zimebainisha kwamba Tume yetu sio huru, hivyo inahitaji marekebisho makubwa.

..Sasa katika mazingira hayo kwanini CCM inakuwa na kiburi kutokusiliza ushauri wa watu waadilifu na wabobezi ktk jamii yetu?

..Tundu Lissu hajasema kitu chochote kipya bali amerejea tu yaliyosemwa na Tume mbalimbali zilizoangazia Tume yetu na mifumo ya uchaguzi hapa nchini.

..Hii nchi ni yetu sote.

..Tutendeana HAKI.
Umesema vizuri sana kiongozi.
lisu amerejea yale yale,kwa hiyo na matokeo yake kwa asimia kubwa yatakuwa yale yale au mabaya zaidi ya yale Kwa sababu nguvu yao na ushawishi kiuhalisia imepungua kuliko wakati ule!

Haki itendeke ndio,lakini katika maisha haki haipatikani kilelemama.ndio maana hata lisu na wenzie kina sugu,lema,mbowe,mdee,msigwa na wengine waliposhinda ubunge aliipata haki yao lakini si kilelemama.alipambana(walipambana haswa!
Na huo ndio uhalisia katika maisha kwa ujumla sio katika siasa tu,haki inapambaniwa! Ukiwa mzubavu hupati kitu! Na huu ndio ukweli!
 
Hao vijana unaosema wako CCM ndio wale waliojipaka matope na kupita mbele ya raisi, au unazungumzia akina mwakani wanagalagala kwenye vumbi? hao vijana ni kama akina Lucas Mwashambwa ? Huko CCM Kuna vijana gani wenye kujenga hoja wakaeleweka labda
Kwa akili hizi ccm itatawala hata miaka 2000 ijayo. Kama ndo inadhani ipo hivyo basi pole sana nyumbu wewe.
 
Kwanza,kwenye chama chake tu kuna watu zaidi ya 40% hawamkubali,hiyo imethibitika kwenye uchaguzi mkuu wa chama,hata kama atapambana kuwarudisha, hutawarudisha wote.wengine atakua nao ila hawatakua upande wake abadani,na huo ndio ukweli akubali ukatae!

Hoja ya kugomea uchaguzi na kutangaza kuzuia uchaguzi mapema hivi ni dalili ya uoga na kukubali kushindwa mapema sana,yani umetupa taulo hata kabla hujaingia ulingoni.maana kama hoja ni katiba na tume tu inabidi utuambie kwanza wakati ulipokua mbunge ulitangazwa mshindi kupitia katiba na tume za namna gani?

Je kama tume zilikua hazitendi haki,je na wewe ulipokua mbunge ubunge uliupata kinyume na haki? Tambua kuwa sibezi hitaji la katiba na tume bora yenye kujisimamia.ila kususia uchaguzi kwa hoja hiyo ni kichaka cheupe sana ikiwa viongozi wengi tu ukiwemo wewe mwenyewe ulitangazwa mshindi na tume hizo hizo tunazozilalamikia.

Vijana wengi saizi ni ccm tena CCM haswa,kwanini vijana wengi wanakua CCM,kwa sababu wanajionea ukiwa CCM kuna chochote kitu unapata,japo hili hutakubaliana nalo ila haitabadilisha ukweli.vijana saizi wanataka hela,na wanaelewa vyama vyote vina hela.wanaona vijana wenzao waliopo CCM wanavyopata hela na fursa,sasa yeye aendelee kufanya siasa za kuchangisha wanachama bila kuwaeleza fungu la ruzuku lime limefanya kazi gani! Ujinga una mwisho(sisemi kwa ubaya bali hoja).

Siasa ni watu na CCM inatafuta watu usiku na mchana,majumbani,makanisani,misikitini,michezoni.popote palipo na watu CCM ipo na ina watu wake hapo.na yote inayofanya CCM hakuna chama kinazuiliwa kufanya.nyinyi endeleeni kujifungia ofisini mkitoka mnatangaza migomo na kuwatukana wahamasishaji na washawishi wa ccm kuwa ni machawa.haya! Machawa hao hao wanasepa na kijiji! Mkija kushtuka kuwa mliokuwa mkiwabeza na kuwakashifu kumbe wana umuhimu, kumekucha!

Lingine niwambie CHADEMA kuwa wasiishi wakati uliopita,maana katika wakati huu wapenzi wao wengi iliokuwa nao chaguzi mbili mpaka tatu zilizopita,wengi wao wamevujwa mioyo sana na mienendo ya viongozi wao wa juu tatika hizo chaguzi,na ukweli wengi wamejiunga au wamehamia ccm na wengine kuchukia na kuachana kabisa na siasa.

Na kosa lingine analofanya mwenyekiti mpya CHADEMA ni kutangaza hadharani hahitaji muungano na chama kingine.anaamini yeye ndio yeye na anaweza peke yake,wakati hata ccm wanapambana kuungwa mkono na vyama vingine yeye anagoma.yaani unafanya siasa halafu hutaki watu wakuunge mkono.
CCM ukiona hawamtaki mtu ujue huyo mtu hawaungi mkono na amegoma kubadilika au kushawishika.

Na katika hili CCM wameweza sana,wamewekeza sana katika watu,wapo karibu sana na watu,kutoka ngazi ya taifa hadi ubalozi wa nyumba kumi,na inawalipa!

Huu ndio ukweli japo ni mchungu.

Sisi CHADEMA tuendelee kujifungia ofisini, tukitoka tunaita waandishi wa habari,tunakashifu vyama,viongozi wa nchi,wa dini,wa taasisi,wasanii na wote wanaoiunga mkono CCM kana kwamba wanachofanya ni ni kosa kikatiba.,

Tuendelee kutafuta kuhurumiwa huku tunatangaza migomo na fujo kisha tunaomba michango mwisho tunagawana posho za ruzuku, tupanda V8 zetu nyumbani kutulia na familia zetu tukiendelea kufuatilia maoni ya wanachama wetu mitandaoni.wakati ccm wako mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba wakihamasisha watu kujiandikisha na kuwaunga mkono!

Na hakika wanawapata! Maana

Siasa ni sanaa na sanaa ni kazi! Naona wengi wapo kazini kushawishi,wachache wanatia huruma kukashifu na kutukana(timing mbovu kabisa).

Muda ambao unatakiwa kuji-brand unampaisha mshindani kwa kumtajataja kila ulipo.

Mgonjwa hakatai dawa, akikataa dawa ujue hali ni mbaya!

Mida!
Uhuru wa tume umeupima kwa vigezo gani, kutangazwa Lisu mshindi haiwezi kuhalalisha uhuru wa tume, inaweza ikawa hisani tu ili kuwafumba macho wananzengo.Haki ya kweli ya kiuchaguzi itapatikana kwa uwepo wa tume iliyo huru.
 
Ndo akili zenu zilipoishia huko CCM.

Eti CCM kuna fursa za vijana! Fursa gani?

Au unanadhani hatuoni hao vijana wanaorubiniwa huko wanavyopigika mitaani kwa kukosa ajira? Mnavyowatumia kama toilet paper kuwajaza kwenye mikutano kwa posho mnazoiba kwenye hamlashauri ndo fursa?

Kama huko Ccm kungekuwa na fursa vijana wangelia kukosa ajira?

Eti Chama chake kina watu wengi hamkubali? Wapi kwenye chaguzi huru na haki mtu anakubaliwa kwa asilimia 100%?

Kama hawamkubali kwenye chama chake wekeni hiyo Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya tuone kwa jinsi gani watanzania hawamkubali.
Ndio ccm kuna fursa kuanzia juu mpaka chini!
Fursa ambazo Dr.slaa aliziona akazifuata,sasa sijui utaniambia wewe umewahi kuwa mpinzani kuliko slaa?


Fursa ambazo msingwa ameziona kazifuata,sijui unataka kutuambia wewe umewahi kuwa mpinzani kuliko msigwa?

Fursa ambazo wasanii wanaziona wanazifuata,

Yaani ukiondoa hisia ukafungua macho kuuona uhalisia,utaona vijana wa chadema wanavotia huruma kimaisha na kuishia kuwatukana na kuwakashifu tu wanaonufaika na fedha za ccm.
Japo hawawezi kunufaika wote ila wengi.na hawanufaiki hivi hivi tu wanapewa kask(washawishi watu),maana mtaji wa kwanza wa ccm ni watu na watu inao ina wapata wapya kila siku!

Fedha ipo,haiwezi kuwa sawa na ya wale lakini ipo,Chadema nayo itoe fursa kwa vijana,hela za wafadhili na ruzuku wasile viongozi wa chama tu peke yao,mkate wa chama uliwe na wengi kama sio wote kila mmoja kwa hadhi, nafasi na kazi yake.
 
Uhuru wa tume umeupima kwa vigezo gani, kutangazwa Lisu mshindi haiwezi kuhalalisha uhuru wa tume, inaweza ikawa hisani tu ili kuwafumba macho wananzengo.Haki ya kweli ya kiuchaguzi itapatikana kwa uwepo wa tume iliyo huru.
Yaani chama fulani kimpe ushindi mshindwa wa chama kingine kwa hisani!
basi sawa,tuendelee hivi hivi!
 
..una hoja gani kuhusu Tume Huru ya uchaguzi?

..kwanini CCM haitaki kuunda Tume Huru ili uchaguzi uwe wa haki?
Hakuna tume huru duniani inayoweza kutenda haki,tume bora lazima iwe haiko huru.LAZIMA IDHITIWE TENA IDHITIWE HASWA NA SHERIA,ili isiwe huru kufanya lolote lililo kinyume na haki,maana ikiwa huru itakuwa imepewa haki ya kufanya vyovyote na isifanywe lolote maana iko huru kisheria!
Iabda hoja kwa mtazamo wangu iwe namna iyo tume inavopatikana!
 
Kwanza,kwenye chama chake tu kuna watu zaidi ya 40% hawamkubali,hiyo imethibitika kwenye uchaguzi mkuu wa chama,hata kama atapambana kuwarudisha, hutawarudisha wote.wengine atakua nao ila hawatakua upande wake abadani,na huo ndio ukweli akubali ukatae!

Hoja ya kugomea uchaguzi na kutangaza kuzuia uchaguzi mapema hivi ni dalili ya uoga na kukubali kushindwa mapema sana,yani umetupa taulo hata kabla hujaingia ulingoni.maana kama hoja ni katiba na tume tu inabidi utuambie kwanza wakati ulipokua mbunge ulitangazwa mshindi kupitia katiba na tume za namna gani?

Je kama tume zilikua hazitendi haki,je na wewe ulipokua mbunge ubunge uliupata kinyume na haki? Tambua kuwa sibezi hitaji la katiba na tume bora yenye kujisimamia.ila kususia uchaguzi kwa hoja hiyo ni kichaka cheupe sana ikiwa viongozi wengi tu ukiwemo wewe mwenyewe ulitangazwa mshindi na tume hizo hizo tunazozilalamikia.

Vijana wengi saizi ni ccm tena CCM haswa,kwanini vijana wengi wanakua CCM,kwa sababu wanajionea ukiwa CCM kuna chochote kitu unapata,japo hili hutakubaliana nalo ila haitabadilisha ukweli.vijana saizi wanataka hela,na wanaelewa vyama vyote vina hela.wanaona vijana wenzao waliopo CCM wanavyopata hela na fursa,sasa yeye aendelee kufanya siasa za kuchangisha wanachama bila kuwaeleza fungu la ruzuku lime limefanya kazi gani! Ujinga una mwisho(sisemi kwa ubaya bali hoja).

Siasa ni watu na CCM inatafuta watu usiku na mchana,majumbani,makanisani,misikitini,michezoni.popote palipo na watu CCM ipo na ina watu wake hapo.na yote inayofanya CCM hakuna chama kinazuiliwa kufanya.nyinyi endeleeni kujifungia ofisini mkitoka mnatangaza migomo na kuwatukana wahamasishaji na washawishi wa ccm kuwa ni machawa.haya! Machawa hao hao wanasepa na kijiji! Mkija kushtuka kuwa mliokuwa mkiwabeza na kuwakashifu kumbe wana umuhimu, kumekucha!

Lingine niwambie CHADEMA kuwa wasiishi wakati uliopita,maana katika wakati huu wapenzi wao wengi iliokuwa nao chaguzi mbili mpaka tatu zilizopita,wengi wao wamevujwa mioyo sana na mienendo ya viongozi wao wa juu tatika hizo chaguzi,na ukweli wengi wamejiunga au wamehamia ccm na wengine kuchukia na kuachana kabisa na siasa.

Na kosa lingine analofanya mwenyekiti mpya CHADEMA ni kutangaza hadharani hahitaji muungano na chama kingine.anaamini yeye ndio yeye na anaweza peke yake,wakati hata ccm wanapambana kuungwa mkono na vyama vingine yeye anagoma.yaani unafanya siasa halafu hutaki watu wakuunge mkono.
CCM ukiona hawamtaki mtu ujue huyo mtu hawaungi mkono na amegoma kubadilika au kushawishika.

Na katika hili CCM wameweza sana,wamewekeza sana katika watu,wapo karibu sana na watu,kutoka ngazi ya taifa hadi ubalozi wa nyumba kumi,na inawalipa!

Huu ndio ukweli japo ni mchungu.

Sisi CHADEMA tuendelee kujifungia ofisini, tukitoka tunaita waandishi wa habari,tunakashifu vyama,viongozi wa nchi,wa dini,wa taasisi,wasanii na wote wanaoiunga mkono CCM kana kwamba wanachofanya ni ni kosa kikatiba.,

Tuendelee kutafuta kuhurumiwa huku tunatangaza migomo na fujo kisha tunaomba michango mwisho tunagawana posho za ruzuku, tupanda V8 zetu nyumbani kutulia na familia zetu tukiendelea kufuatilia maoni ya wanachama wetu mitandaoni.wakati ccm wako mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba wakihamasisha watu kujiandikisha na kuwaunga mkono!

Na hakika wanawapata! Maana

Siasa ni sanaa na sanaa ni kazi! Naona wengi wapo kazini kushawishi,wachache wanatia huruma kukashifu na kutukana(timing mbovu kabisa).

Muda ambao unatakiwa kuji-brand unampaisha mshindani kwa kumtajataja kila ulipo.

Mgonjwa hakatai dawa, akikataa dawa ujue hali ni mbaya!

Mida!
mbona ccm 90% hawamkubali saa100 ni kumi tu nabado amekaza
 
Kwanza,kwenye chama chake tu kuna watu zaidi ya 40% hawamkubali,hiyo imethibitika kwenye uchaguzi mkuu wa chama,hata kama atapambana kuwarudisha, hutawarudisha wote.wengine atakua nao ila hawatakua upande wake abadani,na huo ndio ukweli akubali ukatae!

Hoja ya kugomea uchaguzi na kutangaza kuzuia uchaguzi mapema hivi ni dalili ya uoga na kukubali kushindwa mapema sana,yani umetupa taulo hata kabla hujaingia ulingoni.maana kama hoja ni katiba na tume tu inabidi utuambie kwanza wakati ulipokua mbunge ulitangazwa mshindi kupitia katiba na tume za namna gani?

Je kama tume zilikua hazitendi haki,je na wewe ulipokua mbunge ubunge uliupata kinyume na haki? Tambua kuwa sibezi hitaji la katiba na tume bora yenye kujisimamia.ila kususia uchaguzi kwa hoja hiyo ni kichaka cheupe sana ikiwa viongozi wengi tu ukiwemo wewe mwenyewe ulitangazwa mshindi na tume hizo hizo tunazozilalamikia.

Vijana wengi saizi ni ccm tena CCM haswa,kwanini vijana wengi wanakua CCM,kwa sababu wanajionea ukiwa CCM kuna chochote kitu unapata,japo hili hutakubaliana nalo ila haitabadilisha ukweli.vijana saizi wanataka hela,na wanaelewa vyama vyote vina hela.wanaona vijana wenzao waliopo CCM wanavyopata hela na fursa,sasa yeye aendelee kufanya siasa za kuchangisha wanachama bila kuwaeleza fungu la ruzuku lime limefanya kazi gani! Ujinga una mwisho(sisemi kwa ubaya bali hoja).

Siasa ni watu na CCM inatafuta watu usiku na mchana,majumbani,makanisani,misikitini,michezoni.popote palipo na watu CCM ipo na ina watu wake hapo.na yote inayofanya CCM hakuna chama kinazuiliwa kufanya.nyinyi endeleeni kujifungia ofisini mkitoka mnatangaza migomo na kuwatukana wahamasishaji na washawishi wa ccm kuwa ni machawa.haya! Machawa hao hao wanasepa na kijiji! Mkija kushtuka kuwa mliokuwa mkiwabeza na kuwakashifu kumbe wana umuhimu, kumekucha!

Lingine niwambie CHADEMA kuwa wasiishi wakati uliopita,maana katika wakati huu wapenzi wao wengi iliokuwa nao chaguzi mbili mpaka tatu zilizopita,wengi wao wamevujwa mioyo sana na mienendo ya viongozi wao wa juu tatika hizo chaguzi,na ukweli wengi wamejiunga au wamehamia ccm na wengine kuchukia na kuachana kabisa na siasa.

Na kosa lingine analofanya mwenyekiti mpya CHADEMA ni kutangaza hadharani hahitaji muungano na chama kingine.anaamini yeye ndio yeye na anaweza peke yake,wakati hata ccm wanapambana kuungwa mkono na vyama vingine yeye anagoma.yaani unafanya siasa halafu hutaki watu wakuunge mkono.
CCM ukiona hawamtaki mtu ujue huyo mtu hawaungi mkono na amegoma kubadilika au kushawishika.

Na katika hili CCM wameweza sana,wamewekeza sana katika watu,wapo karibu sana na watu,kutoka ngazi ya taifa hadi ubalozi wa nyumba kumi,na inawalipa!

Huu ndio ukweli japo ni mchungu.

Sisi CHADEMA tuendelee kujifungia ofisini, tukitoka tunaita waandishi wa habari,tunakashifu vyama,viongozi wa nchi,wa dini,wa taasisi,wasanii na wote wanaoiunga mkono CCM kana kwamba wanachofanya ni ni kosa kikatiba.,

Tuendelee kutafuta kuhurumiwa huku tunatangaza migomo na fujo kisha tunaomba michango mwisho tunagawana posho za ruzuku, tupanda V8 zetu nyumbani kutulia na familia zetu tukiendelea kufuatilia maoni ya wanachama wetu mitandaoni.wakati ccm wako mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba wakihamasisha watu kujiandikisha na kuwaunga mkono!

Na hakika wanawapata! Maana

Siasa ni sanaa na sanaa ni kazi! Naona wengi wapo kazini kushawishi,wachache wanatia huruma kukashifu na kutukana(timing mbovu kabisa).

Muda ambao unatakiwa kuji-brand unampaisha mshindani kwa kumtajataja kila ulipo.

Mgonjwa hakatai dawa, akikataa dawa ujue hali ni mbaya!

Mida!
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
Kwa akili hizi ccm itatawala hata miaka 2000 ijayo. Kama ndo inadhani ipo hivyo basi pole sana nyumbu wewe.
ndio inavyojionyesha kwani wewe huoni? kila mtu mama mama, sio mtu mzima, au vijana wote mnaimba chorus moja, wale waliojipaka matope si ni vijana wa CCM
 
Subira the princess Jipe muda uone kama huta muona ndugai akimpigia kampeni samia, ccm inapofikia wakati wa maslahi ya chama na kukilinda chama wako makini kuliko vyama vyote nchini,hawana uadui wa kudumu,na huo ndio ukamavu wa kisiasa,jipe muda utamuoana ndugai!
 
Kwanza,kwenye chama chake tu kuna watu zaidi ya 40% hawamkubali,hiyo imethibitika kwenye uchaguzi mkuu wa chama,hata kama atapambana kuwarudisha, hutawarudisha wote.wengine atakua nao ila hawatakua upande wake abadani,na huo ndio ukweli akubali ukatae!

Hoja ya kugomea uchaguzi na kutangaza kuzuia uchaguzi mapema hivi ni dalili ya uoga na kukubali kushindwa mapema sana,yani umetupa taulo hata kabla hujaingia ulingoni.maana kama hoja ni katiba na tume tu inabidi utuambie kwanza wakati ulipokua mbunge ulitangazwa mshindi kupitia katiba na tume za namna gani?

Je kama tume zilikua hazitendi haki,je na wewe ulipokua mbunge ubunge uliupata kinyume na haki? Tambua kuwa sibezi hitaji la katiba na tume bora yenye kujisimamia.ila kususia uchaguzi kwa hoja hiyo ni kichaka cheupe sana ikiwa viongozi wengi tu ukiwemo wewe mwenyewe ulitangazwa mshindi na tume hizo hizo tunazozilalamikia.

Vijana wengi saizi ni ccm tena CCM haswa,kwanini vijana wengi wanakua CCM,kwa sababu wanajionea ukiwa CCM kuna chochote kitu unapata,japo hili hutakubaliana nalo ila haitabadilisha ukweli.vijana saizi wanataka hela,na wanaelewa vyama vyote vina hela.wanaona vijana wenzao waliopo CCM wanavyopata hela na fursa,sasa yeye aendelee kufanya siasa za kuchangisha wanachama bila kuwaeleza fungu la ruzuku lime limefanya kazi gani! Ujinga una mwisho(sisemi kwa ubaya bali hoja).

Siasa ni watu na CCM inatafuta watu usiku na mchana,majumbani,makanisani,misikitini,michezoni.popote palipo na watu CCM ipo na ina watu wake hapo.na yote inayofanya CCM hakuna chama kinazuiliwa kufanya.nyinyi endeleeni kujifungia ofisini mkitoka mnatangaza migomo na kuwatukana wahamasishaji na washawishi wa ccm kuwa ni machawa.haya! Machawa hao hao wanasepa na kijiji! Mkija kushtuka kuwa mliokuwa mkiwabeza na kuwakashifu kumbe wana umuhimu, kumekucha!

Lingine niwambie CHADEMA kuwa wasiishi wakati uliopita,maana katika wakati huu wapenzi wao wengi iliokuwa nao chaguzi mbili mpaka tatu zilizopita,wengi wao wamevujwa mioyo sana na mienendo ya viongozi wao wa juu tatika hizo chaguzi,na ukweli wengi wamejiunga au wamehamia ccm na wengine kuchukia na kuachana kabisa na siasa.

Na kosa lingine analofanya mwenyekiti mpya CHADEMA ni kutangaza hadharani hahitaji muungano na chama kingine.anaamini yeye ndio yeye na anaweza peke yake,wakati hata ccm wanapambana kuungwa mkono na vyama vingine yeye anagoma.yaani unafanya siasa halafu hutaki watu wakuunge mkono.
CCM ukiona hawamtaki mtu ujue huyo mtu hawaungi mkono na amegoma kubadilika au kushawishika.

Na katika hili CCM wameweza sana,wamewekeza sana katika watu,wapo karibu sana na watu,kutoka ngazi ya taifa hadi ubalozi wa nyumba kumi,na inawalipa!

Huu ndio ukweli japo ni mchungu.

Sisi CHADEMA tuendelee kujifungia ofisini, tukitoka tunaita waandishi wa habari,tunakashifu vyama,viongozi wa nchi,wa dini,wa taasisi,wasanii na wote wanaoiunga mkono CCM kana kwamba wanachofanya ni ni kosa kikatiba.,

Tuendelee kutafuta kuhurumiwa huku tunatangaza migomo na fujo kisha tunaomba michango mwisho tunagawana posho za ruzuku, tupanda V8 zetu nyumbani kutulia na familia zetu tukiendelea kufuatilia maoni ya wanachama wetu mitandaoni.wakati ccm wako mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba wakihamasisha watu kujiandikisha na kuwaunga mkono!

Na hakika wanawapata! Maana

Siasa ni sanaa na sanaa ni kazi! Naona wengi wapo kazini kushawishi,wachache wanatia huruma kukashifu na kutukana(timing mbovu kabisa).

Muda ambao unatakiwa kuji-brand unampaisha mshindani kwa kumtajataja kila ulipo.

Mgonjwa hakatai dawa, akikataa dawa ujue hali ni mbaya!

Mida!
Ukimsikiliza Lisu ukiwa tungi nini? Kifupi masisiemu mmechangsnyikiwa na mtachsngsnyikiwa kweli kweli huyu TAL anajua kusimamia anachokiamini mambo hayatakua mepesi mjiandae kisaikolojia pia
 
Team Lisu walitukana sana, ndio maana huoni watu wakishtuka na hicho chama tena, walimuona kila mtu mjinga, isipokuwa wao.
Ngoja tuone.
 
Shida ndani ya CCM huanzia kwenye kura za maoni. Watu hukatika matabaka tabaka
 
Kwanza,kwenye chama chake tu kuna watu zaidi ya 40% hawamkubali,hiyo imethibitika kwenye uchaguzi mkuu wa chama,hata kama atapambana kuwarudisha, hutawarudisha wote.wengine atakua nao ila hawatakua upande wake abadani,na huo ndio ukweli akubali ukatae!

Hoja ya kugomea uchaguzi na kutangaza kuzuia uchaguzi mapema hivi ni dalili ya uoga na kukubali kushindwa mapema sana,yani umetupa taulo hata kabla hujaingia ulingoni.maana kama hoja ni katiba na tume tu inabidi utuambie kwanza wakati ulipokua mbunge ulitangazwa mshindi kupitia katiba na tume za namna gani?

Je kama tume zilikua hazitendi haki,je na wewe ulipokua mbunge ubunge uliupata kinyume na haki? Tambua kuwa sibezi hitaji la katiba na tume bora yenye kujisimamia.ila kususia uchaguzi kwa hoja hiyo ni kichaka cheupe sana ikiwa viongozi wengi tu ukiwemo wewe mwenyewe ulitangazwa mshindi na tume hizo hizo tunazozilalamikia.

Vijana wengi saizi ni ccm tena CCM haswa,kwanini vijana wengi wanakua CCM,kwa sababu wanajionea ukiwa CCM kuna chochote kitu unapata,japo hili hutakubaliana nalo ila haitabadilisha ukweli.vijana saizi wanataka hela,na wanaelewa vyama vyote vina hela.wanaona vijana wenzao waliopo CCM wanavyopata hela na fursa,sasa yeye aendelee kufanya siasa za kuchangisha wanachama bila kuwaeleza fungu la ruzuku lime limefanya kazi gani! Ujinga una mwisho(sisemi kwa ubaya bali hoja).

Siasa ni watu na CCM inatafuta watu usiku na mchana,majumbani,makanisani,misikitini,michezoni.popote palipo na watu CCM ipo na ina watu wake hapo.na yote inayofanya CCM hakuna chama kinazuiliwa kufanya.nyinyi endeleeni kujifungia ofisini mkitoka mnatangaza migomo na kuwatukana wahamasishaji na washawishi wa ccm kuwa ni machawa.haya! Machawa hao hao wanasepa na kijiji! Mkija kushtuka kuwa mliokuwa mkiwabeza na kuwakashifu kumbe wana umuhimu, kumekucha!

Lingine niwambie CHADEMA kuwa wasiishi wakati uliopita,maana katika wakati huu wapenzi wao wengi iliokuwa nao chaguzi mbili mpaka tatu zilizopita,wengi wao wamevujwa mioyo sana na mienendo ya viongozi wao wa juu tatika hizo chaguzi,na ukweli wengi wamejiunga au wamehamia ccm na wengine kuchukia na kuachana kabisa na siasa.

Na kosa lingine analofanya mwenyekiti mpya CHADEMA ni kutangaza hadharani hahitaji muungano na chama kingine.anaamini yeye ndio yeye na anaweza peke yake,wakati hata ccm wanapambana kuungwa mkono na vyama vingine yeye anagoma.yaani unafanya siasa halafu hutaki watu wakuunge mkono.
CCM ukiona hawamtaki mtu ujue huyo mtu hawaungi mkono na amegoma kubadilika au kushawishika.

Na katika hili CCM wameweza sana,wamewekeza sana katika watu,wapo karibu sana na watu,kutoka ngazi ya taifa hadi ubalozi wa nyumba kumi,na inawalipa!

Huu ndio ukweli japo ni mchungu.

Sisi CHADEMA tuendelee kujifungia ofisini, tukitoka tunaita waandishi wa habari,tunakashifu vyama,viongozi wa nchi,wa dini,wa taasisi,wasanii na wote wanaoiunga mkono CCM kana kwamba wanachofanya ni ni kosa kikatiba.,

Tuendelee kutafuta kuhurumiwa huku tunatangaza migomo na fujo kisha tunaomba michango mwisho tunagawana posho za ruzuku, tupanda V8 zetu nyumbani kutulia na familia zetu tukiendelea kufuatilia maoni ya wanachama wetu mitandaoni.wakati ccm wako mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba wakihamasisha watu kujiandikisha na kuwaunga mkono!

Na hakika wanawapata! Maana

Siasa ni sanaa na sanaa ni kazi! Naona wengi wapo kazini kushawishi,wachache wanatia huruma kukashifu na kutukana(timing mbovu kabisa).

Muda ambao unatakiwa kuji-brand unampaisha mshindani kwa kumtajataja kila ulipo.

Mgonjwa hakatai dawa, akikataa dawa ujue hali ni mbaya!

Mida!
Mama je wote Wana CCM wanamkubali?
 
Ukimsikiliza Lisu ukiwa tungi nini? Kifupi masisiemu mmechangsnyikiwa na mtachsngsnyikiwa kweli kweli huyu TAL anajua kusimamia anachokiamini mambo hayatakua mepesi mjiandae kisaikolojia pia
Moja ya shida ya wengi chadema ni hii,wanaamini kila anayeenda tofauti na mawazo yao au ya mwenyekiti wao ni ccm,wanakua hasira,matusi,kashfa na kuamini wanaweza hata kama wao ni wachache.
wakati ccm wanapambana kuwashawishi wanachama wapya hata wa chadema wawaunge mmkono,chadema wao wanapambana kuwatweza wanachama wa ccm badala ya kuwashawishi wajiunge nao!
Kisaikolojia iko hivi,mfano hapa jukwaani mtu anapomshambulia na kumkashifu Mwashambwa,anamfanya azidi kukipenda kile chama kinachompa heshima.wakati ungeweza kumuelimisha na kumshawisha akuelewe na akuunge mkono,maana kura yake hata kama ni moja ina thamani kubwa atakako ipeleka!

maana kazi ya kwanza ya ccm hata kabla ya yote kuelekea uchaguzi huwa NI KUTAFUTA KURA NYINGI ZA HALALI KWA NJIA YOYOTE.na kwa sehemu kubwa huwa wanazipata kwa hivyo hivo vitenge na kofia mnazozibeza.
Ila sisi twendelee hivi hivi..
 
Sikupoteza muda kusoma makala yote!
Lakini kwa kifupi hizo ulizoandika ni hoja dhaifu!
Achilia mbali hakuna utafiti uliofanya kuthibitisha kuwa vijana wengi ni CCM kwamba wanapata cho chote! Kipi wanachopata bila kuwa machawa kwanza?
Nadhani CCM ndiyo bado wanaishi wakati uliopita! Wanaamini kama wanavyovuruga uchaguzi miaka yote ili kuingia madarakani wataendelea hivyo hivyo!
Kwa nini mnavuruga uchaguzi ili muingie madarakani ni kwa sababu mnajua na ndivyo ilivyo CCM hakiaminiki kwa wapiga kura.
Nimalizie hapo kwa kukumbusha harakati za kuving'oa vyama vilivyokaa madarakani muda mrefu kwa hasara ya wananchi,ni Kuunganisha nguvu za wananchi.
 
Kwanza,kwenye chama chake tu kuna watu zaidi ya 40% hawamkubali,hiyo imethibitika kwenye uchaguzi mkuu wa chama,hata kama atapambana kuwarudisha, hutawarudisha wote.wengine atakua nao ila hawatakua upande wake abadani,na huo ndio ukweli akubali ukatae!

Hoja ya kugomea uchaguzi na kutangaza kuzuia uchaguzi mapema hivi ni dalili ya uoga na kukubali kushindwa mapema sana,yani umetupa taulo hata kabla hujaingia ulingoni.maana kama hoja ni katiba na tume tu inabidi utuambie kwanza wakati ulipokua mbunge ulitangazwa mshindi kupitia katiba na tume za namna gani?

Je kama tume zilikua hazitendi haki,je na wewe ulipokua mbunge ubunge uliupata kinyume na haki? Tambua kuwa sibezi hitaji la katiba na tume bora yenye kujisimamia.ila kususia uchaguzi kwa hoja hiyo ni kichaka cheupe sana ikiwa viongozi wengi tu ukiwemo wewe mwenyewe ulitangazwa mshindi na tume hizo hizo tunazozilalamikia.

Vijana wengi saizi ni ccm tena CCM haswa,kwanini vijana wengi wanakua CCM,kwa sababu wanajionea ukiwa CCM kuna chochote kitu unapata,japo hili hutakubaliana nalo ila haitabadilisha ukweli.vijana saizi wanataka hela,na wanaelewa vyama vyote vina hela.wanaona vijana wenzao waliopo CCM wanavyopata hela na fursa,sasa yeye aendelee kufanya siasa za kuchangisha wanachama bila kuwaeleza fungu la ruzuku lime limefanya kazi gani! Ujinga una mwisho(sisemi kwa ubaya bali hoja).

Siasa ni watu na CCM inatafuta watu usiku na mchana,majumbani,makanisani,misikitini,michezoni.popote palipo na watu CCM ipo na ina watu wake hapo.na yote inayofanya CCM hakuna chama kinazuiliwa kufanya.nyinyi endeleeni kujifungia ofisini mkitoka mnatangaza migomo na kuwatukana wahamasishaji na washawishi wa ccm kuwa ni machawa.haya! Machawa hao hao wanasepa na kijiji! Mkija kushtuka kuwa mliokuwa mkiwabeza na kuwakashifu kumbe wana umuhimu, kumekucha!

Lingine niwambie CHADEMA kuwa wasiishi wakati uliopita,maana katika wakati huu wapenzi wao wengi iliokuwa nao chaguzi mbili mpaka tatu zilizopita,wengi wao wamevujwa mioyo sana na mienendo ya viongozi wao wa juu tatika hizo chaguzi,na ukweli wengi wamejiunga au wamehamia ccm na wengine kuchukia na kuachana kabisa na siasa.

Na kosa lingine analofanya mwenyekiti mpya CHADEMA ni kutangaza hadharani hahitaji muungano na chama kingine.anaamini yeye ndio yeye na anaweza peke yake,wakati hata ccm wanapambana kuungwa mkono na vyama vingine yeye anagoma.yaani unafanya siasa halafu hutaki watu wakuunge mkono.
CCM ukiona hawamtaki mtu ujue huyo mtu hawaungi mkono na amegoma kubadilika au kushawishika.

Na katika hili CCM wameweza sana,wamewekeza sana katika watu,wapo karibu sana na watu,kutoka ngazi ya taifa hadi ubalozi wa nyumba kumi,na inawalipa!

Huu ndio ukweli japo ni mchungu.

Sisi CHADEMA tuendelee kujifungia ofisini, tukitoka tunaita waandishi wa habari,tunakashifu vyama,viongozi wa nchi,wa dini,wa taasisi,wasanii na wote wanaoiunga mkono CCM kana kwamba wanachofanya ni ni kosa kikatiba.,

Tuendelee kutafuta kuhurumiwa huku tunatangaza migomo na fujo kisha tunaomba michango mwisho tunagawana posho za ruzuku, tupanda V8 zetu nyumbani kutulia na familia zetu tukiendelea kufuatilia maoni ya wanachama wetu mitandaoni.wakati ccm wako mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba wakihamasisha watu kujiandikisha na kuwaunga mkono!

Na hakika wanawapata! Maana

Siasa ni sanaa na sanaa ni kazi! Naona wengi wapo kazini kushawishi,wachache wanatia huruma kukashifu na kutukana(timing mbovu kabisa).

Muda ambao unatakiwa kuji-brand unampaisha mshindani kwa kumtajataja kila ulipo.

Mgonjwa hakatai dawa, akikataa dawa ujue hali ni mbaya!

Mida!
Hata mama hatumpendi sisi sisiemu ila nani atamfunga paka kengere
 
Back
Top Bottom