Lissu anakuwa na nguvu pale panapokuwa na Siasa za mapambano (confrontational politics), zilikuwepo enzi ya Magufuli, Sasa hazipo, kapoteza relevancy

Lissu anakuwa na nguvu pale panapokuwa na Siasa za mapambano (confrontational politics), zilikuwepo enzi ya Magufuli, Sasa hazipo, kapoteza relevancy

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Lissu ni mwanasiasa anaye shine/anayeng'aa pale panapokuwa na Siasa za mapambano, Siasa hizo zilikuwepo enzi ya jiwe, yule Mzee wa Chato.

Kwa Sasa ni SSH, hana Siasa hizo za piga nikupige. Ndio maana baada ya ujio wa Lissu, ndani ya muda mfupi "amechuja" na umaarufu wake umechuja kwa asilimia 80.

Aina hii ya Siasa aliwahi kuijadili Mbowe akiwa nje ya nchi, Mbowe alisema anawafahamu watanzania kwa muda mrefu, kwamba Siasa zao ni tofauti na Siasa za Kenya, Kenya Wana Siasa za mapambano, kuandamana, mikutano, hawaogopi. Nadhani Lissu anahitaji kuisoma upya jamii ya watanzania na kucheza ndani ya engo ya saikolojia ya watanzania.

Mbowe alikamatwa ndani ya vuguvugu la katiba mpya, hakuna Cha Mnyika, Heche, Wala nani aliyeandamana. Watu wako bize na mambo yao.

Mbowe alikuwa sahihi alipofanya mabadiliko ya mbinu kwa kuingia katika mjadala na Serikali.

Na ndio watanzania tulivyo, tangu ukoloni, Nyerere alitusoma akajua hawa ni watu wa kwenda nao taratibu, na ni wazi aliona hakuna wa kuandamana Wala kuingia katika vita kupigania Uhuru, kama ilivyokuwa kwa MAU MAU Kenya, Nyerere Kaa mezani, Uhuru ukaja.

Pia Lissu kama kiongozi awe anaangalia muda gani anaongea angalau watu wammisi, watu wamemsikiliza Twitter mpaka wakachoka, kiongozi angalia timing ya kuongea, kaa kimya, ulisema unaongea watu wanashtuka, au kuwa na hamu. Sasa akina maria sarungi wakishavuta Hela za mabeberu, kujustify retirement, wanakimbia kwa Lissu, Lissu anaongea masaa kadhaa, anachuja.

Nadhani Kila nchi Ina set up ya kisaikolojia ambayo wanasiasa wanatakiwa kuisoma na kuifanyia uchambuzi, na pengine hata Kila Jimbo, Tarime na Mkunazini Zanzibar haziwezi kuwa sawa.

Wasalaam.
 
hapa ningeanza kuku kukuuliza umr wako kwanza na mida umeanza kufuatilia siasa.Lissu umemjua labda baada ya siasa za magufuli na tukio la kupigwa risasi.

Mapambano ameyaanza muda mrefu ka la hata ya ubunge akiwa anafa ya kazi utetezi wa haki za kininaadamu kama mwanasheria kuthibitisha hili waulize watu wa Nyamongo watakueleza habari yake na watu wangapi aliwatoa jela wengine waliokuwa wamehukumiwa mpka vifungo vya maisha.

Aligombea ubunge kwa TLP mwaka 1o95 bila mafanikio na baadae akajiunga na CDM na maekuwa mwiba wa siasa wakati wote akiwa huko.

Amekuwa mwasiasa machachari wakati wa serikali ya kikwete akiichachafya serikali ya kikwete chini ya bunge la mzee Sitta na baadae Spika mama Makinda kwa hoja zilizotokisa sana taifa.

Tukio la kupigwa tisasi lilimjenga katika siasa na kupelekea kumpandisha kiasi cha kugombea urais 2025 na kivuna huruma ya umma, kitu kilichopelekea dola kupata hofu na kuvuruga mchakato mzima wa uchaguzi kwa hofu ya huyo mtu, kwa juwa hawakuwa na hakika huruma ya umma itabuna kura kiasi gani na watawesa kuiba zote?
 
hapa ningeanza kuku kukuuliza umr wako kwanza na mida umeanza kufuatilia siasa.Lissu umemjua labda baada ya siasa za magufuli na tukio la kupigwa risasi. Mapambano ameyaanza muda mrefu ka la hata ya ubunge akiwa anafa ya kazi utetezi wa haki za kininaadamu kama mwanasheria kuthibitisha hili waulize watu wa Nyamongo watakueleza habari yake na watu wangapi aliwatoa jela wengine waliokuwa wamehukumiwa mpka vifungo vya maisha.
Aligombea ubunge kwa TLP mwaka 1o95 bila mafanikio na baadae akajiunga na CDM na maekuwa mwiba wa siasa wakati wote akiwa huko. Amekuwa mwasiasa machachari wakati wa serikali ya kikwete akiichachafya serikali ya kikwete chini ya bunge la mzee Sitta na baadae Spika mama Makinda kwa hoja zilizotokisa sana taifa.
Tukio la kupigwa tisasi lilimjenga katika siasa na kupelekea kumpandisha kiasi cha kugombea urais 2025 na kivuna huruma ya umma, kitu kilichopelekea dola kupata hofu na kuvuruga mchakato mzima wa uchaguzi kwa hofu ya huyo mtu, kwa juwa hawakuwa na hakika huruma ya umma itabuna kura kiasi gani na watawesa kuiba zote?
Shida chawa hawana habari ya historia,chawa yeye na tumbo,tumbo na chawa basi,wahurumie Bureee 😂 tu
 
Chawa ni chawa tu, cjui huwa mnawaza kutumia nn , enzi za shetwani makomeo kulikuwa na ushindani upi wa kisiasa ??? Hamchelewi kusema marehemu hasemwagi vibaya wkt ninyi ndo chanzo cha mzilankende kuchambwa hapa jukwaani... Kiukweli na sisi hatutaacha kumchamba huyo mtukufu wenu [emoji14][emoji14][emoji14]
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Kitendo cha kuandika maelezo mengi kumhusu Lissu jibu tushalipata? mwingine katoka kuandika page 50 za kwamba Lissu kusapoti ushoga - na bado mtahangaika sana.
 
Lissu ni mwanasiasa anaye shine/anayeng'aa pale panapokuwa na Siasa za mapambano, Siasa hizo zilikuwepo enzi ya jiwe, yule Mzee wa Chato.
True naunga mkono hoja. Nimemsikia TL alipohojiwa ITV akasema atagombea urais 2025, nikashauri kwa vile mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2025 ni Mwanamke, Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! nimemshauri Lissu asigombee urais, akalitetee jimbo lake!. Kugombea 2025 na kushindwa na Mwanamke itakuwa aibu!.
P
 
hapa ningeanza kuku kukuuliza umr wako kwanza na mida umeanza kufuatilia siasa.Lissu umemjua labda baada ya siasa za magufuli na tukio la kupigwa risasi. Mapambano ameyaanza muda mrefu ka la hata ya ubunge akiwa anafa ya kazi utetezi wa haki za kininaadamu kama mwanasheria kuthibitisha hili waulize watu wa Nyamongo watakueleza habari yake na watu wangapi aliwatoa jela wengine waliokuwa wamehukumiwa mpka vifungo vya maisha.
Aligombea ubunge kwa TLP mwaka 1o95 bila mafanikio na baadae akajiunga na CDM na maekuwa mwiba wa siasa wakati wote akiwa huko. Amekuwa mwasiasa machachari wakati wa serikali ya kikwete akiichachafya serikali ya kikwete chini ya bunge la mzee Sitta na baadae Spika mama Makinda kwa hoja zilizotokisa sana taifa.
Tukio la kupigwa tisasi lilimjenga katika siasa na kupelekea kumpandisha kiasi cha kugombea urais 2025 na kivuna huruma ya umma, kitu kilichopelekea dola kupata hofu na kuvuruga mchakato mzima wa uchaguzi kwa hofu ya huyo mtu, kwa juwa hawakuwa na hakika huruma ya umma itabuna kura kiasi gani na watawesa kuiba zote?
Ndio kipindi Cha Jiwe kwenye mapambano Sasa saizi anapambana na nani? Samia hana hizo mambo ya kijinga yeye na maendelea tuu so inakuwa mnajisemesha weee lakini hakuna impacts kwenu
 
Back
Top Bottom