Lissu anakuwa na nguvu pale panapokuwa na Siasa za mapambano (confrontational politics), zilikuwepo enzi ya Magufuli, Sasa hazipo, kapoteza relevancy

Watu kama nyie msiopenda mabadiliko mnakuwa kama sanamu za kumimina nawinashangaza utakuta ni vijana wadogo. Mkizeeka itakuwaje?
 
Labda kapoteza relevance kwa mama yako baada ya kuishi makuu kwa muda mrefu sana!
TL ni mwanasiasa tactical na wa all seasons, sasa wewe ukimuangalia kwa makengeza kupitia macho ya mama yako aliyeachwa huwezi kumuelewa TL kwa IQ yako hiyo -0! Kumbafu!
 
Let Hilo boga tulitafune
 
Asante sana! Kitu cha ncha kali hichooo![emoji91]
 
Wewe ndio sanamu la barafu, jua likiwaka inayeyuka kama Lissu alivyoyeyuka
Mpende mabadiliko vijana la sivyo mtakuwa vikongwe kabla ya wakati wenu. Kijana wa 1990s unashabikia CCM ya kina Mzee Kingunge?!
 
Mpende mabadiliko vijana la sivyo mtakuwa vikongwe kabla ya wakati wenu. Kijana wa 1990s unashabikia CCM ya kina Mzee Kingunge?!
Mkapa aliwaambia mkitaka mabadiliko badilisheni jinsia muolewe…upo tayari kijana Fazili?
 
Kwa hali ilivyo saaa ajenda ni nyingi mno zinazogusa wananchi. Gharama za chakula, kutokuwa na uhakika wa umeme, kudumaa kwa huduma za afya, ubadhirifu kurudi kwa kasi kila siku unaripotiwa.

Kilichotokea ni asali aliyolambishwa mwenyekiti ili kuuza ajenda zote kwa ccm. Matokeo yake wamelainika hawana hata cha kuongea majukwaani.
 
Ongezea Mv Magogoni
 
Chiembe umepatwa na nini tena? Kuna wakati ulikuwa unaonekana akili zimeanza kurudi, lakini sasa naona unarudi kule kule ulikokuwa zamani.
 
Ni ukweli usio kuwa na shaka kuwa Mama Samia amezibadili siasa za nchi hii…na kwa sasa wapinzani wanacheza mziki anaoupiga mama…!
 
Acha kabisaaa.!! Ash kwenye tray harufu ya ua Rose kwenye Migiro sema ndo ivo Mti hukua kwa kulalia kwenye matawi yenye uzito.....!!!
 
Hakuna Cha mpunga walikuja Kwa mihemko wakategemea Rais ataleta siasa za uhasama akawapuuza wamepoteana
Ndo maana Mbowe hajampokea Wala kumsindikiza daaaah ila wanatukatisha tamaa wanasiasa wetu, tulitegemea aseme taifa kwanza famila ndugu na jamaa baadae lakini kwake ni familia kwanza ndugu na jamaa na baadae taifa lenye wananchi Milioni stini karibia na Kenda (Prof. Kabudi voice) Hadi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…