dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,423
- 1,987
Huenda upo usahihi.Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi.
Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo.
Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?
Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe.
Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio.
Ila utakuwa usahihi zaidi ukitoa ushahidi wa wewe kuwahi kuelezwa na huyo mwingine au mamlaka yake yoyote nyingine maswala haya:
-Mandege yalinunuliwa kwa Mchakato gani na nani alipewa kiasi gani hadi yamefika hapa?
-Ma-stieglers,SGR na Kipanda juu cha UBUNGO (Sio Fly Over)
Kama ni Fedha za ndani zinajenga,
Deni la Nje limeongezekaje?
Zimekwenda wapi hizo Pesa?
-Mapato ya Tanzanite yalikuwa yakikaguliwa awali,
Kabla huyu Mtu wako hakuwa Dereva,
Sasahivi Mkaguzi Mkuu hatii Pua huko,
Umejiuliza kwa nini?
Au Kunya anye Kuku?
Bata🤔
Tuanzie hapo Kama huwa Akili yako inaweza kuchakata Hoja kwa Hoja.