Uchaguzi 2020 Lissu anapouaminisha Umma kuwa atakuwa Rais bora kupitia hulka za mtu aliyesomea Sheria

Uchaguzi 2020 Lissu anapouaminisha Umma kuwa atakuwa Rais bora kupitia hulka za mtu aliyesomea Sheria

Tumchague mwanasayansi na siyo mwingine ni DR JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Huyu huyu aliyefoji PhD na kuamua kumteka na kumpoteza Ben Saa8?
Bora nife kuliko kuwa na rais mshamba na limbukeni kama John kwa miaka mitano ijayo.
 
Siwezi kumchagua mtu asiyejali utu wa mwingine.
Magufuli katutesa watumishi wa umma kwa miaka mitano pasi kutupatia nyongeza ya mishahara wala kutupandisha vyeo.

Hayo madaraja yake aliyoyajenga hayawezi kunifanya mimi nipate kiinua mgongo kikubwa pale nitakapostaafu isipokuwa upandaji vyeo kwa wakati utaniwezesha kukomba mamilioni ya kutosha wakati wa kustaafu.

Meko ana hali ngumu sana uchguzi huu.
Wanaumshabikia jiwe haziwatoshi na wengi ni mazezeta amefanya mambo mabaya sana kwa ustawi wa mwanadamu
 
Ok, ok, kwahiyo tumchague magufuli mwana sayansi mbunifu si ndiyo? Aliye buni-1)- shamirisha utekaji na kufunga maiti kwenye viroba?
-2) aliye ondoa fao la kujitoa

-3)dhulma kwa wakulima kwa kulazimisha wauze kwa bei ya hasara tena kwa mkopo.

-4)kuua sekta binafsi.

-5)kupandisha makato ya wanufaika wa bodi ya mikopo kinyume na mikataba yao.

-6) kusimanga na kitukana watanzania kila siku.

-7) aliye...
-8).......
 
Siwezi kumchagua mtu asiyejali utu wa mwingine.
Magufuli katutesa watumishi wa umma kwa miaka mitano pasi kutupatia nyongeza ya mishahara wala kutupandisha vyeo.

Hayo madaraja yake aliyoyajenga hayawezi kunifanya mimi nipate kiinua mgongo kikubwa pale nitakapostaafu isipokuwa upandaji vyeo kwa wakati utaniwezesha kukomba mamilioni ya kutosha wakati wa kustaafu.

Meko ana hali ngumu sana uchguzi huu.
Wakati huohuo anasema pesa hipo pesa hipo na makusanyo yameongezeka.
 
Nchi inatakiwa kuongozwa na mwanasheria huko kwingine ni kutapatapa tu, angalia Marekani imeongozwa na wanasheria wangapi mpaka sasa.
 
..hoja yako ingekuwa na mashiko kama TL na Jpm wangekuwa wanagombea kwa mara ya kwanza.

..tatizo wananchi tayari wanamjua Jpm kama kiongoza mkatili, mbaguzi, na fisadi.
 
Back
Top Bottom