Lissu anashinda Kwa kishindo, Wajumbe wamteua Mwakajoka kuwa Mwenyekiti kwa kishindo dhidi ya Dickson Matata

Sasa Mwenyekiti anakuwaje na upande si ndio chanzo cha vurugu.
Kazi ya Mwakajoka ni kuhakikisha tu kuwa hakuna figisu, kunakuwa na haki.

HAKI ikitamalaki Ayatollah Mbowe hutaamini, lazima aangukie pua mapema tu
 
Wakuu WENJE ANALIA LIAAAA ANALIAAAAA ANALIAAAA


Mwishooooon anajikuta analopoka 'Et yupo tayari kufanya kazi na mwenyekiti yoyote'
 
Ni ngumu sana kufanya ushirila na Shetani alafu hapohapo uwe na kibali
 
Leo utapona kichaa
 
Tutaelewana tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…