Lissu anashinda Kwa kishindo, Wajumbe wamteua Mwakajoka kuwa Mwenyekiti kwa kishindo dhidi ya Dickson Matata

Lissu anashinda Kwa kishindo, Wajumbe wamteua Mwakajoka kuwa Mwenyekiti kwa kishindo dhidi ya Dickson Matata

Bado , Leo lazima macho yawe mekundu kwelikweli Kwa kipigo tunachoenda kuwapa.
Wewe ndio unadhani haya ni mashindano ya u Miss Tanzania. Akishinda Lissu itakuwa ishara ya ukomavu wa Mbowe kuiishi demokrasia. Sisi wengine ndicho tulichotaka. Hamna coronation. Boksi la kura liamue na karata ziangukie zitakako anguka. Tutasikitika mgombea wetu akishindwa lakini tutawatakia kila la kheri katika safari ya kufikisha chama chenu katika nchi ya ahadi.

Amandla...
 
Wewe ndio unadhani haya ni mashindano ya u Miss Tanzania. Akishinda Lissu itakuwa ishara ya ukomavu wa Mbowe kuiishi demokrasia. Sisi wengine ndicho tulichotaka. Hamna coronation. Boksi la kura liamue na karata ziangukie zitakako anguka. Tutasikitika mgombea wetu akishindwa lakini tutawatakia kila la kheri katika safari ya kufikisha chama chenu katika nchi ya ahadi.

Amandla...
Amin amini nakuambia, Timu Makengeza hamkua na mpango wowote wa Mabadiliko na kuwapigania Watanzania.

Ndio maana mlikuja na maridhiano uchwara.
 
Oyaaa oyaaa ni aibukwa Timu Mbowe...

Katibu Mkuu siakataka Wajumbe wapendekeze nani anakua mwenyekiti.

Timu Mbowe wakapendekeza DICKSON MATATA.

TIMU LISSU Wakapendekeza FRANK MWAKAJOKA.

Baada ya hapo, Si ikabidi Kura zipigwe ili Mwenyekiti wa Uchaguzi ajulikane.

Oyaaa oyaaaa Timu LISSU a.k.a MWAKAJOKA KASHINDA KWA KISHINDO CHA TRUMP.

Timu Mbowe matumbo joto, Kuna Mjumbe Mmoja wa Timu Mbowe akaanzisha Fujo, ikabidi KM MKUU MNYIKA aingilie Kati.
Tafakuri za kijinga hizi! Huyo mwenyekiti ndiye anaweka kura kwenye sanduku?
 
Amin amini nakuambia, Timu Makengeza hamkua na mpango wowote wa Mabadiliko na kuwapigania Watanzania.

Ndio maana mlikuja na maridhiano uchwara.
Sawa. Na baada ya hapa mtaachana na hayo maridhiano uchwara na mtaleta mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Na mtashinda Uchaguzi Mkuu bila kushiriki. Hongereni sana.

Amandla...
 
Lisu akishinda najitoa JF
FB_IMG_1730655298309 (1).jpg
 
Back
Top Bottom