Lissu anashinda Kwa kishindo, Wajumbe wamteua Mwakajoka kuwa Mwenyekiti kwa kishindo dhidi ya Dickson Matata

Lissu anashinda Kwa kishindo, Wajumbe wamteua Mwakajoka kuwa Mwenyekiti kwa kishindo dhidi ya Dickson Matata

Oyaaa oyaaa ni aibu kwa Timu Mbowe...

Katibu Mkuu siakataka Wajumbe wapendekeze nani anakuwa mwenyekiti.

Timu Mbowe wakapendekeza DICKSON MATATA.

TIMU LISSU Wakapendekeza FRANK MWAKAJOKA.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?

Baada ya hapo, Si ikabidi Kura zipigwe ili Mwenyekiti wa Uchaguzi ajulikane.

Oyaaa oyaaaa Timu LISSU a.k.a MWAKAJOKA KASHINDA KWA KISHINDO CHA TRUMP.

Timu Mbowe matumbo joto, Kuna Mjumbe Mmoja wa Timu Mbowe akaanzisha Fujo, ikabidi KM MKUU MNYIKA aingilie Kati.
Kimbungaa
 
Oyaaa oyaaa ni aibu kwa Timu Mbowe...

Katibu Mkuu siakataka Wajumbe wapendekeze nani anakuwa mwenyekiti.

Timu Mbowe wakapendekeza DICKSON MATATA.

TIMU LISSU Wakapendekeza FRANK MWAKAJOKA.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?

Baada ya hapo, Si ikabidi Kura zipigwe ili Mwenyekiti wa Uchaguzi ajulikane.

Oyaaa oyaaaa Timu LISSU a.k.a MWAKAJOKA KASHINDA KWA KISHINDO CHA TRUMP.

Timu Mbowe matumbo joto, Kuna Mjumbe Mmoja wa Timu Mbowe akaanzisha Fujo, ikabidi KM MKUU MNYIKA aingilie Kati.
Ameteuliwa Mwakajoka kimkakati kwamba atakapotangaza matokeo ya Mbowe kashinda, mshikane mashati Timu Lissu wenyewe kwa wenyewe. Kumbuka ni Lema ndio mhesabuji mkuu w Lissu. Hapo unalalamikia nini?
 
Mjumbe wangu ukisha nichagulia lissu , safari ya kwanza nitaenda kwa YERIKO NYERERE, nachukua shamba lake la bamia lote
 
Back
Top Bottom