Uchaguzi 2020 Lissu anatumia njia gani kukusanya mafuriko yake?

Mwaka huu anayefikiria kwamba Magufuli atarudi ikulu tena afikirie kwa umakini sana habari za ndani zinasema anajifungia chumbani mwenyewe na kulia kila siku.

Na vyombo vya usalama vitamuweka mtu Kati baada ya jahazi kuzama..

Uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria utakumbukwa kwa vizazi na vizazi.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Utopolo mtupu, ungejua hakuna mtanzania makini na Mzalendo atakaye pigia kura genge la wahuni ungejikalia kimya tu. Lissu mmemwingiza chaka, angegombea ubunge tu ingekuwa kheri kwake.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.

Ndani ya dreamliner 787-8.Mwenyekiti wa saccos na wajumbe wake. Maendeleo ya vitu mabaya Sana. Manyumbu kazi mnayo Oct 28.
 
Mmetutawala sisi km mifugo watu wanataka haki.uhuru na maendeleo
 
Watu wengi wanaenda kushangaa vioja vyake.

Huoni hata huku mtaani vikao vya mipasho, mikutano ya umbea hujaza kuliko mikutano ya maendeleo ngazi ya mtaa.
Bia yetu njoo huku uone CCM wamebariki ushoga kwa maandishi
Wee huoni number two anavyowasaga wanawake wetu. Yani dem hapiti mbele yake bila kumsugua. Aibu kwelix2
 
Watu wengi huwa wanaenda wakiwa wamebeba sumaku wanataka kujaribu kumvuta Lissu kama atanasa. Si unajua jamaa ana vyuma mwili mzima.
Madhara ya kuzaliwa na mtu aliyemwaga akiwa amelewa
 
Wote hukusanywa na neno moja tu: USHOGA
Ndugu kuwa makini katika maneno yako, utapata 'Laana' bure, kwa ujira mdogo 7,000/- watu wanaoshiri moja kwa moja kwenye mikutano ya kampeni za CHADEMA/LISSU hawawezi kuchangamana kivyovyote juu ya suala la 'Ushoga' ,

Kuwa makini ndugu yangu, Mashekh (eg Ponds), maaskof , wachungaji. Wasomi, wengi ni Wapinzani/CHADEMA.

JE, wanasuport Ushoga ???!
 
Maelekezo kutoka Juu mbinguni
 
Wee huoni number two anavyowasaga wanawake wetu. Yani dem hapiti mbele yake bila kumsugua. Aibu kwelix2
Mnaweza prove hili jambo??

Au ndio hearsay tu! Hamshindwi kuzusha mambo nyie.

Kama kiongozi wenu mmoja alitangaza Magufuli(Rais) amefariki, lakini mpaka sasa tupa nae!

Kwanini hii scandal ishindikane.
 
Acha uzwazwa wewe
 

Kuna watu wanapedwa na nikipaji cha Mungu hakuna binadamu anaweza kuzuia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…