technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Umejaaliwa upofuWatu wengi wanaenda kushangaa vioja vyake.
Huoni hata huku mtaani vikao vya mipasho, mikutano ya umbea hujaza kuliko mikutano ya maendeleo ngazi ya mtaa.
Utopolo mtupu, ungejua hakuna mtanzania makini na Mzalendo atakaye pigia kura genge la wahuni ungejikalia kimya tu. Lissu mmemwingiza chaka, angegombea ubunge tu ingekuwa kheri kwake.Mwaka huu anayefikiria kwamba Magufuli atarudi ikulu tena afikirie kwa umakini sana habari za ndani zinasema anajifungia chumbani mwenyewe na kulia kila siku.
Na vyombo vya usalama vitamuweka mtu Kati baada ya jahazi kuzama..
Uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria utakumbukwa kwa vizazi na vizazi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
[emoji23][emoji23]Utopolo mtupu, ungejua hakuna mtanzania makini na Mzalendo atakaye pigia kura genge la wahuni ungejikalia kimya tu. Lissu mmemwingiza chaka, angegombea ubunge tu ingekuwa kheri kwake.
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Mmetutawala sisi km mifugo watu wanataka haki.uhuru na maendeleoNdugu zangu wa upande wa pili mimi mwanachama dormant wa mboga mboga, nina swali kwenu
Kwa kweli nimeshindwa kuelewa Lissu anatumia njia zipi kukusanya umati kwenye mikutano yake, bado nashindwa kukubali kama ni hizi spika za matangazo peke yake zinazopita masaa mawili kabla.
Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?
Leo nimeshuhudia Impact ya Ponda kwa sie muslims, kwenye kila vijiwe vyetu vya dini yetu muamko umeibuka ghafla, sijui huwa tukoje inapotoka tu TAKBIIIR kwa kinywa cha sheikh mwenye ushawishi kiwango cha ponda msisimko unakuwa wa ajabu sana na kurudi nyuma inakuwa mwiko.
Viongozi wangu polepole najua unasoma humu, nashauri mshughulikie hili la Sheikh Ponda mapema litakwenda kuvuruga kila kitu. Kumbukeni Ponda ni kiongozi wa waumini wenye msimamo mkali, hawa walikuwa washa giveup kupiga kura, ujio wa Ponda unakwenda kuwaamsha vibaya mno.
Watu wengi wanaenda kushangaa vioja vyake.
Huoni hata huku mtaani vikao vya mipasho, mikutano ya umbea hujaza kuliko mikutano ya maendeleo ngazi ya mtaa.
Wee huoni number two anavyowasaga wanawake wetu. Yani dem hapiti mbele yake bila kumsugua. Aibu kwelix2Bia yetu njoo huku uone CCM wamebariki ushoga kwa maandishi
Madhara ya kuzaliwa na mtu aliyemwaga akiwa amelewaWatu wengi huwa wanaenda wakiwa wamebeba sumaku wanataka kujaribu kumvuta Lissu kama atanasa. Si unajua jamaa ana vyuma mwili mzima.
Ndugu kuwa makini katika maneno yako, utapata 'Laana' bure, kwa ujira mdogo 7,000/- watu wanaoshiri moja kwa moja kwenye mikutano ya kampeni za CHADEMA/LISSU hawawezi kuchangamana kivyovyote juu ya suala la 'Ushoga' ,Wote hukusanywa na neno moja tu: USHOGA
Maelekezo kutoka Juu mbinguniNdugu zangu wa upande wa pili mimi mwanachama dormant wa mboga mboga, nina swali kwenu
Kwa kweli nimeshindwa kuelewa Lissu anatumia njia zipi kukusanya umati kwenye mikutano yake, bado nashindwa kukubali kama ni hizi spika za matangazo peke yake zinazopita masaa mawili kabla.
Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?
Leo nimeshuhudia Impact ya Ponda kwa sie muslims, kwenye kila vijiwe vyetu vya dini yetu muamko umeibuka ghafla, sijui huwa tukoje inapotoka tu TAKBIIIR kwa kinywa cha sheikh mwenye ushawishi kiwango cha ponda msisimko unakuwa wa ajabu sana na kurudi nyuma inakuwa mwiko.
Viongozi wangu polepole najua unasoma humu, nashauri mshughulikie hili la Sheikh Ponda mapema litakwenda kuvuruga kila kitu. Kumbukeni Ponda ni kiongozi wa waumini wenye msimamo mkali, hawa walikuwa washa giveup kupiga kura, ujio wa Ponda unakwenda kuwaamsha vibaya mno.
Mnaweza prove hili jambo??Wee huoni number two anavyowasaga wanawake wetu. Yani dem hapiti mbele yake bila kumsugua. Aibu kwelix2
Sugu nisugue![emoji847][emoji847][emoji847]Wote hukusanywa na neno moja tu: USHOGA
Ndugu kuwa makini katika maneno yako, utapata 'Laana' bure, kwa ujira mdogo 7,000/- watu wanaoshiri moja kwa moja kwenye mikutano ya kampeni za CHADEMA/LISSU hawawezi kuchangamana kivyovyote juu ya suala la 'Ushoga' ,
Kuwa makini ndugu yangu, Mashekh (eg Ponds), maaskof , wachungaji. Wasomi, wengi ni Wapinzani/CHADEMA.
JE, wanasuport Ushoga ???!
A cheap prostituteWatu wengi huwa wanaenda wakiwa wamebeba sumaku wanataka kujaribu kumvuta Lissu kama atanasa. Si unajua jamaa ana vyuma mwili mzima.
Ndugu zangu wa upande wa pili mimi mwanachama dormant wa mboga mboga, nina swali kwenu
Kwa kweli nimeshindwa kuelewa Lissu anatumia njia zipi kukusanya umati kwenye mikutano yake, bado nashindwa kukubali kama ni hizi spika za matangazo peke yake zinazopita masaa mawili kabla.
Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?
Leo nimeshuhudia Impact ya Ponda kwa sie muslims, kwenye kila vijiwe vyetu vya dini yetu muamko umeibuka ghafla, sijui huwa tukoje inapotoka tu TAKBIIIR kwa kinywa cha sheikh mwenye ushawishi kiwango cha ponda msisimko unakuwa wa ajabu sana na kurudi nyuma inakuwa mwiko.
Viongozi wangu polepole najua unasoma humu, nashauri mshughulikie hili la Sheikh Ponda mapema litakwenda kuvuruga kila kitu. Kumbukeni Ponda ni kiongozi wa waumini wenye msimamo mkali, hawa walikuwa washa giveup kupiga kura, ujio wa Ponda unakwenda kuwaamsha vibaya mno.
Na kwa Lowasa walikuwa wanakwenda na NZI kuangalia kama watamfata?Watu wengi huwa wanaenda wakiwa wamebeba sumaku wanataka kujaribu kumvuta Lissu kama atanasa. Si unajua jamaa ana vyuma mwili mzima.
Sawa, naamini umenielewa.Acha uzwazwa wewe