Uchaguzi 2020 Lissu anatumia njia gani kukusanya mafuriko yake?

Uchaguzi 2020 Lissu anatumia njia gani kukusanya mafuriko yake?

Ndugu zangu wa upande wa pili mimi mwanachama dormant wa mboga mboga, nina swali kwenu
Kwa kweli nimeshindwa kuelewa Lissu anatumia njia zipi kukusanya umati kwenye mikutano yake, bado nashindwa kukubali kama ni hizi spika za matangazo peke yake zinazopita masaa mawili kabla.

Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?

Leo nimeshuhudia Impact ya Ponda kwa sie muslims, kwenye kila vijiwe vyetu vya dini yetu muamko umeibuka ghafla, sijui huwa tukoje inapotoka tu TAKBIIIR kwa kinywa cha sheikh mwenye ushawishi kiwango cha ponda msisimko unakuwa wa ajabu sana na kurudi nyuma inakuwa mwiko.

Viongozi wangu polepole najua unasoma humu, nashauri mshughulikie hili la Sheikh Ponda mapema litakwenda kuvuruga kila kitu. Kumbukeni Ponda ni kiongozi wa waumini wenye msimamo mkali, hawa walikuwa washa giveup kupiga kura, ujio wa Ponda unakwenda kuwaamsha vibaya mno.
Lissu huwa ana wanamuziki wake wa kule kwa mabeberu.
Ni pamoja na Busta Rhymes, Rihanna, Brick and lace, Drake
Hawa huwa wanakuwa katika umbo la "wireless" huwezi kuwaona but u can feel them
 
Mnaweza prove hili jambo??

Au ndio hearsay tu! Hamshindwi kuzusha mambo nyie.

Kama kiongozi wenu mmoja alitangaza Magufuli(Rais) amefariki, lakini mpaka sasa tupa nae!

Kwanini hii scandal ishindikane.
AIBU ya mwaka maamae tutaficha wapi 'vyisym' vya mademu wetu kama tuliowapa dhamana hawajiheshimu?

Hii haikubaliki kabisa

mng'ato Erythrocyte
 
Ndugu zangu wa upande wa pili mimi mwanachama dormant wa mboga mboga, nina swali kwenu
Kwa kweli nimeshindwa kuelewa Lissu anatumia njia zipi kukusanya umati kwenye mikutano yake, bado nashindwa kukubali kama ni hizi spika za matangazo peke yake zinazopita masaa mawili kabla.

Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?

Leo nimeshuhudia Impact ya Ponda kwa sie muslims, kwenye kila vijiwe vyetu vya dini yetu muamko umeibuka ghafla, sijui huwa tukoje inapotoka tu TAKBIIIR kwa kinywa cha sheikh mwenye ushawishi kiwango cha ponda msisimko unakuwa wa ajabu sana na kurudi nyuma inakuwa mwiko.

Viongozi wangu polepole najua unasoma humu, nashauri mshughulikie hili la Sheikh Ponda mapema litakwenda kuvuruga kila kitu. Kumbukeni Ponda ni kiongozi wa waumini wenye msimamo mkali, hawa walikuwa washa giveup kupiga kura, ujio wa Ponda unakwenda kuwaamsha vibaya mno.
Ndugu yangu kwani unapata hasara gani CCM ikiondoka?. Miaka 5 yote mitano ya adha wewe ulikuwa kwenye fungate?
 
Lissu huwa ana wanamuziki wake wa kule kwa mabeberu.
Ni pamoja na Busta Rhymes, Rihanna, Brick and lace, Drake
Hawa huwa wanakuwa katika umbo la "wireless" huwezi kuwaona but u can feel them
Unasoma darasa la ngapi?
 
Lisu ni Mpango wa Mungu. Jiwe hoii.
Siku ya kufunga kampeni jiwe akihudhuria ataanguka jukwaaani mazima....natabiri
Ni bora aedelee kukagua miradi maana akienda kwenye mikutano ya kampeni ndiyo anaharibu zaidi.Swali moja tu CCM watujibu,hizo nyumba za wastaafu zilipangiwa bajeti bungeni?
 
Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?
Lissu Manyara.jpg

CCM imechokwa jamani na mgombea wake ndiye kachokwa mpaka inatia huruma...​
 
Lissu yupo moyoni kwetu hana haja ya kutumia matela na malori wala matangazo kukusanya watu!
 
Ndugu zangu wa upande wa pili mimi mwanachama dormant wa mboga mboga, nina swali kwenu
Kwa kweli nimeshindwa kuelewa Lissu anatumia njia zipi kukusanya umati kwenye mikutano yake, bado nashindwa kukubali kama ni hizi spika za matangazo peke yake zinazopita masaa mawili kabla.

Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?

Leo nimeshuhudia Impact ya Ponda kwa sie muslims, kwenye kila vijiwe vyetu vya dini yetu muamko umeibuka ghafla, sijui huwa tukoje inapotoka tu TAKBIIIR kwa kinywa cha sheikh mwenye ushawishi kiwango cha ponda msisimko unakuwa wa ajabu sana na kurudi nyuma inakuwa mwiko.

Viongozi wangu polepole najua unasoma humu, nashauri mshughulikie hili la Sheikh Ponda mapema litakwenda kuvuruga kila kitu. Kumbukeni Ponda ni kiongozi wa waumini wenye msimamo mkali, hawa walikuwa washa giveup kupiga kura, ujio wa Ponda unakwenda kuwaamsha vibaya mno.
Ulishawahi kuhudhuria hiyo mikutano yake? Ni ulaghai mtupu! Wanaohudhuria ni wachache sana. Video zinazorushwa baada ya mikutano hiyo ni edited. Hazirushwi live, zinakuwa edited kwa kutumia zile za mwaka 2015 za mafuriko halisi ya Lowassa. Ukiziangalia vizuri utabaini hivyo. Ndiyo maana hazirushwi na vyombo vya habari vingi vinavyozingatia maadili. Hivi karibu Mabere Makubi wa ITV kaingizwa katika mchezo huu na amekuwa akizunguka na Lissu kwenye mikutano yake yote. ITV ina watu wake kila mkoa na kila wilaya nchini Tanzania, sasa iweje huyu azunguke na Lissu kila kona ya Tanzania?

Jibu liko tarehe 28 Oct 2020!
 
Ndugu zangu wa upande wa pili mimi mwanachama dormant wa mboga mboga, nina swali kwenu
Kwa kweli nimeshindwa kuelewa Lissu anatumia njia zipi kukusanya umati kwenye mikutano yake, bado nashindwa kukubali kama ni hizi spika za matangazo peke yake zinazopita masaa mawili kabla.

Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?

Leo nimeshuhudia Impact ya Ponda kwa sie muslims, kwenye kila vijiwe vyetu vya dini yetu muamko umeibuka ghafla, sijui huwa tukoje inapotoka tu TAKBIIIR kwa kinywa cha sheikh mwenye ushawishi kiwango cha ponda msisimko unakuwa wa ajabu sana na kurudi nyuma inakuwa mwiko.

Viongozi wangu polepole najua unasoma humu, nashauri mshughulikie hili la Sheikh Ponda mapema litakwenda kuvuruga kila kitu. Kumbukeni Ponda ni kiongozi wa waumini wenye msimamo mkali, hawa walikuwa washa giveup kupiga kura, ujio wa Ponda unakwenda kuwaamsha vibaya mno.
85% wanaenda tu Kumuangalia 'Kiuhuruma' kutokana na 'Kilichomtokea' na 15% Kusikiliza 'Ufokaji' wake ila watakaompigia 'Kura' ni 5% tu Mkuu.
 
Usishangae kesho kutwa mkulu akiomba kukutana na waisilamu kusikiliza kero zao.
 
Back
Top Bottom