Uchaguzi 2020 Lissu anatumia njia gani kukusanya mafuriko yake?

Uchaguzi 2020 Lissu anatumia njia gani kukusanya mafuriko yake?

Utopolo mtupu, ungejua hakuna mtanzania makini na Mzalendo atakaye pigia kura genge la wahuni ungejikalia kimya tu. Lissu mmemwingiza chaka, angegombea ubunge tu ingekuwa kheri kwake.

Agombee ubunge ili mumpige risasi kisha mumvue ubunge? Safari hii anataka cheo unachoweza kuagiza mtu apigwe risasi na kuvua watu ubunge. Na yeye anataka aone raha ya kumiliki kundi la watu wasiojulikana fullstop.
 
Ndugu zangu wa upande wa pili mimi mwanachama dormant wa mboga mboga, nina swali kwenu
Kwa kweli nimeshindwa kuelewa Lissu anatumia njia zipi kukusanya umati kwenye mikutano yake, bado nashindwa kukubali kama ni hizi spika za matangazo peke yake zinazopita masaa mawili kabla.

Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?

Leo nimeshuhudia Impact ya Ponda kwa sie muslims, kwenye kila vijiwe vyetu vya dini yetu muamko umeibuka ghafla, sijui huwa tukoje inapotoka tu TAKBIIIR kwa kinywa cha sheikh mwenye ushawishi kiwango cha ponda msisimko unakuwa wa ajabu sana na kurudi nyuma inakuwa mwiko.

Viongozi wangu polepole najua unasoma humu, nashauri mshughulikie hili la Sheikh Ponda mapema litakwenda kuvuruga kila kitu. Kumbukeni Ponda ni kiongozi wa waumini wenye msimamo mkali, hawa walikuwa washa giveup kupiga kura, ujio wa Ponda unakwenda kuwaamsha vibaya mno.
Lissu anakera sana,yani anafanya sifa mpka wagombea wa ccm wanapotea....mtoa pesa wa serikali kawa ombaomba na kipigo anachopigwa hatasau.atarudi kwenye ladies free ya rais
IMG_20201018_204231.jpeg
 
Sasa nendeni mkamkamate mbele ya T. LISSU mzee wa maamuzi, kama hajawaamuru watu wawashugulikie.!!
Mkuu huyu Tundu Lissu ni kiboko. Juzi kapita hapa Shinyanga gari likawa linatangaza kwamba atapita hapo mjini lakini hatakuwa na mkutano. Wee, raia wakajikusanya kwamba walimzuia asipite bile kuacha neno sasa policcm wakaanza kuzuia watu wasikusanyike. Wakatishia kuwapiga mabomu raia wakasambaa. Kama nusu saa wakasikia jamaa amekaribia mjini raia wakarudi kama wote polisi walipomwona Tundu Lissu wakagwaya mikia down! Jamaa likapiga show hapo kama ya nusu saa! Lissu amekubarika!

kuwapiga mabomu
 
Agombee ubunge ili mumpige risasi kisha mumvue ubunge? Safari hii anataka cheo unachoweza kuagiza mtu apigwe risasi na kuvua watu ubunge. Na yeye anataka aone raha ya kumiliki kundi la watu wasiojulikana fullstop.
Mkuu wafungashe mabegi tu kwa AMANI...
 
Eehhh ndio mnataka kumkamata na kesi ya kizushi??

Sahivi hampapati ng'ooo , harudi kwake mpaka kampeni ziishe.

Sasa nendeni mkamkamate mbele ya T. LISSU mzee wa maamuzi, kama hajawaamuru watu wawashugulikie.!!
Bwana bwana balaa hilo 😂 😂 😂
 
Mkuu huyu Tundu Lissu ni kiboko. Juzi kapita hapa Shinyanga gari likawa linatangaza kwamba atapita hapo mjini lakini hatakuwa na mkutano. Wee, raia wakajikusanya kwamba walimzuia asipite bile kuacha neno sasa policcm wakaanza kuzuia watu wasikusanyike. Wakatishia kuwapiga mabomu raia wakasambaa. Kama nusu saa wakasikia jamaa amekaribia mjini raia wakarudi kama wote polisi walipomwona Tundu Lissu wakagwaya mikia down! Jamaa likapiga show hapo kama ya nusu saa! Lissu amekubarika!

kuwapiga mabomu
Wabheja sana Ngalo Mkuu ...kuna karai linagombea hapo ...akatafute kazi nyingine BOB MAKANI lazima TUMPIGIE SALUTI
 
Ana nguvu za ziada sio bure, alipita Dodoma hapo juzi juzi tulikuwa tumekaa na vijana wa kampeni wa chama cha mboga mboga tulijikuta tumeenda kumsikiliza tukacheza na ile reggae yao, tukafurahi na tukamchangia
 
Mafuriko sio kura muulizeni Slaa na Mzee wa monduli..

October 28th ni CCM TENA.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Ni bora aedelee kukagua miradi maana akienda kwenye mikutano ya kampeni ndiyo anaharibu zaidi.Swali moja tu CCM watujibu,hizo nyumba za wastaafu zilipangiwa bajeti bungeni?
Hela ya kuwajengea wastaafu (wenye majumba kibao) ipo lkn kupandisha mishahara ya wafanyakazi wanyonge inasubiri reli ikamilike.

Hivi mshauri wake nani huyu jiwe? Maana hii nyumba imeamsha hasira!!!
 
Mbinu yake ni rahizi sana....
UHURU, HAKI NA MAENDELEO YA WATU
 
Lukuvi alisema ana kamzizi ka kuvuta watu,itakua ni kweli

Kuhusu ponda inahitajka sindano Moja tu

Maendeleo hayana chama
Wakuu zangu haya ya maneno ya sindano ya fuu yanatoka wapi katika tz yetu ?nashangaa na bado nashangaa !! Maneno mazito mmo
 
Ndugu zangu wa upande wa pili mimi mwanachama dormant wa mboga mboga, nina swali kwenu
Kwa kweli nimeshindwa kuelewa Lissu anatumia njia zipi kukusanya umati kwenye mikutano yake, bado nashindwa kukubali kama ni hizi spika za matangazo peke yake zinazopita masaa mawili kabla.

Leo alipita katika jimbo nililopo, gari la matangazo likapita masaa mawili tu kabla, lakini cha ajabu nimeshindwa kuelewa taarifa zimewafikiaje watu wote waliojaa uwanjani ndani ya masaa mawili tu?

Leo nimeshuhudia Impact ya Ponda kwa sie muslims, kwenye kila vijiwe vyetu vya dini yetu muamko umeibuka ghafla, sijui huwa tukoje inapotoka tu TAKBIIIR kwa kinywa cha sheikh mwenye ushawishi kiwango cha ponda msisimko unakuwa wa ajabu sana na kurudi nyuma inakuwa mwiko.

Viongozi wangu polepole najua unasoma humu, nashauri mshughulikie hili la Sheikh Ponda mapema litakwenda kuvuruga kila kitu. Kumbukeni Ponda ni kiongozi wa waumini wenye msimamo mkali, hawa walikuwa washa giveup kupiga kura, ujio wa Ponda unakwenda kuwaamsha vibaya mno.
 
Back
Top Bottom