Uchaguzi 2020 Lissu anazidi kuumbuka, kila hoja anayoanzisha inaonekana haina mashiko kwa Watanzania

NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa

Weka link
 
Tatizo sio wewe,ni akili mbovu uliyonayo.
Sasa wewe mwenye akili ya kumshangilia huyo mrundi kwa kumuona mwanadiplomasia una Nini kichwani Kama sio tope la ugolo? Ama kweli ccm Ina wachambuzi na wapiga debe wenye akili! Hivi nchi hii iitegemee Burundi kiuchumi? Wana Nini zaidi ya Ile milima ya kokoto? Hana lolote la maana huyo!
 
Nani kasema Tanzania inaitegemea Burundi kiuchumi? Au hujui sote tunategemeana? Kama kuna biashara ya bil 201 unadhani suala dogo? Kama kuna mradi mkubwa wa nickel processing plant amba utanufaisha nchi hizi mbili unadhani ni suala dogo? Any way sio kosa lako.
 
Nitolee upuuzi na umbumbu wako hapa! Hujui lolote zaidi ya kupelekeshwa tu mithili ya maksai shambani!
 
Tulia basi we muhutu wa Kirundi awamu hii tunaongozwa n Mtanzania mwenzetu
 
Inaonyesha hujui kile unacho kiwasilisha kwa jamii, Ni Bora ukae kimya.
Kumbuka huyu Lisu Alisha sema kuwa tumepoza marafiki na rafiki wa Tanzania aliye baki ni Burundi mrithi wa kurunzinza na ndio maana alikuja kwenye mazishi ya Mkapa.
Sasa unaposema anaumbuka , anaumbuka kwa lipi, acha kukaririshwa Bora ukae kimya.
 
Anaumbuka tulieni
 
Tumepoteza marafiki? Are you insane? Nchi nyingi hazikuja kwenye msiba wa mkapa sababu zilikuwa zimefunga mipaka. Hiyo sio sababu ya kuongea. Burundi hawakufunga mpaka.
 
Mungu wangu una akili wewe unamchukulia rais wa burundi na kumhesabu kama sehemu ya kujenga diplomasia?! mna shida!!
 
WALIANZA KUKOSEA HAPA YANI JOPO ZIMA LINAKAA NA KUTULETEA WATANZANIA ANDIKO LA OVYO HIVI.......
 
Hivi huwa kuna watu wanasoma unachoandika? mimi huwa nasoma kichwa cha habari nimemaliza!

Sana sana kina jinga letu, binti mamvi, magonjwa matambuka, bia yenu, Soviet Union, na wote wanaounda kile kikosi magoli cha utopolo FC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…