Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #61
Unauliza jibu? Kwanza unakurupuka ulikuwa umelala baada ya kunywa konyagi?Wewe ndiyo muongo na mzandiki ni watanzania gani unawasemea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza jibu? Kwanza unakurupuka ulikuwa umelala baada ya kunywa konyagi?Wewe ndiyo muongo na mzandiki ni watanzania gani unawasemea?
Hakuna misaada miaka mitano hakuna nyongeza za mishahara ya watumishi wa ummaKwani hakusema kuwa sasa diplomatic relations ni mbaya sana?
Minyoo haya maeneo mimi nayajua kama wewe unavyojua kunywa Konyagi. Najua nini naandika. Unasajili watetezi wa Chadema hawajui hata kuandika,shame on you.Huna unachokijua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa mtukufu wa CCM
Haya yanatoka wapi?Hakuna misaada miaka mitano hakuna nyongeza za mishahara ya watumishi wa umma
Tukoa tunywe wote na wewe sijanywa tena lakini uteuzi hupati tena kwani mtukufu mwenyekiti wa CCM bado hajakubali utetezi wako dhidi yakeUnauliza jibu? Kwanza unakurupuka ulikuwa umelala baada ya kunywa konyagi?
Nakubaliana na wewe, Rais wa Burundi kumtembelea Mrundi mwenzie ni Mahusiano mazuri si tu ya kidiplomasia Bali ya kindugu kabisa. Hata yeye mwenyewe amesema Magufuli ni baba yake.Tanzania ya leo sio ile ya miaka ya nyuma ambayo watu wengi walikuwa hawawezi kupata habari kwa urahisi kama ilivyo hii ya leo. Miaka ya nyuma radio station ilikuwa moja tu na hata Tv stations hazikuwepo,pia radio stations za watu binafsi nyingi hazikuwepo,hivyo upatikanaji wa habari ulikuwa mgumu na hivyo ilikuwa rahisi kuwapotosha watu
Leo hii utampotosha nani? Karibu kila familia mijini na vijijini ina Tv set na kila mwanafamilia ana simu janja ambayo inauwezo wa kumpatia habari anayoyote anayoitaka. Kipindi hiki cha uchaguzi wananchi wanapata habari kwa urahisi sababu teknolojia imekuwa na hivyo kila hoja na sera za mgombea wananchi wanazipata.
Mgombea urais kwa Chadema, Tundu Lissu amekuwa akisikika kila mahala anapofanya kampeni zake kuwa rais aliyepo madarakani amefifisha mahusiano ya kidiplomasia na nchi jirani na mataifa ya nje. Kisa tu huwa hafanyi safari za nje mara kwa mara. Hii hoja amekuwa akisisitiza mno kiasi kwamba watu wamekuwa wakimshangaa.
Ziara ya rais wa Burundi ndugu Evarist Ndaishiaye imemuumbua huyu ndugu Tundu Lissu,maana kama nchi haina mahusiano mazuri ya kidiplomasia na majirani au mataifa ya nje rais wa Burundi angekuja leo Tanzania kufanya ziara ya kikazi ambayo ina manufaa makubwa kwa taifa letu? Kama Tanzania ina mahusiano mabaya na majirani zake Burundi ingeweza kufanya makubaliano ya kuanzisha mchakato wa kujenga kinu cha kuchenjulia nickel kwa pamoja na Tanzania? Mbali na ziara ya rais wa Burundi ambae amefanya ziara leo,je ziara ya rais Museveni? Sio uhusiano mzuri wa kidiplomasia na majirani?
Leo bomba la mafuta litapita hapa Tanzania na taifa letu litanufaika kimapato.Biashara baina ya Burundi na Tanzania kwa sasa ni zaidi ya bil 201. Je wakianza kuuza dhahabu mkoani Kigoma kwenye soko la dhahabu itakuwaje?
Mimi binafsi naona ndugu Lissu hakujiandaa kugombea urais vizuri na itakuwa jambo la ajabu wakazi wa mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla kuchagua mtu ambae haoni mahusiano mazuri ya taifa letu na nchi za nje amabayo yanaliletea taifa letu manufaaa makubwa. Hii hoja potofu kuwa JPM amefanya mahusiano ya kimataifa kuwa mabaya ni sababu tosha kumnyima kura huyu mgombea maana ni muongo na mzandiki.
Wewe mwenyewe hujiandikia tu kisha kupeleka kwa cyprian Musiba na le mutuz eti ndiyo wahariri wako baada unakuja tunakunywa konyagi woteMinyoo haya maeneo mimi nayajua kama wewe unavyojua kunywa Konyagi. Najua nini naandika. Unasajili watetezi wa Chadema hawajui hata kuandika,shame on you.
Kotopata misaada ni kipimo tosha wengine hawavunji lakini wanaminya kimya kimyaNitajie ubalozi au jumuia ya kimataifa iliyovunja uhusiano na Tanzania?
[emoji16][emoji16]haha mi enyewe nmejikuta nmesoma heading na mistar miwil ya mwanzo tuHivi huwa kuna watu wanasoma unachoandika? mimi huwa nasoma kichwa cha habari nimemaliza!
Yanatokea kwenye utawala wa mtukufu mwenyekiti wa CCMHaya yanatoka wapi?
Am punzike dereva,tuajiri defeva mpyaBurundi hana msaada wowote kwetu hata ikitokea shida hawezi hata kutushauri.
Tunachotaka ni mahusiano mazuri ya kidiplomasia kimataifa, tuwe huru na hili tusishangilie uwe Ccm au upinzani siyo jambo la kheri kwa taifa letu.
Tukitengeneza taifa la kidikiteta tutaua misingi ya utu na hapa tutaweka matabaka ambayo yataligharimu taifa miaka mingi umwagikaji wa damu.
Tusifike huko Mungu atusaidie Magufuli abadilishe mtazamo wake atengeneze Tanzania ya umoja wa kitaifa na kimataifa.
Kweli minyoo ni minyoo. Nakuuliza yanahusiana na vipi na hii mada?Yanatokea kwenye utawala wa mtukufu mwenyekiti wa CCM
Minyoo imeanza kupanda kichwani.Asili ya mtukufu ni Burundi kutembelewa na Rais wa Burundi ni kitu cha kawaida kwani katembelewa na ndugu yake wa Damu
Kwa hiyo?[emoji16][emoji16]haha mi enyewe nmejikuta nmesoma heading na mistar miwil ya mwanzo tu
Tafakari chukua hatuaKwa hiyo?
Amepoteza malengo, mara paaaa Ashindwa kuwanadi Wagombea wa Buhigwe na Kigoma Kaskazini, na Kigoma Mjini kwenye hotuba yake anamnanga Mgombea Francis ManguTanzania ya leo sio ile ya miaka ya nyuma ambayo watu wengi walikuwa hawawezi kupata habari kwa urahisi kama ilivyo hii ya leo. Miaka ya nyuma radio station ilikuwa moja tu na hata Tv stations hazikuwepo,pia radio stations za watu binafsi nyingi hazikuwepo,hivyo upatikanaji wa habari ulikuwa mgumu na hivyo ilikuwa rahisi kuwapotosha watu
Leo hii utampotosha nani? Karibu kila familia mijini na vijijini ina Tv set na kila mwanafamilia ana simu janja ambayo inauwezo wa kumpatia habari anayoyote anayoitaka. Kipindi hiki cha uchaguzi wananchi wanapata habari kwa urahisi sababu teknolojia imekuwa na hivyo kila hoja na sera za mgombea wananchi wanazipata.
Mgombea urais kwa Chadema, Tundu Lissu amekuwa akisikika kila mahala anapofanya kampeni zake kuwa rais aliyepo madarakani amefifisha mahusiano ya kidiplomasia na nchi jirani na mataifa ya nje. Kisa tu huwa hafanyi safari za nje mara kwa mara. Hii hoja amekuwa akisisitiza mno kiasi kwamba watu wamekuwa wakimshangaa.
Ziara ya rais wa Burundi ndugu Evarist Ndaishiaye imemuumbua huyu ndugu Tundu Lissu,maana kama nchi haina mahusiano mazuri ya kidiplomasia na majirani au mataifa ya nje rais wa Burundi angekuja leo Tanzania kufanya ziara ya kikazi ambayo ina manufaa makubwa kwa taifa letu? Kama Tanzania ina mahusiano mabaya na majirani zake Burundi ingeweza kufanya makubaliano ya kuanzisha mchakato wa kujenga kinu cha kuchenjulia nickel kwa pamoja na Tanzania? Mbali na ziara ya rais wa Burundi ambae amefanya ziara leo,je ziara ya rais Museveni? Sio uhusiano mzuri wa kidiplomasia na majirani?
Leo bomba la mafuta litapita hapa Tanzania na taifa letu litanufaika kimapato.Biashara baina ya Burundi na Tanzania kwa sasa ni zaidi ya bil 201. Je wakianza kuuza dhahabu mkoani Kigoma kwenye soko la dhahabu itakuwaje?
Mimi binafsi naona ndugu Lissu hakujiandaa kugombea urais vizuri na itakuwa jambo la ajabu wakazi wa mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla kuchagua mtu ambae haoni mahusiano mazuri ya taifa letu na nchi za nje amabayo yanaliletea taifa letu manufaaa makubwa. Hii hoja potofu kuwa JPM amefanya mahusiano ya kimataifa kuwa mabaya ni sababu tosha kumnyima kura huyu mgombea maana ni muongo na mzandiki.
Hatua gani? Umesoma ujumbe umeshaupataTafakari chukua hatua
Sindano imezama nywiiiiii..sema lingine mamaHivi huwa kuna watu wanasoma unachoandika? mimi huwa nasoma kichwa cha habari nimemaliza!