Uchaguzi 2020 Lissu anazidi kuumbuka, kila hoja anayoanzisha inaonekana haina mashiko kwa Watanzania

Uchaguzi 2020 Lissu anazidi kuumbuka, kila hoja anayoanzisha inaonekana haina mashiko kwa Watanzania

NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa

list ya poorest countries ni kutokana western wanavotaka, kama walivowaambia somalia walipe ili watolewe kwenye list ya nchi maskini
 
Tanzania ya leo sio ile ya miaka ya nyuma ambayo watu wengi walikuwa hawawezi kupata habari kwa urahisi kama ilivyo hii ya leo. Miaka ya nyuma radio station ilikuwa moja tu na hata Tv stations hazikuwepo,pia radio stations za watu binafsi nyingi hazikuwepo,hivyo upatikanaji wa habari ulikuwa mgumu na hivyo ilikuwa rahisi kuwapotosha watu

Leo hii utampotosha nani? Karibu kila familia mijini na vijijini ina Tv set na kila mwanafamilia ana simu janja ambayo inauwezo wa kumpatia habari anayoyote anayoitaka. Kipindi hiki cha uchaguzi wananchi wanapata habari kwa urahisi sababu teknolojia imekuwa na hivyo kila hoja na sera za mgombea wananchi wanazipata.

Mgombea urais kwa Chadema, Tundu Lissu amekuwa akisikika kila mahala anapofanya kampeni zake kuwa rais aliyepo madarakani amefifisha mahusiano ya kidiplomasia na nchi jirani na mataifa ya nje. Kisa tu huwa hafanyi safari za nje mara kwa mara. Hii hoja amekuwa akisisitiza mno kiasi kwamba watu wamekuwa wakimshangaa.

Ziara ya rais wa Burundi ndugu Evarist Ndaishiaye imemuumbua huyu ndugu Tundu Lissu,maana kama nchi haina mahusiano mazuri ya kidiplomasia na majirani au mataifa ya nje rais wa Burundi angekuja leo Tanzania kufanya ziara ya kikazi ambayo ina manufaa makubwa kwa taifa letu? Kama Tanzania ina mahusiano mabaya na majirani zake Burundi ingeweza kufanya makubaliano ya kuanzisha mchakato wa kujenga kinu cha kuchenjulia nickel kwa pamoja na Tanzania? Mbali na ziara ya rais wa Burundi ambae amefanya ziara leo,je ziara ya rais Museveni? Sio uhusiano mzuri wa kidiplomasia na majirani?
Leo bomba la mafuta litapita hapa Tanzania na taifa letu litanufaika kimapato.Biashara baina ya Burundi na Tanzania kwa sasa ni zaidi ya bil 201. Je wakianza kuuza dhahabu mkoani Kigoma kwenye soko la dhahabu itakuwaje?

Mimi binafsi naona ndugu Lissu hakujiandaa kugombea urais vizuri na itakuwa jambo la ajabu wakazi wa mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla kuchagua mtu ambae haoni mahusiano mazuri ya taifa letu na nchi za nje amabayo yanaliletea taifa letu manufaaa makubwa. Hii hoja potofu kuwa JPM amefanya mahusiano ya kimataifa kuwa mabaya ni sababu tosha kumnyima kura huyu mgombea maana ni muongo na mzandiki.
Haya yako ni madhara yanayotokana na nchi kuwa na mfumo wa hovyo kabisa wa elimu!
 
Elimu ndogo inaonekana. Hata haujui unachoongela. Umesema JK alikuwa na mahusiano mazuri lakini ukawa unaibiwa. Watu wanakuuliza diplomasia nzuri inahusianaje na kuibiwa? Tayari umekwisha sahau ulichokisema ama unajifanya chizi?
Nimemuuliza Allen anamuuliza nani? Maana maswala ya kuibiwa yanatoka wapi?
 
Tanzania ya leo sio ile ya miaka ya nyuma ambayo watu wengi walikuwa hawawezi kupata habari kwa urahisi kama ilivyo hii ya leo. Miaka ya nyuma radio station ilikuwa moja tu na hata Tv stations hazikuwepo,pia radio stations za watu binafsi nyingi hazikuwepo,hivyo upatikanaji wa habari ulikuwa mgumu na hivyo ilikuwa rahisi kuwapotosha watu

Leo hii utampotosha nani? Karibu kila familia mijini na vijijini ina Tv set na kila mwanafamilia ana simu janja ambayo inauwezo wa kumpatia habari anayoyote anayoitaka. Kipindi hiki cha uchaguzi wananchi wanapata habari kwa urahisi sababu teknolojia imekuwa na hivyo kila hoja na sera za mgombea wananchi wanazipata.

Mgombea urais kwa Chadema, Tundu Lissu amekuwa akisikika kila mahala anapofanya kampeni zake kuwa rais aliyepo madarakani amefifisha mahusiano ya kidiplomasia na nchi jirani na mataifa ya nje. Kisa tu huwa hafanyi safari za nje mara kwa mara. Hii hoja amekuwa akisisitiza mno kiasi kwamba watu wamekuwa wakimshangaa.

Ziara ya rais wa Burundi ndugu Evarist Ndaishiaye imemuumbua huyu ndugu Tundu Lissu,maana kama nchi haina mahusiano mazuri ya kidiplomasia na majirani au mataifa ya nje rais wa Burundi angekuja leo Tanzania kufanya ziara ya kikazi ambayo ina manufaa makubwa kwa taifa letu? Kama Tanzania ina mahusiano mabaya na majirani zake Burundi ingeweza kufanya makubaliano ya kuanzisha mchakato wa kujenga kinu cha kuchenjulia nickel kwa pamoja na Tanzania? Mbali na ziara ya rais wa Burundi ambae amefanya ziara leo,je ziara ya rais Museveni? Sio uhusiano mzuri wa kidiplomasia na majirani?
Leo bomba la mafuta litapita hapa Tanzania na taifa letu litanufaika kimapato.Biashara baina ya Burundi na Tanzania kwa sasa ni zaidi ya bil 201. Je wakianza kuuza dhahabu mkoani Kigoma kwenye soko la dhahabu itakuwaje?

Mimi binafsi naona ndugu Lissu hakujiandaa kugombea urais vizuri na itakuwa jambo la ajabu wakazi wa mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla kuchagua mtu ambae haoni mahusiano mazuri ya taifa letu na nchi za nje amabayo yanaliletea taifa letu manufaaa makubwa. Hii hoja potofu kuwa JPM amefanya mahusiano ya kimataifa kuwa mabaya ni sababu tosha kumnyima kura huyu mgombea maana ni muongo na mzandiki.

Kwa kawaida mshindani wako akikosea ndo mtu ufurahi. Hata kwenye mpira, mpinzani wako akianguka, huendi kumnyanyua ,bali unatumia hiyo nafasi kujipatia ushindi.
Sasa kama Lissu hakujiandaa kugombea urais, kwa nini unaweweseka?
Huyo aliyejiandaa kugombea mbona matumbo moto kila wakisikia LISSU anatajwa? Amemkaribisha museven katikati ya kampeni, leo kamkaribisha Evarist Ndaishiaye, ili mradi tu wamtia joto.
 
Masuala ya elimu yameingia vipi hapa?
Kama hujui athari katika mahusiano ya kidiplomasia yaliyosababishwa na utawala huu, kiasi cha kuanzisha thread kutetea ukitumia tu ziara ya Rais wa Burundi, suala la elimu ni lazima lihusike hapa!
 
Tanzania ya leo sio ile ya miaka ya nyuma ambayo watu wengi walikuwa hawawezi kupata habari kwa urahisi kama ilivyo hii ya leo. Miaka ya nyuma radio station ilikuwa moja tu na hata Tv stations hazikuwepo,pia radio stations za watu binafsi nyingi hazikuwepo,hivyo upatikanaji wa habari ulikuwa mgumu na hivyo ilikuwa rahisi kuwapotosha watu

Leo hii utampotosha nani? Karibu kila familia mijini na vijijini ina Tv set na kila mwanafamilia ana simu janja ambayo inauwezo wa kumpatia habari anayoyote anayoitaka. Kipindi hiki cha uchaguzi wananchi wanapata habari kwa urahisi sababu teknolojia imekuwa na hivyo kila hoja na sera za mgombea wananchi wanazipata.

Mgombea urais kwa Chadema, Tundu Lissu amekuwa akisikika kila mahala anapofanya kampeni zake kuwa rais aliyepo madarakani amefifisha mahusiano ya kidiplomasia na nchi jirani na mataifa ya nje. Kisa tu huwa hafanyi safari za nje mara kwa mara. Hii hoja amekuwa akisisitiza mno kiasi kwamba watu wamekuwa wakimshangaa.

Ziara ya rais wa Burundi ndugu Evarist Ndaishiaye imemuumbua huyu ndugu Tundu Lissu,maana kama nchi haina mahusiano mazuri ya kidiplomasia na majirani au mataifa ya nje rais wa Burundi angekuja leo Tanzania kufanya ziara ya kikazi ambayo ina manufaa makubwa kwa taifa letu? Kama Tanzania ina mahusiano mabaya na majirani zake Burundi ingeweza kufanya makubaliano ya kuanzisha mchakato wa kujenga kinu cha kuchenjulia nickel kwa pamoja na Tanzania? Mbali na ziara ya rais wa Burundi ambae amefanya ziara leo,je ziara ya rais Museveni? Sio uhusiano mzuri wa kidiplomasia na majirani?
Leo bomba la mafuta litapita hapa Tanzania na taifa letu litanufaika kimapato.Biashara baina ya Burundi na Tanzania kwa sasa ni zaidi ya bil 201. Je wakianza kuuza dhahabu mkoani Kigoma kwenye soko la dhahabu itakuwaje?

Mimi binafsi naona ndugu Lissu hakujiandaa kugombea urais vizuri na itakuwa jambo la ajabu wakazi wa mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla kuchagua mtu ambae haoni mahusiano mazuri ya taifa letu na nchi za nje amabayo yanaliletea taifa letu manufaaa makubwa. Hii hoja potofu kuwa JPM amefanya mahusiano ya kimataifa kuwa mabaya ni sababu tosha kumnyima kura huyu mgombea maana ni muongo na mzandiki.
Nchi yangu ina mtihani hata wewe utakuwa ni msomi tena wa degree Mungu aingilie kati.
 
Tanzania ya leo sio ile ya miaka ya nyuma ambayo watu wengi walikuwa hawawezi kupata habari kwa urahisi kama ilivyo hii ya leo. Miaka ya nyuma radio station ilikuwa moja tu na hata Tv stations hazikuwepo,pia radio stations za watu binafsi nyingi hazikuwepo,hivyo upatikanaji wa habari ulikuwa mgumu na hivyo ilikuwa rahisi kuwapotosha watu

Leo hii utampotosha nani? Karibu kila familia mijini na vijijini ina Tv set na kila mwanafamilia ana simu janja ambayo inauwezo wa kumpatia habari anayoyote anayoitaka. Kipindi hiki cha uchaguzi wananchi wanapata habari kwa urahisi sababu teknolojia imekuwa na hivyo kila hoja na sera za mgombea wananchi wanazipata.

Mgombea urais kwa Chadema, Tundu Lissu amekuwa akisikika kila mahala anapofanya kampeni zake kuwa rais aliyepo madarakani amefifisha mahusiano ya kidiplomasia na nchi jirani na mataifa ya nje. Kisa tu huwa hafanyi safari za nje mara kwa mara. Hii hoja amekuwa akisisitiza mno kiasi kwamba watu wamekuwa wakimshangaa.

Ziara ya rais wa Burundi ndugu Evarist Ndaishiaye imemuumbua huyu ndugu Tundu Lissu,maana kama nchi haina mahusiano mazuri ya kidiplomasia na majirani au mataifa ya nje rais wa Burundi angekuja leo Tanzania kufanya ziara ya kikazi ambayo ina manufaa makubwa kwa taifa letu? Kama Tanzania ina mahusiano mabaya na majirani zake Burundi ingeweza kufanya makubaliano ya kuanzisha mchakato wa kujenga kinu cha kuchenjulia nickel kwa pamoja na Tanzania? Mbali na ziara ya rais wa Burundi ambae amefanya ziara leo,je ziara ya rais Museveni? Sio uhusiano mzuri wa kidiplomasia na majirani?
Leo bomba la mafuta litapita hapa Tanzania na taifa letu litanufaika kimapato.Biashara baina ya Burundi na Tanzania kwa sasa ni zaidi ya bil 201. Je wakianza kuuza dhahabu mkoani Kigoma kwenye soko la dhahabu itakuwaje?

Mimi binafsi naona ndugu Lissu hakujiandaa kugombea urais vizuri na itakuwa jambo la ajabu wakazi wa mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla kuchagua mtu ambae haoni mahusiano mazuri ya taifa letu na nchi za nje amabayo yanaliletea taifa letu manufaaa makubwa. Hii hoja potofu kuwa JPM amefanya mahusiano ya kimataifa kuwa mabaya ni sababu tosha kumnyima kura huyu mgombea maana ni muongo na mzandiki.
Kwa huyo Burundi asingekuja alikuwa tishio. Kwa huyo Rais wa Burundi sio raia Waltz atarudi kwao na kiu ya Wanzania iko pale pale. Mm nsshindwa kukitetea kwa kuwa hoja mnazokuja nazo ni za kitoto sana kumbuka jukwaa hili lina watu waelewa sana
 
Elimu ndogo inaonekana. Hata haujui unachoongela. Umesema JK alikuwa na mahusiano mazuri lakini ukawa unaibiwa. Watu wanakuuliza diplomasia nzuri inahusianaje na kuibiwa? Tayari umekwisha sahau ulichokisema ama unajifanya chizi?
Hapana mimi sio mtu wa level hiyo unavyodhania. Huyo aliyesema JK alikuwa na mahusiano mazuri lakini tukaibiwa ndio ana matatizo ya akili.

Mimi hapa hoja yangu kubwa ni kuwa Lissu ni muongo,Tanzania ina mahusiano mazuri ya kidiplomasia tofauti na yeye anavyonadi.
Sas kuwa na uhusiano mzuri wa kidiplomasia ndio uibiwe? Sio kweli maana kama ni hivyo tungeruhusu wachina wachukue pembe za ndovu bure.

Usipanc, Chadema hamna mgombea urais.
 
Kwa kawaida mshindani wako akikosea ndo mtu ufurahi. Hata kwenye mpira, mpinzani wako akianguka, huendi kumnyanyua ,bali unatumia hiyo nafasi kujipatia ushindi.
Sasa kama Lissu hakujiandaa kugombea urais, kwa nini unaweweseka?
Huyo aliyejiandaa kugombea mbona matumbo moto kila wakisikia LISSU anatajwa? Amemkaribisha museven katikati ya kampeni, leo kamkaribisha Evarist Ndaishiaye, ili mradi tu wamtia joto.
Tumbo joto? Ziara ya Ndiashaye ni muhimu sana kwa taifa letu. JPM is the best.
 
Kwa huyo Burundi asingekuja alikuwa tishio. Kwa huyo Rais wa Burundi sio raia Waltz atarudi kwao na kiu ya Wanzania iko pale pale. Mm nsshindwa kukitetea kwa kuwa hoja mnazokuja nazo ni za kitoto sana kumbuka jukwaa hili lina watu waelewa sana
Wamekutoa wapi akina minyoo?
 
Nchi yangu ina mtihani hata wewe utakuwa ni msomi tena wa degree Mungu aingilie kati.
Bro mimi la saba tu, ila nimemsikia Lissu akinadi sera zake anadai JPM ameua diplomatic relations ya Tanzania. Lakini sio kweli mfano ni ziara ya Leo ya rais wa Burundi.
 
Mahusiano mazuri ya uenyekiti wa mzunguko wa SADC na EAC? Hahahaaa... Kweli JF ina watu wa aina mbalimbali... Akili yako ni sawa na mwenyekiti wako. Kungekuwa na uwezo wa kuonyesha IQ ya mtu wa upande wa 2 kabla ya kumjibu ingependeza. Nisingekuwa nawajibu baada yenu.
Hapana mimi sio mtu wa level hiyo unavyodhania. Huyo aliyesema JK alikuwa na mahusiano mazuri lakini tukaibiwa ndio ana matatizo ya akili.

Mimi hapa hoja yangu kubwa ni kuwa Lissu ni muongo,Tanzania ina mahusiano mazuri ya kidiplomasia tofauti na yeye anavyonadi.
Sas kuwa na uhusiano mzuri wa kidiplomasia ndio uibiwe? Sio kweli maana kama ni hivyo tungeruhusu wachina wachukue pembe za ndovu bure.

Usipanc, Chadema hamna mgombea urais.
 
Back
Top Bottom