Lissu, anzisha chama chako achana na Mbowe

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Katika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
 
Hawatampa usajili......wanamuogopa kama ukoma wa kwanza JK....
 
Issue sio kuwa na wafuasi wengi,fedha ndio inayoendesha siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…