Lissu, anzisha chama chako achana na Mbowe

Lissu, anzisha chama chako achana na Mbowe

Wajumbe wote ni chawa wa mwamba
Sasa alipoamua kugombea alikuwa hajui hilo? Au kalifahamu hilo baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi? Kelele za nini sasa, afanye kampeni au aache.

Mtu mwenye akili alipaswa kulijua hilo, mwamba ni mwenyekiti miaka 20, na harakati za chama wanafanya wote, alikosea wapi.

Akubali kushindana, incumbency huwa wanashindwa pia, wajumbe siyo mazombie ni watu wanaakili timamu.

Atulie, afanye kampeni zake vizuri adubirie kura.
 
Katika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
Kuanzisha chama muda huu na kwa wakati huu ni kuendeleza utitiri wa vyama vingi visivyo na tija. TAL anapaswa kushinda na aunganishe nguvu na vyama makini kuiondoa CCM madarakani.. Ikishindikana basi anapaswa kuondoka na kujiunga na chama makini ACT Wazalendo ili kuikabili CCM na washirika wake Chadema
 
Katika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
Kuhama sio rahisi kiiivyo!! Unavyodhani,vigingi ni vingi mbele yake,kungekuwa na sheria yamgombea huru ingekuwa rahisi,,gumzo looote kwasasa si uchaguzi wa CDM au mbowe,ni TL tu..
 
Sasa alipoamua kugombea alikuwa hajui hilo? Au kalifahamu hilo baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi? Kelele za nini sasa, afanye kampeni au aache.

Mtu mwenye akili alipaswa kulijua hilo, mwamba ni mwenyekiti miaka 20, na harakati za chama wanafanya wote, alikosea wapi.

Akubali kushindana, incumbency huwa wanashindwa pia, wajumbe siyo mazombie ni watu wanaakili timamu.

Atulie, afanye kampeni zake vizuri adubirie kura.
Sawa
 
Itakuwa ndiyo mwisho wake kisiasa!
Hicho chama mpaka kipate Usajiri ni leo?
Na kama unavyojua Msajiri ni Mtumishi wa Serikali ya CCM.
Bora akomae humo humo!

Subiri uone tusiandikie mate wakati wino upo
 
Back
Top Bottom