Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #101
HujitambuiUshauri wa hovyo kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HujitambuiUshauri wa hovyo kabisa.
Sasa atatokaje na yeye ndio mwenyekitiLissu ni mkubwa kuzidi chadema ngoja atoke ndio utajua
Kawashauri vilaza wenzio vijiweni.Hujitambui
HujitambuiKawashauri vilaza wenzio vijiweni.
Kadanganye vilaza wenzako huko!Hujitambui
HujielewiKadanganye vilaza wenzako huko!
Mkuu tusamehane ni siasaTulibishana sana humu sijui ulizani Mimi nimetumwa na CCM ila siku zote msema kweli hua anapingwa vibaya sana
Wajumbe wote ni chawa wa mwambaDemokrasia ni jambo jema sana, tusubiri wanyukane na mwisho wapigiwe kura tupate uongozi mpya
Sasa alipoamua kugombea alikuwa hajui hilo? Au kalifahamu hilo baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi? Kelele za nini sasa, afanye kampeni au aache.Wajumbe wote ni chawa wa mwamba
Kuanzisha chama muda huu na kwa wakati huu ni kuendeleza utitiri wa vyama vingi visivyo na tija. TAL anapaswa kushinda na aunganishe nguvu na vyama makini kuiondoa CCM madarakani.. Ikishindikana basi anapaswa kuondoka na kujiunga na chama makini ACT Wazalendo ili kuikabili CCM na washirika wake ChademaKatika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
Kuhama sio rahisi kiiivyo!! Unavyodhani,vigingi ni vingi mbele yake,kungekuwa na sheria yamgombea huru ingekuwa rahisi,,gumzo looote kwasasa si uchaguzi wa CDM au mbowe,ni TL tu..Katika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
SawaSasa alipoamua kugombea alikuwa hajui hilo? Au kalifahamu hilo baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi? Kelele za nini sasa, afanye kampeni au aache.
Mtu mwenye akili alipaswa kulijua hilo, mwamba ni mwenyekiti miaka 20, na harakati za chama wanafanya wote, alikosea wapi.
Akubali kushindana, incumbency huwa wanashindwa pia, wajumbe siyo mazombie ni watu wanaakili timamu.
Atulie, afanye kampeni zake vizuri adubirie kura.
Kwani ni hisani ?Nani akisajili?
Lisu Hana kipaji cha maamuzi na hekima maalimu alikuwa nacho .
Itakuwa ndiyo mwisho wake kisiasa!
Hicho chama mpaka kipate Usajiri ni leo?
Na kama unavyojua Msajiri ni Mtumishi wa Serikali ya CCM.
Bora akomae humo humo!
Hapana ni kada mtiifu wa chama tawalaWe ni Mke wa mbowe