ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Labda hicho chama kiwe na wapumbavu watupu .Kweli sema figisu za usajili lakini naamini siku ya kwanza tu akitangaza kuanzisha ndio itakuwa mwisho wa upinzani uchwara
Anzisheni msajili Vyama tuwaone.
Mwisho Tanzania haiwezi toa usajili Kwa Vyama vya vibaraka wa EU na Amsterdam