much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Nachangamsha genge mkuu hakuna mpinzani wa kufanana na maalim Seif Tanzania Mungu amlaze mahala pema peponiLisu Hana kipaji cha maamuzi na hekima maalimu alikuwa nacho .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nachangamsha genge mkuu hakuna mpinzani wa kufanana na maalim Seif Tanzania Mungu amlaze mahala pema peponiLisu Hana kipaji cha maamuzi na hekima maalimu alikuwa nacho .
Lile pandikizi Lipumba ndiyo liliua chama na CUF haijawahi kuwa institution, Maalim ndiyo ilikuwa institution yenyewe.Basi taaaisi ya cuf ingekua baada ya kutoka Seif.
Kama fedha ndiyo msingi kwa nini wafanyabiashara wenye fedha nyingi wasianzishe vyama vyao?Issue sio kuwa na wafuasi wengi,fedha ndio inayoendesha siasa.
Pamoja na kwamba generally huwa ninazikibali harakati za Lissu lakini kwamba akitoka CHADEMA imekwisha ni kichekesho, hana ubavu huo na yeye si nguvu zilizoibeba CHADEMA tofauti na Maalim. Huko Uarabuni michango mingi ya CUF ilipokuwa ikitokea ilikuwa inakuja kwa sababu ya Maalim, bila fedha za Waarabu CUF isingesumama vile na zilipokata CUF ikajifia natural death.Lisu ni maalim Seif wa bara akitoka chadema imekishwa hata alivyotoka CUF imekwisha
Siyo kwamba kila mtu yuko interested na siasa.Kama fedha ndiyo msingi kwa nini wafanyabiashara wenye fedha nyingi wasianzishe vyama vyao?
Wacha wamdanganye! Huyo ni kama SAMAKI tu, na huko aliko, ni kwenye maji! Akitoka tu ndani ya maji, hawezi kujisogeza hata sentimita tano! 'NGUVU YA MAMBA KUMAYI!!!!'Lissu hajawah anzisha kitu chochote cha maana toka azaliwe....
Labda familia
Lisu anataka Uenyekiti kwa kumshambulia Mwenyekiti hadharaniKatika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
Gia aliyoingilia ndio inamuharibia,unatakaje uenyekiti kwa kumshambulia Mwenyekiti hadharani?Lissu hatakiwi kuondoka baada ya uchaguzi kama akishindwa haitakuwa tofauti na Msigwa, pia ndicho ambacho wapinzani wanachotarajia afanye. Hatakiwi kuwapa hiyo nguvu.
Huyo sio mwenyekiti ni tapeli la ccm lilopo chadema na lissu kaongea ukweli potelea mbaliLisu anataka Uenyekiti kwa kumshambulia Mwenyekiti hadharani
Hakuna atakaekuamini,hapa ndipo alipojichanganya
Hata kama Mimi ni Mbowe bora niitwe tapeli tu 😝Huyo sio mwenyekiti ni tapeli la ccm lilopo chadema na lissu kaongea ukweli potelea mbali
Shida ni kuPersonalise alichosema kama mashambulizi kwa Mbowe, hajaongea mambo binafsi ila yanayoihusu nafasi ya Mwenyekiti kama cheo. Ni kama Rais anakosolewa kama Rais na sio yeye binafsi.Gia aliyoingilia ndio inamuharibia,unatakaje uenyekiti kwa kumshambulia Mwenyekiti hadharani?
Safari hii lissu akiondoka kinamdodea mbowe Hana nyotaHata kama Mimi ni Mbowe bora niitwe tapeli tu 😝
Siwezi muachia chama mtu anaenitukana hadharani
Unamuuliza naniNani akisajili?
Wewe, serikali haina muda wa kusajili upuuzi wakeUnamuuliza nani
KwahiyoWewe, serikali haina muda wa kusajili upuuzi wake
Ushauri wa hovyo kabisa.Katika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake