Demokrasia ni jambo jema sana, tusubiri wanyukane na mwisho wapigiwe kura tupate uongozi mpyaNilivyoona TBC pale nikajua tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demokrasia ni jambo jema sana, tusubiri wanyukane na mwisho wapigiwe kura tupate uongozi mpyaNilivyoona TBC pale nikajua tayari
Naye akianzisha chake atakubali kuachia kweliKatika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
Hahaha misukule ya Lisu ndiyo mnajitambua?We msukule wa mbowe hujitambui
Mbona wengine hawana huo umaarufu aisee,Umaarufu unatokana na taasisi,
ukitoka kwenye taasisi nguvu na support inapungua
Hamna kitu hapoKama ipo ipo tu tusiingie kwenye mawazo kama ya misisiyemu ambayo tumeilalamikia muda mrefu kwamba inaengua wapinzani wao ili wapite bila kupingwa tunampenda sana mh Lissu lakini litakuwa kosa kubwa kuzuia wengine wasigombee mwacheni huyo Mbowe agombee ila muhimu kuwe na uchaguzi huru na wa haki na wajumbe wa mkutano mkuu wafanye tafakuri ya kina hasa katika kuhakikisha wanamchagua mwenyekiti ambaye atatutoa tulipo na kutupeleka mbele zaidi.Wajumbe kuweni waadilifu na msikubali kurubuniwa na mgombea yeyote hiyo tarehe 20 Januari mtangulizeni Mungu mbele . Sanduku la kura liamue inshala mwamba Lissu atashinda
Ndio nashangaa wangapi wamepita hapo chadema na wengine wapo hapo hapo lakini hawana huo umaarufuMbona wengine hawana huo umaarufu aisee,
Watampa usajili haraka sàna ili aibomoe ngome ya ayattolah Mbowe.Hawatampa usajili......wanamuogopa kama ukoma wa kwanza JK....
Mbowe anatunika na hao ccm hawatampa kamwe usajili......wewe kumve Hujuiii....mchezo ulivyoooWatampa usajili haraka sàna ili aibomoe ngome ya ayattolah Mbowe.
Mbowe anatunika na hao ccm hawatampa kamwe usajili......wewe kumve Hujuiii....mchezo ulivyooo
Wanamuogopa sana sana x 100 TL....hawampiii usajili milele....kama Maalim walikuwa wanamuogopaaKwani ni hisani ?
Kwanini wafanye udhalimu wa kukataa ?!
Wakati wameapa kufuata Katiba ?!
Hivi mnadhani chama cha siasa kitachangia nn kwenye maisha yetu? Kama ni maendeleo na mageuzi ya miserable na kiuchumi endelevu wananchi tuamke wenyewe. Vyama vya siasa viko chini ya serikali akipingana sana wanakifuta.Kweli sema figisu za usajili lakini naamini siku ya kwanza tu akitangaza kuanzisha ndio itakuwa mwisho wa upinzani uchwara
Ushauri mbovu wa kiwango cha rami, hakuna kukimbia vita ,lissu anashindaKatika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
wabongo unawajua? unaweza toka ukakomea peke yako wengine wakabaki ndaniAtoke ndo atajua kuna watu nyuma yake ama wajumbe wa CCM 2020
Kinachoanzisha chama ni pesa ni maneno.Katika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
kimsingi lissu ndo kachangia kuidhoofisha chadema, alianza kampeni za kuwaondoa vijana waliojitolea kubeba spika bila malipo, akina zitto kafulila luhwanya mdee, akawaondoa think tank akina prof kitila mkumbo prof safari,Katika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake