Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We msukule wa mbowe hujitambuiHahaha wafusi wasiojielewa mnashida sana. Yani hamtaki Lisu agombee, mnataka apitishwe bila kupingwa, aachiwe nafasi.
Mbowe siyo mpinzani tena tuache utaniKatika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
Nilivyoona TBC pale nikajua tayariHahaha wafusi wasiojielewa mnashida sana. Yani hamtaki Lisu agombee, mnataka apitishwe bila kupingwa, aachiwe nafasi.
Uache utani kivipi wakati wewe ulikua unashupaza shingo kumtetea huyo diktektaMbowe siyo mpinzani tena tuache utani
Ndio umejua leoNilivyoona TBC pale nikajua tayari
No sikujua kabisa leo ndiyo nimeaminiUache utani kivipi wakati wewe ulikua unashupaza shingo kumtetea huyo diktekta
SureNdio umejua leo
Haki vilekupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
Lissu hajawah anzisha kitu chochote cha maana toka azaliwe....
Labda familia
At 57, not much can be done..Ndio ataanza sasa uone.
Kila kitu huwa na mwanzo.
Hata Mimi nitakua mwanachama wake. Mbowe nimeamini ni tapeli. Kama kwenye siasa Hana kipya Cha kufanya ilikua vyema amuachie lissu asukume gurudumu la cdm. Kama kweli angekua na nia njema.Kweli sema figisu za usajili lakini naamini siku ya kwanza tu akitangaza kuanzisha ndio itakuwa mwisho wa upinzani uchwara
Fact yan! Akibakia Chadema atakosa sifa za kuaminisha jamii kuhusu katiba mpya wakati ya ndani ya chama imekaa ki dictator!Katika mwanasiasa mwenye wafuasi wengi hapa tanzania ni lissu yaani kama itatokea Leo akaanzisha chama chake basi kitakua na fanbase kubwa sana kuzidi vyama vyote nashangaa anaendelea kupoteza mda Kwa diktekta mbowe ambaye chama amekifanya kama geto lake
Tulibishana sana humu sijui ulizani Mimi nimetumwa na CCM ila siku zote msema kweli hua anapingwa vibaya sanaNo sikujua kabisa leo ndiyo nimeamini
Basi taaaisi ya cuf ingekua baada ya kutoka Seif.Umaarufu unatokana na taasisi,
ukitoka kwenye taasisi nguvu na support inapungua
Co wapiga kura.Sahihi kabisa lissu ana watu
Kasome uzi vizuri, soma coment kwa kuelewaBasi taaaisi ya cuf ingekua baada ya kutoka Seif.
Huna akiliLissu mwenyewe anajua akitoka nje ya chadema ndio amekufa kisiasa ndio maana hakufanya hivyo .
Siasa ni team work Tena ya watu makini na wenye ela .
Siasa za sashivi sio za Miaka ya 60 ambazo michango ya wanachama tu inatosha tu.