Lissu aonyeshe Uongozi katika suala la akina Halima Mdee na Wenzake,aachane na hayo mambo yake

Lissu aonyeshe Uongozi katika suala la akina Halima Mdee na Wenzake,aachane na hayo mambo yake

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
 
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
Lissu Yuko sahihi kabisa!!

Covid 19 WALITEMA BIG G kwa KARANGA za KUONJESHWA, UTAMU wa wa KARANGA unaisha wanataka Tena BIG G.

Waende ACT WAZALENDO pumbavu zao.......
 
Tundu Lissu ni mwanasheria mbobevu. Kila kitu Kiko Kwa mujibu wa Sheria. Tuliza lako kalio kaka
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
 
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
Mleta mada wewe hujui kuwa hiyo sera na hoja ya kuwakataa kabisa wale Covid 19 ni mojawapo ya hoja zilizompa Lissu kura nyingi za kupata uenyekiti wa Chadema?

Covid 19 ni condom za kijani zilizokwisha tumika, nani anataka tena kuzitumia?

Kwani ni lazima warudi Chadema?
Vyama si vipo vingi, waende kokote kule wakafanye hizo siasa za kimalaya, huku wakijua wazi CHADEMA sio chama cha kuokoteza okoteza tena malaya wa kisiasa.
 
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
Eti Chadema watapoteza!! Jaribu kuwa serious mkuu
 
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
Bila shaka wewe ni mjinga wa kiwango cha GPA ya 0.01....

Sikiliza maelezo ya Tundu Lissu halafu sema shida Iko wapi maana yako very clear and genuine...

View: https://youtu.be/ZrOBq1mboq4?si=nfHXdYKmfSskn-mt
Hakuna shida yoyote kama wanataka kurudi chamani Ili mradi tu watafuata taratibu za kikatiba..

Walifukuzwa na Baraza kuu, na hilo ndilo lenye mamlaka ya kuwarejesha pia..
 
Lissu Yuko sahihi kabisa!!

Covid 19 WALITEMA BIG G kwa KARANGA za KUONJESHWA, UTAMU wa wa KARANGA unaisha wanataka Tena BIG G.

Waende ACT WAZALENDO pumbavu zao.......
Lakini ruzuku tulikuwa tunachukua wadau! Wasamehewe tuanze ukurasa mpya!
 
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
Unaongelea mtu asiye na akili, Lissu Yuko pale kumalizia uhai wa Chadema siyo kingine. Lissu siyo kiongozi ni mlalamishi kwa kila kitu.
 
Back
Top Bottom