Lissu aonyeshe Uongozi katika suala la akina Halima Mdee na Wenzake,aachane na hayo mambo yake

Lissu aonyeshe Uongozi katika suala la akina Halima Mdee na Wenzake,aachane na hayo mambo yake

Lissu hajawahi kuwa kiongozi mzuri, I hope he proves me wrong!!
 
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
Wapokelewe lakini wasipewe nafasi yoyote katika uchaguzi huu
 
Mdee na nyie wenzake ingekua TALIBAN'S mgepigwa chuma TU. Snitch wote 18.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
Wachukue uwapeleke kwenye chama chako.
 
Mleta mada ana hoja ya msingi, kipindi hiki ikibidi hata kuungana na shetani ni kuungana naye ili kupamabana na adui. Wakina mdee bado wana ushawishi mkubwa sana hilo halipingiki, Ila tuachie muda ndio utakao ongea.
 
Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.

Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.

Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.

Povu linaruhusiwa.
Watu wa mihemko hawawezi kukuelewa ila ukweli unayo hoja, hizi nyakati sio za kutengeneza adui bali ni za kubembelea asui arudi muungane ili kumoiga adui mwingine, na hao covid 19 watu tunasahau ubabe wa Magu kwenye kununua wapinzani hata kwa vitisho.

Esta Bulaya bado anaweza vutia watu wengi sana pale Bunda kumbuka ana wafuasi wake wa damu na anawasapoti pia hadi leo na kesho.

Na hakuna hata siku moja wame ikashifu CDM, michanho yao Bungeni mara zote iko against.
 
Siyo tu kwamba anapungukiwa hizo hekima na busara, ukweli ni kwamba hana tu kabisa. Mtu mwenye hekima na busara anajua nini cha kuongea, na wapi aongee nini. Hawezi kuwa mropokaji.
Ukitakaje kwa ajili ya hawo wasaliti wa chama?
 
Back
Top Bottom