Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka yake kamwambia apunguze uropokaji. Nadhani atamsikiliza😁Siyo tu kwamba anapungukiwa hizo hekima na busara, ukweli ni kwamba hana tu kabisa. Mtu mwenye hekima na busara anajua nini cha kuongea, na wapi aongee nini. Hawezi kuwa mropokaji.
Wapokelewe lakini wasipewe nafasi yoyote katika uchaguzi huuNimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.
Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.
Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.
Povu linaruhusiwa.
Na wao wanataka kurudi sasa Chadema ili wapewe hizo nafasi za uchaguzi.Wapokelewe lakini wasipewe nafasi yoyote katika uchaguzi huu
Wachukue uwapeleke kwenye chama chako.Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.
Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.
Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.
Povu linaruhusiwa.
Kama wanataka nafasi wabaki huko huko.Na wao wanataka kurudi sasa Chadema ili wapewe hizo nafasi za uchaguzi.
Wale ni malaya wakubwa.
muone nini?
Ruzuku hazitokani na hao wabunge wa viti maalum bali kura za urais.Lakini ruzuku tulikuwa tunachukua wadau! Wasamehewe tuanze ukurasa mpya!
Watu wa mihemko hawawezi kukuelewa ila ukweli unayo hoja, hizi nyakati sio za kutengeneza adui bali ni za kubembelea asui arudi muungane ili kumoiga adui mwingine, na hao covid 19 watu tunasahau ubabe wa Magu kwenye kununua wapinzani hata kwa vitisho.Nimemuona Lissu anawashambulia sana akina Halima Mdee na wenzake badala ya kutengeneza Mazingira rafiki ya kurudisha wale Viongozi ambao CHADEMA imetumia muda wake mwingi kuwaandaa, na hasa ukichukulia toka wameisaliti hawajawahi kuisema vibaya Taasisi wala Viongozi wao.
Uongozi siyo Sheria tu mara nyingine ni hekima na busara na hapa ndiyo utaona Lissu anapungukiwa.Naongea hivi kwasababu kuna wakati nilisikia baadhi ya hao Wabunge 19 walikuwa wanataka kurudi kwenye Chama chao ila kwa Mazingira anayotengeneza Lissu siwaoni wakirudi na kiuhalisia wakienda CCM itakayopoteza ni CHADEMA.Huwezi kupuuza nguvu za akina Mdee,Bulaya,Matiko etc hasa ukichukulia wakitoka Bungeni hata kiuchumi watakuwa wameimarika kidogo.
Chama cha Siasa ni watu tunahitaji Wanachama hata kama wanatoka CCM ila wanakubali kufuata Misingi ya Chama tuwachukue kuimarisha Chama,katika hili Lissu anashindwa kuonyesha Uongozi anachokionyesha ni harakati na hasira.
Povu linaruhusiwa.
Si ndio vizuri ili ccm wasiendelee kuiba kura kisha wakae madarakani kwa aibu?Unaongelea mtu asiye na akili, Lissu Yuko pale kumalizia uhai wa Chadema siyo kingine. Lissu siyo kiongozi ni mlalamishi kwa kila kitu.
Unazijua hesabu za kipata ruzuku? au ndio mambo ya uhuru wa kujieleza?Ruzuku hazitokani na hao wabunge wa viti maalum bali kura za urais.
Ziweke hapa ili nione unachojua.Unazijua hesabu za kipata ruzuku? au ndio mambo ya uhuru wa kujieleza?
,unaweza kuta hata kadi huna, ndio wale Keybord MembersWachukue uwapeleke kwenye chama chako.
Ukitakaje kwa ajili ya hawo wasaliti wa chama?Siyo tu kwamba anapungukiwa hizo hekima na busara, ukweli ni kwamba hana tu kabisa. Mtu mwenye hekima na busara anajua nini cha kuongea, na wapi aongee nini. Hawezi kuwa mropokaji.
niweke nini? kwa kifupi hujui wewe elewa hivyo sema unatumia uhuru wa kujieleza hata kama una eleza utumbo wa chura.Ziweke hapa ili nione unachojua.
Nilijua huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jf.niweke nini? kwa kifupi hujui wewe elewa hivyo sema unatumia uhuru wa kujieleza hata kama una eleza utumbo wa chura.