Lissu aonyeshe Uongozi katika suala la akina Halima Mdee na Wenzake,aachane na hayo mambo yake

Kwamba afumbie macho? Kwanza huna logic, si kila kitu ni busara? Kiongozi ni maamuzi
Hao 19 kesi yao haikuisha ilikuwa paused na mwrnyekit aliepita. Mwenyeki wa sasa nataka taratibu zifuatwe na maelezo yanyooke

Watu design yako ya kufunika kilinda linda uzembe hamfai nchi hii
 
Mleta mada ana hoja ya msingi, kipindi hiki ikibidi hata kuungana na shetani ni kuungana naye ili kupamabana na adui. Wakina mdee bado wana ushawishi mkubwa sana hilo halipingiki, Ila tuachie muda ndio utakao ongea.
Usbawishi wa kina mdee si mkubwa tema kama hapo nyuma, after making the deal with the devil u.aarufu ukashuka na ushawish chamani bawana tena. It time waje nyumbani au waende walipo make deal
 
Na watu wa hivyo ndio wameifikisha nchi hii hapa ilipo.

Imefikia wakati sasa Tanzania imejengeka mindset kukiuka utaratibu kwenye kila jambo ndio ujanja, na kufuata utaratibu ni ushamba!
 
Mkuu
Mkuu hakuna busara katika kukabiliana na usaliti uliothibitika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…