Uchaguzi 2020 Lissu apokelewa Tarime kwa kishindo

Uchaguzi 2020 Lissu apokelewa Tarime kwa kishindo

Hivi mkuuu maisha yeye Magufuli anayoish na watumishi wa nchi hii ndivyo wanavyoishi? Magufuli ana roho mbaya sana,watumishi tunafanya kazi mnoo lakini hata mia haongezi ,yaani hana shukrani wala imani .Watumish wakati mwingne tunamuombeaga mabaya kabisaaa.

Nyie si ndio kuwa mnalilia kuhusu malimbikizo ya stahiki zenu za miaka nenda rudi kuto kulipwa? Wengine kilio kutopandishwa madaraja? Yote hayo yamefanyika hamsemi hamuoni ila mnaona kutopandisha mishahara. Je mfumuko wa bei Tanzania umeongezeka kwa kiwango gani? Ukilinganisha na mishahara isiyoongezwa?
 
Huku roho inakuuma[emoji23][emoji1787]
Ungejua hata punje tu siumii hata usinge sema.. lissu mi namkubali Kama mtu anaeweza kuleta hoja na kuzitetea tatizo uwasilishaji wake!.. anawasilisha Kama anachamba na mihemko!!.. anafit kuwa Challenger ila sioni kufit Kama kiongozi..
 
Ungejua hata punje tu siumii hata usinge sema.. lissu mi namkubali Kama mtu anaeweza kuleta hoja na kuzitetea tatizo uwasilishaji wake!.. anawasilisha Kama anachamba na mihemko!!.. anafit kuwa Challenger ila sioni kufit Kama kiongozi..
Yaleyaleee
 
Lissu ni kama Yesu alivyopokelewa kwa shangwe akiingia Jerusalem. Kweli Lissu tulikumiss sana. Usisite kufika Mbeya, Kyela, Vwawa na Tunduma.
Huko tutakuja kwenye kampeni mkuu. Yani ni balaa watu wamechoka kudadadeki. Magufuli umewafanya nini watanzania?
 
Tunaupenda sana upinzani. Ila tunajindanganya sana kuhusu haya mafuriko .
Haya mafuriko yanatudanya sana jamani, mafuriko haya yalikuwepo toka enzi na enzi ila hayana tija.
Tumekuwa na mafuriko enzi za mrema nk lakini hayakuwahi kusaidia kushika nchi.
Tujiulize je ilikuwaje uchaguzi wa wenyeviti wa vijiji, ilikuwaje kuhusu vijana kwenda kuboresha daftari la kupiga kura. Kama wenzetu ccm walifanya vizuri kwrnye sekta hiyo tutegemee siku ya kura ukienda kupiga kura kutokuona jina lako halafu udhani umeibiwa,kura kumbe atukutoa kipa umbele kwenye vitu vya msingi.
Pamoja na mbinu za wajumbe kupiga Kura sitini bado wakati huu watachemka madudu no mengi mno.
 
Kuna mtu kakataza walinzi wake wasimuonyeshe hizi picha, zinamuuma kichizi.
 
Walikuwa wanaongea mpaka wanarusha mate, eti oooh Chadema imekufa naona sasa wanaona aibu
 
Kuna mtu kakataza walinzi wake wasimuonyeshe hizi picha, zinamuuma kichizi.
Zinamuuma Nini ss wakati huyo mtetezi wenu wa mashoga na mabeberu anayepitakwenye hizo barabara ndio nafsi yake Kama bado inauhai itakuwa inamsuta saana! Vinginevyo ni liroboti lililokuwa 'programmed' kupinga Kila kitu! Ni aibu kwa mwenye akili timamu hata kushiriana na mpuuzi huyu!
 
Back
Top Bottom