Lissu apunguze hasira na malipizi, atapendwa na wengi

Lissu apunguze hasira na malipizi, atapendwa na wengi

Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
Na Mh Halima Mdee kamweleza ukweli juzi juu ya uchu na tamaa ya madaraka alonayo kibaraka pale Chadema, basi ndio akapanic na kuongeze mihemko maradufu hotuba nzima anamjibu Halima Mdee tu 🤣🐒
 
Lissu siyo liability. It is absurd kusema Lissu ni liability. Lissu sasa hivi anaelekea kuwa God's gift to Tanzania. Amefanya kazi kubwa sana kuwaamsha Watanzania.
Lakini sielewi kwa nini TAKUKURU waende Chadema kuchunguza "hela chafu" Mbowe ndiye mkubwa. Yeye ( Mbowe) amewaita?
Lakini it is true,watu lazima waache chuki na siasa za kutaka kulipiza kisasi.
Vengeance is mine,saith The Lord".
" Hela chafu" vipi? Kuna mtu kalawitiwa kapewa hela?
Tuache haya maneno maneno,minong'ono.
 
Lissu siyo liability. It is absurd kusema Lissu ni liability. Lissu sasa hivi anaelekea kuwa God's gift to Tanzania. Amefanya kazi kubwa sana kuwaamsha Watanzania.
Lakini sielewi kwa nini TAKUKURU waende Chadema kuchunguza "hela chafu" Mbowe ndiye mkubwa. Yeye ( Mbowe) amewaita?
Lakini it is true,watu lazima waache chuki na siasa za kutaka kulipiza kisasi.
Vengeance is mine,saith The Lord".
" Hela chafu" vipi? Kuna mtu kalawitiwa kapewa hela?
Tuache haya maneno maneno,minong'ono.
Sure CCM imeharibu sn wananchi kila kitu kimefanywa kuwa ni hisani ya Rais
 
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
Joined 2/4/2024 , Ndio maana hujui hata kuandika.

Hujulikani unamzungumzia Lissu Binafsi au unazungumzia Chadema, na wala haijulikani kama unazungumzia ACT, huwezi kujaza kila kitu kwenye uzi mmoja ukaeleweka.

Bali kwa kukusaidia tu ni kwamba, Hakuna Kitabu chochote cha Mungu kilichoelekeza kumsamehe Shetani.
 
Siasa za kinafiki na uoga zimekuathiri, hivyo usipooana siasa hizo unaona ni tatizo. Wapinzani wameshindwa kuing'oa ccm kwakuwa Bado wanapoteza muda kushiriki chaguzi zisizoheshimika, machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataing'oa ccm. Ni suala la muda tu.
Wewe unapenda sana mapinduzi,jaribu kupanga wala hamna shida.
 
Siasa za kinafiki na uoga zimekuathiri, hivyo usipooana siasa hizo unaona ni tatizo. Wapinzani wameshindwa kuing'oa ccm kwakuwa Bado wanapoteza muda kushiriki chaguzi zisizoheshimika, machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataing'oa ccm. Ni suala la muda tu.
Utasubiri sana!.
P
 
Sijui kuhusu lisu kuwa mzalendo au kutokuwa mzalendo. Ila nilichogundua ni kwamba lisu akipoa na Tanzania inapoa, lisu akiongea na Tanzania inaongea. Bila kujaki amekubana kwenye angle mbaya au nzuri kwako ila utaongea tuu.
🤨ivo yaan👊
 
Labda watuzidi kwa uchawi.
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
 
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
Milio ni mingi sana, na mtaitoa ya kila aina, yaani hadi mseme.
Lissu nyeusi kwake ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Umpende usimpende atabaki kuwa hivo. Watu wa aina yake ambao sio wanafiki hawazidi watatu nchi hii. Wengine nyie ni wanafiki na watu wa kujikombakomba.
Lissu shikilia hapo hapo mpaka wote watoe mlio wa koboko.
Wengine wanakwenda na historia eti Lissu ni mdogo wangu, nilisoma nae, so what??????????
Nchi hii inatakiwa kukombolewa. Fikra zenu finyu za kiccm ni lazima mziache na tuelezane ukweli. Tanganyika italetwa na watu majasiri na sio wenye kauli za kujikomba kama nyie.
 
Tatizo Lissu anaongea mambo msiyopenda ndo tatizo
Umeona eh.Wao wanajifanya walimu wazuri endapo Lisu ataanza kumsifia Mama na Serikali iliyopo halafu baadaye aje nakauli kuwa Mheshimiwa Rais sisi Chadema tunakuomba Mtukufu Rais ututengenezee Katiba Mpya.
 
Tundu LISSU piga hapo hapo katikati naona madondola, nyokaa wanaanza kutoka kwenye shimo na wanaanza kukuelekeza namna ya kuwachokonoa yaani maelekezo kama haya yaishie hukoo kwenye mapenzi
hahahaa heshima kwako asee
 
Back
Top Bottom