Lissu apunguze hasira na malipizi, atapendwa na wengi

Lissu apunguze hasira na malipizi, atapendwa na wengi

Uongozi wa nchi hautaki hasira tunawapima sana km watafaa kuongoza nchi yetu. Wabadilike siyo kila siku kufoka uongozi ni diplomasia na etiquatte.
 
Mkuu @tripod, kwanza hongera sana kwako binafsi, jf kuwa na mtu mwenye akili, busara za vision kama wewe ni baraka sana kwa jf, kwasababu busara za kiwango hiki ni za kutafuta kwa tochi humu jukwaani.

TL ni mdogo wangu pale Ilboru, nimeingia Ilboru A level, TL akiwa O level.
Nimemshauri sana humu, hadi nikauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

P
Kumtangulia Lisu kidato sio kama ww una akili kumzidi! Nadhani ni kuwahi tu kwako kuzaliwa au kuandikishwa shule, kuhusu kuyaita maridhiano ni ujinga we uoni kuwa yupo sahihi? kama sio ujinga na kupoteza muda hayo maridhiano yamezaa nn mpaka sasa? Tatizo nililogundua ni kuwa watz wengi hawajajua kuwa lissu yupo hatua tofauti na watz wengi! yaani unaweza kusema yupo sayari nyingine na watz, kiuwelewa, utayari kufanya jambo, kuona mbali , kukifahamu chama tawala vizuri, mipango yao ya kushika dola mpaka milele! watz tulio wengi bado kifikra tupo enzi za Mwl. Mwenzetu lisu katoka huko ndio maana tunamuona mtu tofauti na wengine.
 
Back
Top Bottom