Lissu apunguze hasira na malipizi, atapendwa na wengi

Uongozi wa nchi hautaki hasira tunawapima sana km watafaa kuongoza nchi yetu. Wabadilike siyo kila siku kufoka uongozi ni diplomasia na etiquatte.
 
Kumtangulia Lisu kidato sio kama ww una akili kumzidi! Nadhani ni kuwahi tu kwako kuzaliwa au kuandikishwa shule, kuhusu kuyaita maridhiano ni ujinga we uoni kuwa yupo sahihi? kama sio ujinga na kupoteza muda hayo maridhiano yamezaa nn mpaka sasa? Tatizo nililogundua ni kuwa watz wengi hawajajua kuwa lissu yupo hatua tofauti na watz wengi! yaani unaweza kusema yupo sayari nyingine na watz, kiuwelewa, utayari kufanya jambo, kuona mbali , kukifahamu chama tawala vizuri, mipango yao ya kushika dola mpaka milele! watz tulio wengi bado kifikra tupo enzi za Mwl. Mwenzetu lisu katoka huko ndio maana tunamuona mtu tofauti na wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…