Pre GE2025 Lissu atakuwa mtu wa aina gani? Mbowe alimpambania akiwa hoi, Samia akaenda kumuona Nairobi, leo kawaandalia hotuba za kuwatukana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Read to understand,
 
Kwani katenda dhambi gani😵😵 inaonyesha mishale yake imewagusa wengi
 
We ni mbea sana tena mjinga kabisa,
Lisu daima anasimamia ukweli na haki na kupinga uongo na udharim bila kujali umetendwa/umesemwa na nani.

Jambazi akikutendea wema haimfanyi kutokua na hatia juu ya madhambi yake.

Akili gani za kichawa hizi, akili za kuhongwa hongwa hizi.
 
Huyo jamaa ni mtu wa ajabu sana
 
Ww Lissu unamuona ni mtu mwenye akili timamu
Hana, mwenye akili timamu ni aliyesema wabunge hawaendi bungeni kwa idadi ya watu, Bali hoja. Hiyo inamaanisha wazanzibar wana hoja kuliko huku bara!
 
Lissu ni aina ya watu wenye kelele nyingi, ujuaji mwingi sana, wanapenda kuongea na kubishana. Hana aura - ya uongozi...ni kama radio...Kwa haiba yake anafaa kuwa mwanaharakati tu....sio wala kiongozi yoyote CHADEMA
 
Sijaona matusi ya lissu zaidi ya kuongea ukweli
Au nyie ccm mtu akisema ukweli anatukana

Muungano una kasoro ni kweli
Mzanzibat kuuza aridhi bara ni kweli
Mzanzibati kuuza bandari ni kweli

Samia kuitwa mzanzibati ni sawa kwa mujibu wa katiba yao ya kibaguzii ya mwaka 1984

Matusi yako wapi mkuu Chiemb?
 
Mzee turkey zungu ndie alielipia ndege kwenda Nairobi na hizo za kutuambia samia alimpa nauli mara samia alitengwa ni uongo kadanganyane na watoto wenzio, mtu hata kama unamchukia sio sababu ya kumuongelea uongo
Pia kama walitengana kwa sababu ya roho mbaya zao, anataka Lisu afanyeje?.
 
Mimi chadema lakini ukweli lazima usemwe
 
Labda uwe kichaa ndiyo unaweza kumsema vibaya mtu aliyeokoa maisha yako
 
Samia alienda kumuona kama Samia au kama Makamo wa Rais ??


Mbowe kumuona Lissu, Makamo wake, haikua sawa??.


Hivi wee jamaa kumbe vijembe VYAKO Kwa Makonda, ni sababu ni punguani .
Nadhani hoja ni mitusi

Na imeanza kupiga kote kote

Tuendelee kumuombea kamanda hajakaa sawa kichwani
 
Mzee turkey zungu ndie alielipia ndege kwenda Nairobi na hizo za kutuambia samia alimpa nauli mara samia alitengwa ni uongo kadanganyane na watoto wenzio, mtu hata kama unamchukia sio sababu ya kumuongelea uongo
Kama 2017 alitengwa atuambie walipatana lini maana 2020 walikuwa bega kwa bega.
 
Labda uwe kichaa ndiyo unaweza kumsema vibaya mtu aliyeokoa maisha yako
Kwani mtu aliyeokoa maisha yako hawezi kufanya vibaya?

Haiwezekani kwa mtu kuokoa maisha yako, ukamshukuru kwa hilo, ukamuheshimu sana, halafu akifanya vibaya, kwa sababu unamuheshimu sana na huwezi kumdanganya kafanya vizuri wakati kafanya vibaya, ukamsema?

Mtu aliyeokoa maisha yako akijikojolea hadharani hutamwambia hapa umejikojolea hadharani ni kitu kibaya? Kwa sababu ameokoa maisha yako tu?
 
Kutendewa mema katika maisha yako kusikufanye ushindwe kuongea ukweli hata kama utakuwa mchungu kwa waliokusaidia
 
lissu ni kichaa akili zake zimeshageukia sehemu ya kutoa uchafu hafai hata kupewa ubalozi wa nyumba kumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…