Uchaguzi 2020 Lissu atikisa Singida, foleni ya kumdhamini utadhani kuna uhaba wa sukari enzi za RTC

Uchaguzi 2020 Lissu atikisa Singida, foleni ya kumdhamini utadhani kuna uhaba wa sukari enzi za RTC

Kina Sumaye walilalamika kufanyiwa undava walipotaka uenyekiti...

I pray amwachie Lissu this time..
Huyu hana shida km yule mzee wa nguvu za dola.......😀😀😀
Hii ya Mbowe ni mbinu ambayo ccm hawawezi kuijua....
 
Nyie mbwa si ndo mlisema chadema ni chama Cha mitandaoni mbona mnaogopa uchaguzi kenge nyie
Hawa jamaa wanaogopaga kila kitu Cha CDM,mikutano Yao wanaiogopa,hoja zao wanaziogopa,mipango Yao wanaiogopa,bendera zao wanaziogopa na Sasa mitandao wanaziogopa.
 
Hawa jamaa wanaogopaga kila kitu Cha CDM,mikutano Yao wanaiogopa,hoja zao wanaziogopa,mipango Yao wanaiogopa,bendera zao wanaziogopa na Sasa mitandao wanaziogopa.
Ni aibu sn maana wanajua chadema kipo kwenye mioyo ya watz wkt ccm kipo kwenye mioyo ya polisi na tume ya uchaguzi
 
Back
Top Bottom