Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Twende na mtanzania mwenzetu Safari hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa......... Ni kumbukumbu tu!Bwashee umelewa wanzuki
Leta kama hii yenye vielelezo vya huo mwakaHii picha niliwahi kuiona 2015!
umelipwa bei gani ?Mwigulu for presidency 2025
utazikuta chini anzaga na supuOngeza nyama mkuu......
Wewe kwani ni mpumbavu??Watu makalio na K zinawaka moto wakiona watu walivyo na ari na ugombea urais wa TL.
Wewe kwani ni mpumbavu??
Jiulize mwenyewe!!
Mm sijui kama wewe ni mpumbavu au mjinga au zezeta.
lini ccm ikawa na huruma ikakabidhi mfuko wa TASAF kwa CHADEMAMbona wote ni wazee na hapo wanachukua fedha za Tasaf
Narudia tena, umeandika upumbavu, kwani wewe ni mpumbavu??
Ukiwa MATAGA unalazimika kuwa mpumbavu?Mm ni MATAGA
Poa poa mkuu.....unamaanisha mwenyekiti wa TLP, DPP CUF au yupi mkuuNaamini unayosema... ila umeona timbwili la uenyekiti...
Ntafurahi akipewa nafasi Lissu
😂😂Una matusi Lakini ndo hutoa mtu alivyonavyo. Kumbe mkuu unalamba ndo mana lazima utetee hoja. Pole Kuna corona hata huko.
Hahaaaa.......nimeshazikuta mkuuwewe endelea kula nyama ziko chini
Sawa sawa mkuu wangu nimeshazipata baada ya mabaharia kudadavua kwa kina humuutazikuta chini anzaga na supu
Ni hatari
Watakuwa mashabiki wa usho..