Lissu atoa msimamo rasmi dhidi ya Rais Samia, Zitto Kabwe, Katiba Mpya na ACT Wazalendo

Lissu atoa msimamo rasmi dhidi ya Rais Samia, Zitto Kabwe, Katiba Mpya na ACT Wazalendo

Kwa hizi kauli za Lissu bahati yake maza kawakuta CDM wametulizwa na mtangulizi wake. Kwa sasa bado waoga waoga kupima kina cha maji bado kuna system ile ile nyuma ya pazia au hii mpya.

Kwa upande fulani natamani Lissu harudi bongo halafu wauanzishe mziki wao bara CDM kama ilivyokuwa kabla ya 2016 na kule visiwani uamsho wafanye yao.

Hiyo support yao aitakuwa ndogo safari hii dah watu wanalalamika gharama za maisha kupanda ghafla yaani wenye elimu zao walioamua kujiajiri kwenye mapishi pishi wanakwambia ailipi bora watafute kazi tu biashara iwe part time.

Lissu harudi hiyo ndio namna pekee ya hawa viongozi wenye short ‘memory span’ wataelewa kwanini Magufuli aliongoza kwa mtindo alioutumia kwenye kupambana na upinzani, wahujumu uchumi na mafisadi.

Truth be said bi tozo akubali 2025 kama kuna namna wafanye swap na Mwinyi.
 
Kama hutaki mwanasiasa aongee unataka acheze ngoma?
Kukaa unaongelea kitu hichohicho na hakuna impact tunaona ni ujinga tu. Huko Space kila siku maongezi ni Katiba Katiba sasa nenda Namtumbo huko kwa mwananchi wa kawaida kama anayajua yanayoendelea huko Space.

Most of watu wa huko Space na mitandaoni huku ni cowards tu. Hakuna kitu watanzania tulichopambania mitandaoni tukafanikiwa..
 
Kwa hizi kauli za Lissu bahati yake maza kawakuta CDM wametulizwa na mtangulizi wake. Kwa sasa bado waoga waoga kupima kina cha maji bado kuna system ile ile nyuma ya pazia au hii mpya.

Kwa upande fulani natamani Lissu harudi bongo halafu wauanzishe mziki wao bara CDM kama ilivyokuwa kabla ya 2016 na kule visiwani uamsho wafanye yao.

Hiyo support yao aitakuwa ndogo safari hii dah watu wanalalamika gharama za maisha kupanda ghafla yaani wenye elimu zao walioamua kujiajiri kwenye mapishi pishi wanakwambia ailipi bora watafute kazi tu biashara iwe part time.

Lissu harudi hiyo ndio namna pekee ya hawa viongozi wenye short ‘memory span’ wataelewa kwanini Magufuli aliongoza kwa mtindo alioutumia kwenye kupambana na upinzani, wahujumu uchumi na mafisadi.

Truth be said bi tozo akubali 2025 kama kuna namna wafanye swap na Mwinyi.

Wakati wa CDM ya DR Slaa umuweke Mbowe jela miezi 8 thubutu yake? Utaanzia wapi kwanza.

Kidogo kidogo watamkubali JPM kwamba Maguvu na ukichaa wake vilihitajika kuonesha serikali iko.
 
Kukaa unaongelea kitu hichohicho na hakuna impact tunaona ni ujinga tu. Huko Space kila siku maongezi ni Katiba Katiba sasa nenda Namtumbo huko kwa mwananchi wa kawaida kama anayajua yanayoendelea huko Space.

Most of watu wa huko Space na mitandaoni huku ni cowards tu. Hakuna kitu watanzania tulichopambania mitandaoni tukafanikiwa..
Zile sauti za "Mbowe sio gaidi" mpaka DPP akaweka mpira kwapani zilisikika toka Namtumbo au?
 
🐒🐒🐒
WYCgC_rl.jpg
 
Tunajua umekaa juu ya chungu Cha neema ndiyo maana huoni shida ya Hui katiba hongera Sana.
Hao wanaolialia na katiba mpya si ndiyo walifyatuka bunge la katiba pamoja na akina Prof Lipumbu wakaenda kuanzisha UKAWA huku wakigomea makubaliano ya wengi ndani ya bunge la katiba? Sasa wanahangaika na nini tena hawa akina Lissu! Wacha katiba ya sasa iendelee, sitaki kusikia tena katiba mpya! Mmesikia?
.
 
Wakati wa CDM ya DR Slaa umuweke Mbowe jela miezi 8 thubutu yake? Utaanzia wapi kwanza. Kidogo kidogo watamkubali JPM kwamba Maguvu na ukichaa wake vilihitajika kuonesha serikali iko.
Kwa hawa ngumu kuelewa somo wana ‘short memory span’.

Njia pekee Lissu harudi na waruhusu mikutano ya hadhara kama zama za J.K; hiyo ndio namna pekee ya kurudisha kumbukumbu zao.

Halafu kipindi hiki watu wana hasira gharama za maisha zimepanda huo mziki wa CDM itakuwa awajawahi kuona CCM.
 
Kwa nini Lissu na CDM waachiwe ionekane Katiba mpya ni agenda yao na si ya Watanzania wote? Wakati kimsingi mchakato lazima upate baraka za Mh Rais wa JMT.
Katika sheria za Tanzania, kuna sehemu yoyote inayotamka hivi; kwamba "... mchakato ni lazima upate baraka za Mh Rais wa JMT"?, au huu ni ujinga tu unaotumika kupotosha watu?
 
Rais Samia mwaka 2014 ndie alikua Makamu Mwenyekiti wa kamati maalumu ya bunge la katiba mpya,leo hii akigusiwa suala la katiba mpya anakua mbogo na anajifanya kama halitambui na ni suala jipya kabisa kwake!!
Keshaanza kuelewa madaraka. Imagine mpaka anafikia kusema kuwa hicho kikosi chake atakuwa nao mpaka 2030.... Kazi gani hiyo watakayoifanya kwa muda wa miaka 9.

Kuna watu walichekelea hapo walipo sikia. Zitto mpaka gego la mwisho lilonekana kwa furaha.

Yaani, kuna wale wastaafu humo wanaweza kufia kwenye hiyo ajira ya Maza.
 
Back
Top Bottom