Lissu atoa msimamo rasmi dhidi ya Rais Samia, Zitto Kabwe, Katiba Mpya na ACT Wazalendo

Lissu atoa msimamo rasmi dhidi ya Rais Samia, Zitto Kabwe, Katiba Mpya na ACT Wazalendo

Hivi hiyo katiba mpya ni kwaajili ya HAO walioamua KUTAFUTA Kwa mbinu zao binafsi au ni Kwa watanzania wote?

Kama Kuna watu wanataka katiba mpya na wengine hawataki basi wote Wana haki Sawa.

Issue ya wasiojulikana wapo nchi zote na malengo Yao ni kuondoa SUMU mbaya pamoja na wapika SUMU ili waliowengi wasiangamie Kwa SUMU.
mo nae alikuwa na sumu mbaya?
 
Nimemsikiliza hakuna anapohamisisha umwagaji damu...
Msikilize tena kuanzia dakika ya 12, mpaka pale anaposema njia pekee ya kupata katiba mpya ni through "blood...."


Maana yake nini hiyo? Au Kingereza kinakupiga chenga?
 
haya matamko ya twitter spaces yamezidi sasa hatujui ni ya msimamo wa chama au mtu binafsi, maana kila session ya hizo spaces kuna matamko mapya
 
Wanabodi, sehemu ya mazungumzo ya fuatayo ni msimamo wa Lissu dhidi ya watu husika na mambo tajwa hapo juu.

Mengi amewahi kuonya ama kuyaweka bayana na yakajiri, alikuwa wa kwanza kusema wazi wazi Magufuli ni dikteta na Rais wa ajabu, akasema kuhusu watu wasiojulikana na mauaji ya MKIRU,yalijiri!!

Zaidi msikilize Lissu mwenyewe kwenye kiambatbishi!

View attachment 2163100
Lissu siyo muoga
 
Msikilize tena kuanzia dakika ya 12, mpaka pale anaposema njia pekee ya kupata katiba mpya ni through "blood...."


Maana yake nini hiyo? Au Kingereza kinakupiga chenga?
Nimemsikiliza anasema through blood ...(haisikiki vizuri inakwama lakini nadhani ni..blood spill, and tears....lakini hiyo blood spill hasemi kama wao ndio watakao sababisha....inachomaanisha ni kuwa watu wawe tayari kumwaga damu...
 
Back
Top Bottom