Tangu 2017 polisi hawajaandika maelezo yake, wanamsubiri akawaombe!Yeye anayetafuta huruma kwa rejea ya 2017 ndio ana akili??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu 2017 polisi hawajaandika maelezo yake, wanamsubiri akawaombe!Yeye anayetafuta huruma kwa rejea ya 2017 ndio ana akili??
Kwani lazima?? Wao ndio wamemshughulikia unataka wajishtaki? Mwambie aende ICC akashtaki hukoTangu 2017 polisi hawajaandika maelezo yake, wanamsubiri akawaombe!
Kumbe hoja yako nini?Kwani lazima?? Wao ndio wamemshughulikia unataka wajishtaki? Mwambie aende ICC akashtaki huko
Rudi kuisoma tena pale juu, ukishindwa sema ueleweshweKumbe hoja yako nini?
mo nae alikuwa na sumu mbaya?Hivi hiyo katiba mpya ni kwaajili ya HAO walioamua KUTAFUTA Kwa mbinu zao binafsi au ni Kwa watanzania wote?
Kama Kuna watu wanataka katiba mpya na wengine hawataki basi wote Wana haki Sawa.
Issue ya wasiojulikana wapo nchi zote na malengo Yao ni kuondoa SUMU mbaya pamoja na wapika SUMU ili waliowengi wasiangamie Kwa SUMU.
NielewesheRudi kuisoma tena pale juu, ukishindwa sema ueleweshwe
Nimemsikiliza hakuna anapohamisisha umwagaji damu...Nadhani kuna maneno ya Kingereza kayaongea yamekupiga chenga, msikilize vizuri.
Msikilize tena kuanzia dakika ya 12, mpaka pale anaposema njia pekee ya kupata katiba mpya ni through "blood...."Nimemsikiliza hakuna anapohamisisha umwagaji damu...
alichokipata ni kipigo cha “mlinzi" koko ndani ya sanduku la KuraSi alikuja 2020 akitegemea atakuwa relevant!
Alichokipata ni kipi??
Lissu siyo muogaWanabodi, sehemu ya mazungumzo ya fuatayo ni msimamo wa Lissu dhidi ya watu husika na mambo tajwa hapo juu.
Mengi amewahi kuonya ama kuyaweka bayana na yakajiri, alikuwa wa kwanza kusema wazi wazi Magufuli ni dikteta na Rais wa ajabu, akasema kuhusu watu wasiojulikana na mauaji ya MKIRU,yalijiri!!
Zaidi msikilize Lissu mwenyewe kwenye kiambatbishi!
View attachment 2163100
Acha kufuatiliahaya matamko ya twitter spaces yamezidi sasa hatujui ni ya msimamo wa chama au mtu binafsi, maana kila session ya hizo spaces kuna matamko mapya
fisadi mkuuUnaongea ukiwa wapi Bawacha? Ni muda wenu huu wa Space..
Nimemsikiliza anasema through blood ...(haisikiki vizuri inakwama lakini nadhani ni..blood spill, and tears....lakini hiyo blood spill hasemi kama wao ndio watakao sababisha....inachomaanisha ni kuwa watu wawe tayari kumwaga damu...Msikilize tena kuanzia dakika ya 12, mpaka pale anaposema njia pekee ya kupata katiba mpya ni through "blood...."
Maana yake nini hiyo? Au Kingereza kinakupiga chenga?