Haisaidii kitu.Hata akutane na christina katherina. Ameshatusaliti vyakutosha ,yeye aendelee kuuza sura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haisaidii kitu.Hata akutane na christina katherina. Ameshatusaliti vyakutosha ,yeye aendelee kuuza sura.
Sitashangaa kama cases za Corona zikiongezeka kipindi cha kukaribia uchaguzi ili Waanzangalizi wasije kama walivyofanya Burundi ...!!!This time around Tanzania inakwenda kumulikwa na dunia nzima vile haijawahi kutokea...... !!!!!
Unaanza kumjadili YEYE badala ya HOJA,simu gani kubwa vile?Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Hawa akina IDU ni akina nani? Kwa uelewa wangu, hawa ni Non Government Organization (NGO) ya huko Ulaya au Ujerumani, to be specific kama mtoa mada alivyo sema. Sasa hawa wanataka kutuelekeza kweli nini sisi kamanchi huru tufanye kumhusu Lissu, kweli? Kweli? Tumerogwa au tumepagawa? Can an NGO based in Europe dictate to us, a sovereign country what to do to one diaspora (mzamiaji) who has been insulting the government and has now decided to come back after handout givers have beenfed by him? Jamani let us be serious and see things in their right perspective badala ya upenzi na ushabiki usio na TIJA.
Aje tuu tunamsubiri kwa hamu , kwanza amng'owe MBOWE, na baadaye akawe Mgombea Mwenza Zitto
Unanitafuta?
Satellites zote zitaelekezwa Tanzania! Mwambieni Sirro huu si wakati wa kuwapiga watanzania kama “mbwa koko”! Haya!