Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Uchaguzi 2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha

Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost

View attachment 1505613

Utoto wa kuvaa nguo zinafanana umebaki kwako na familia yako....

Kingine selfie ni picha ya namna gan na hiyo ni ipi
 
Kaeni chini mfanye assessment mihemko inaweza kuamsha mambo ambayo yatawaletea chalenge ku neutralize Mmesha spark International communities attention hakuna sababu za kudeal na TAL kwa sasa mana hata mkimuacha azulule nchi nzima hawezi kushida hata kidogo sasa ya nini kuhangaika nae

Azulule 😁😁 nasema hivi bibi yako ndo hawezi shinda
 
Wangapi tumeona BUTI LÀ JËJË😂😂😂
 
Naona beberu yuko kwa mabeberu wenzie.
Tanzania ni kwa Watanzania.
Hapa sio N Korea kwa Kim Jong Un au China kwa Sh Jimping ni Tanzania yetu sote sio kwa mkoloni mweusi CCM peke yake!!
Lissu rudi ugombee urais kwa uhuru, acheni vitisho na figisu, kapona kufa acha arudi sasa!!
 
Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha

Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost

View attachment 1505613
Mkuu kumbuka Lissu ana kiinua mgongo Cha ubunge kwa miaka nne. Nadhani Ni milioni Mia kadhaa, na pia ujue lile tukio la 36 ameligeuza mtaji kisiasa na kiuchumi kwa nchi wafadhili wa Chadema.

Ndiyo maana ameishi ughaibuni na kutibiwa bila kulia njaa, Pamoja na kuchacha kwake ( Kwa mujibu wako) sijui Kama unamfikia ??
 
Mkuu kumbuka Lissu ana kiinua mgongo Cha ubunge kwa miaka nne. Nadhani Ni milioni Mia kadhaa, na pia ujue lile tukio la 36 ameligeuza mtaji kisiasa na kiuchumi kwa nchi wafadhili wa Chadema.

Ndiyo maana ameishi ughaibuni na kutibiwa bila kulia njaa, Pamoja na kuchacha kwake ( Kwa mujibu wako) sijui Kama unamfikia ??
Kaajiriwa ughaibuni sema analipwa kiduchu ndio maana hata kurudi anavizia vizia ka likizo ka mwajiri ata kako approve!!!

Kaomba siku chache ka likizo Kama unabisha chadema wapeleke mchakato wa mkutano mkuu wa kuchagua mgombea kuwa utafanyika mwezi August mwishoni uone atakavyohaha Lisu
 
Hawakumuwekea chip mwilini??
Haya bana!
 
Naona beberu yuko kwa mabeberu wenzie.
Tanzania ni kwa Watanzania.
Ila mlivyoambiwa mmeingia uchumi wa chini wa kati mliwachekelea mabeberu na kukatika viuno .hizo propaganda za kizamani sana
 
Kwani ameshahakikishiwa usalama wake akirudi?
Si alisema harudi mpaka serikali imhakikishie usalama?

Usalama wa Tundu Lissu umehakikishwa na Mungu Muumba wa Mbingu na Nji! Yeye aliyemlinda asiuawe na Risasi zaidi ya 30 ndiye atakayemlinda anaporojea.
Hawa jamaa wanaojifanya HAWAJULIKANI ilhali Watz na Dunia inawafahamu wasije wakarudia Hilo kosa Tena....!!!! This time around watauona muziki wa Watz wapenda AMANI na DEMORASIA ya nji hii!
 
Ni kwasababu ya mguu mbovu

Correct.
Miili yetu iko balanced kulingana na vile ulizaliwa. Kunapotokea hitilafu ya mguu wowote ili utembee kawaida bila Hali ya kuchechemea Madaktari lazima watumie viatu au vyuma kukupa balance! Ndivo walivofanya kwa Lissu.
 
Back
Top Bottom